Wadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua
Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani
msaada plz🙏🙏
Husika na kichwa hapo juu.
Inawezekana ku unconfirm selection kwa chuo cha UDOM? Maana katika account ya application hawaonyeshi sehemu ya ku edit.
Kuna mdau alitaka aende Mzumbe, huku tayar kathibitisha UDOM.
Nawasilisha.
Habari wakuu.
Nipo kwa muda hapa Lamadi wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu.
Naomba msaada kwa anae fahamu location ya kanisa la TAG lililo maeneo ya Lamadi.
Natanguliza shukrani.
Naomba wanajamvi kwa mwenye elimu ya kamera za smartphone kupiga picha au video kama inavoonekana katika attachment file anijulishe picha ambazo inaoneka kawaida katika lakin pembeni yake iko blured
Kibaya zaidi ni kwamba Mwenzangu huyo anaamini kwamba ni mtoto wake na anahudumia kama baba. Mtoto anamiezi kumi ivi sasa, Natamani sana niweze kumpata lkn nashindwa ni vipi nitaweza kumpata. Natamani hata Mwanaume huyo angeujua ukweli, lkn naogopa madhara yatakayoweza kutokea baada ya kuujua...
Kuna tukio lilitokea Mwanza mwaka jana,kwa ufupi mwanajeshi na mgambo waliwapiga watuhumiwa, ndani ya ofisi ya kata, mmoja alifariki. Polisi walidanganya marehemu aliuwawa na wananchi.
Baadae mke wa marehemu alimuona mkuu wa mkoa,na upelelezi ukafanyika na maelezo yakachukuliwa,na kesi ilikuwa...
Wakuu katika miangaiko yangu nimejichangachanga hapa nimepata Mil 8 nahitaji kununua ndinga kwa mtu anayeuza tuwasiliane. Vigezo gari iwe katika hali nzuri, ambayo iko chini ya km 100,000 na ambayo haijawahi kupata ajari. Napendelea toyota allion, Allex au Runx
Nataka kununua kiwanja kwa Hawa Ma-Agent Wa kuuza Viwanja na Mashamba na kuna Marafiki zangu kama wawili hivi wameshanunua viwanja kwao, Kwa Upande wangu kiwanja ambacho wanataka kuniuzia kwa mujibu wa maelezo yao wanasema kuna mtu alikipenda na alishaanza Kukilipia ila akapatwa na matatizo...
Siku ya leo, taasisi ya kimataifa ya fedha duniani (IMF) imetangaza kutoa msaada wa kifedha kwenda kwa nchi 28 maskini zaidi hapa duniani. Katika orodha hiyo, Tanzania imekuwa ni nchi mojawapo.
Japokuwa sote tunajua misaada hii haiji hivi hivi, mara zote nchi husika 'hupiga magoti na kuwalamba...
Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.
Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia...
Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo.
Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool...
Habarini ya Jumapili wakuu, mimi ni kijana wa miaka 23 nipo sam wea chuoni namalizia degree yangu fulani, leo nimekuja kuomba msaada wa kimawazo namna ya kuyaingia maisha ya mtaani.
To put things in persective, ninaishi kwa wazazi wa hali ya chini(milo miwili ya kubahatisha) Dar es...
Wakuu Habari za weekend
Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo
1. Check engine light iko on
2. Ukitembea umbali flan Gari inazima na kuwaka hapo ni ishu kweli kweli
3. Ikiwa Inatembea inakuwa kama inatetemeka
4. Kwenye...
volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel
Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo.
1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km).
2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake.
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.