Wakuu Habari za weekend
Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo
1. Check engine light iko on
2. Ukitembea umbali flan Gari inazima na kuwaka hapo ni ishu kweli kweli
3. Ikiwa Inatembea inakuwa kama inatetemeka
4. Kwenye...
volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel
Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo.
1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km).
2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake.
3...
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza...
Hivi ni lazima kisheria kujiunga na chama cha wafanyakazi kisheria, maana mimi nimeungwa moja kwa moja bila consultation na kwakweli sipendi hivi vyama wala sitaki kukatwa pesa yangu kuchangia hivi vyama naomba msaada kisheria kabla sijaenda kuwavaa ma HR wanitoe
Hivi ni lazima kisheria kujiunga na chama cha wafanyakazi kisheria, maana mimi nimeungwa moja kwa moja bila consultation na kwakweli sipendi hivi vyama wala sitaki kukatwa pesa yangu kuchangia hivi vyama naomba msaada kisheria kabla sijaenda kuwavaa ma HR wanitoe
Habarini, mara kadhaa nimeona kuna watu wanauliza vitu ambavyo tayari vimeshajadiliwa, sasa kumueleza kitu mtu unakosa apetite ya kuandika hivyo inakuwa bora utag huo uzi ili kuokoa muda.
Naombeni mnielekeze ni jinsi gani naweza kutag uzi wa mtu humu JamiiForums
Tatizo ni nini hapa wakuu toka jana mchana network haisomi kwa sim yang inaandika emergence calls only msaada kwa anaejua
NB: nimeangalia imei za simu yangu.
zimebadilishwa sio kama za mwanzoni.
Habarini wana JamiiForums natumai wote mpo poa.
Mm sio mpenzi sana wa siasa na hata kupiga kura huwa siendi, sema mara zote nimekuwa nikikichukua kitambulisho cha mpiga kura kama ID card ya kufanya shughul nyingine kama usajili, umiliki na hekaheka zengine.
Sasa mwaka huu nimejikuta busy...
Kwangu mimi Halima Mdee Mdee naweza kusema ndiye mwanamama jembe na shupavu asiyeogopa na hata hachoshi kumsikiliza. Ni moja ya wanawake shupavu sana nchini na msaada mkubwa sana katika bunge letu la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huyu Mwanamama ni msomi mwanasheria mwenye uwezo mkubwa sana...
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa...
Habari wana Jf,
Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar.
Nilikuwa naomba.
1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe.
2. Connection za wakulima wa zao hili.
3. Connection za masoko...
Nawezaje pata soft copy ya kitambulisho changu cha NIDA maana hii huduma naona kama imesitishwa mtandaoni.
Je, nikienda kwenye ofisi za NIDA wilayani naweza patiwa hii kitu maana ninaihitaji sana kwa sasa.
Miaka 3 iliyopita nilipata ufadhili wa kusomeshwa huko Ulaya! Kabla sijaenda mwajiri alinitaka nimsainie mkataba kuwa nitakaporejea nitamtumikia kwa miaka mitatu kabla ya kuniruhusu nifanye mambo mengine!
Ajabu nimerudi nimekuta yeye anadai nilisaini bond ya miaka mitano!Naombeni ufafanuzi...
shakamooni wakubwa zangu, poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri nimepata kuchaguliwa lakini matokeo yangu ya advance yananiruhusu kwenda chuo kikuu na tayari nimesha...
Kwema Wakuu,
TV Yangu imezima tu Ghafla, na haiwaki kwa button yake wala kwa remote. Aina ni Samsung UA46EH5000 . Nimewaza sijui nipeleke kwa fundi gani maana mafundi wa mtaani nao hawaaminiki. Wanaweza kua sio wataalamu sana wakaishia kuongezea Ugonjwa. Labda kuna member humu anaemjua fundi...
Habarini ndugu zangu,
Naombeni connection ya kazi kwenye mradi mpya wa bomba la mafuta linalotoka Uganda kuja Tanga-Tanzania, elimu yangu ni Degree ya Information Technology ila kazi zozote zile nitafanya hata kama ni nje ya fani yangu. Mwenye connection naombeni anisaidie ndugu zangu nipo...
Hivi hizi familia zina hali gani mpaka sasa, je matumbo yaliyowazaa watu hawa na maziwa yaliyowanyonyesha yanajisikia vibaya kwa kiwango gani?
Najaribu kuvaa viatu vya mama yake Ben na mke wa Azory.
Nishauri utawala huu ukiondoka madarakani ndugu wote waliopotelewa na ndugu zao wajiorodheshe...
Mgombea Urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir(Demokrasia, makini): Katika barua yetu ya tarehe 15 kumuomba msajili wa vyama vya siasa pamoja na IGP, tulimuelezea kwamba, kuna baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapa nchini kwetu Zanzibar, wameanza tabia ya kuanza kuwashajihisha wanachama wao au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.