msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. okiwira

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini?

    Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini? Yaani mfano mwanamke umezaa mtoto baadae unakuja pata hedhi baada ya miaka miwili ukizaa tena kuja kupata hedhi inakuchukua baada ya miaka au mwaka. Hapa chanzo cha tatizo hili huwa ni nini? Au ni jambo la kawaida kwa baadhi...
  2. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau,decorder yangu MPEG 4,Hometech 940II ina shida!

    Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku.Ninayo recorder yangu ya Kichina MPEG 4.Shida yake kubwa ni kwamba, ukishawasha mara nyingi inakwamia kwenye boot mpaka uwashe na kuzima weee,ndio ikubali.Kama kuna mdau anayejua tiba yake naomba msaada.Inakera sana.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Msaada shule bora ya sekondary ya michezo

    wakuu nina kijana wangu anamaliza darasa la 7 mwakani. nataka akiwa tayari kuenda o level nimpeleke shule ambayo haijali tu masomo ya kawaida bali michezo pia. nataka kutengeneza bonge la central defender kwa ajili ya professsional football na Taifa Stars. asanteni.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa admission letter

    Nmetumiwa admission documents laikini admission letter sijatumiwa Niki click sehem ya download admission letter zina open other admission documents na sio admission letter, chuo ni muhas , msaada wenu jamani.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kazi yoyote, Nimesomea Medical Attendant

    Habari wakuu, Natumai mu wazima, naombeni kwa mwenye kibarua au anayejua mahali kuna nafasi za kazi anisaidie. Nimesomea kozi ya medical attendant, nimewahi kufanya kazi kwenye dispensary baadhi za watu binafsi, kwa sasa hali ni ngumu kwani ajira hakuna na pia mitaji imekuwa ngumu kidogo...
  6. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani ku download kitabu kinachouzwa mtandaoni lakini mi niki download kwa free

    Kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF HERBAL REMEDIES ( by Claude Davis and Dr. Nicole Apelian) Dah nakihitaji Sana. Wataalam wa ku cheza na kuchekecha mambo hamuwezi mkanisaidia aisee ni fanye free download?!! Asante sana 🙏🙏
  7. Pythagoras

    JamiiForums Tanzania Msaada: Barabara gani itakuwa rahisi kwa leo na mvua hii?

    .
  8. Mzambuli911

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada account yangu ya adsense imepigwa limit

    Habari wanajF, Mkuu nimepigwa ad limit kwenye AdSense account yangu yenye Website ambayo ipo hosted na blogger msaada wenu tafadhali namna ya kufix hii ishu ya matangazo. Nahitaji matangazo yaendelee kudisplay. Asante
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanapima Corona?

    Natumaini wote wazima na kwa wale wa dar poleni na mafuriko. Nilikuwa naomba kufahamishwa wapi wanapima Corona maana natarajia kusafiri nje ya nchi. Pili je kipimo cha Corona bado ni kile kile cha kuchokonoana pua?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kampuni gani nzuri ya tracking system kwenye magari kati ya hizi?

    Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Msaada please!

    Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo. Ahsanteni. Be blessed!
  12. Goti la samaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Chapu chapu

    Habari za humu , natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wana JF. Kama kichwa cha habari hapo juu , Naombeni msaada , jana nilipata ajali kazini nikiwa na mtoto mzuri kitandani getoni kwangu. Ni baada ya kukaa muda mrefu bila kuonja asali ya papuchi jana nilipata hio bahati ,lakini bahati...
  13. ADAM SMITH

    JamiiForums Tanzania Msaada wa soft copy ya vitabu, pamhets, kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies

    Wakuu naomba msaada kwa mwenye soft copy ya vitabu, pamhets kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies
  14. Mabubwesone

    JamiiForums Tanzania Msaada:Naomba kufahamishwa kiwanda kinachotengeneza turubai, gumboots na yemboyebo

    Habari wakuu mimi ni mjasiliamari nashida ya kujuwa viwanda/kiwanda kinachotengeneza turubai na kiwanda kinachotengeneza gumboots na yemboyebo.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa dawa ya ugonjwa wa Arthritis

    Wadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
  16. 200K

    JamiiForums Tanzania Ukisoma Instructional Design and Information Technology unakuwa nani?

    Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani msaada plz🙏🙏
  17. P Accountant

    JamiiForums Tanzania MSAADA: University of Dodoma

    Wakuu, Nahitaji msaada wenu, namna ya ku unconfirm selection kwa chuo cha DODOMA kama tayari umesha confirm tayari. Nawasilisha.
  18. P Accountant

    JamiiForums Tanzania Msaada unaitajika wa namna ya ku unconfirm selection UDOM

    Husika na kichwa hapo juu. Inawezekana ku unconfirm selection kwa chuo cha UDOM? Maana katika account ya application hawaonyeshi sehemu ya ku edit. Kuna mdau alitaka aende Mzumbe, huku tayar kathibitisha UDOM. Nawasilisha.
  19. Kiraka Kikuu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kanisa la TAG maeneo ya Lamadi, Simiyu

    Habari wakuu. Nipo kwa muda hapa Lamadi wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu. Naomba msaada kwa anae fahamu location ya kanisa la TAG lililo maeneo ya Lamadi. Natanguliza shukrani.
  20. T

    JamiiForums Tanzania Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
Back
Top Bottom