Msaada Wenu: Uliwezaje kupita salama mpaka Ndoa kwenye Mapenzi ya namna hii?

Cha kufanya ni kuomba Mungu awe anajitambua na anajua lengo lililompeleka chuo.

Uwe unamkumbusha Mara kwa Mara malengo mliyojiwekea

Tembeleaneni kadri inavyowezekana

Wote wawili muwe karibu na Mungu kidhati

Mawasiliano iwe ni muhimili mkuu kwa Sasa

Na la mwisho

Tegemea lolote wakati wowote, ifunze akili yako ijiandae kukubaliana na lolote litalotokea katika mahusiano yenu
 
Cha kufanya ni kuomba Mungu awe anajitambua na anajua lengo lililompeleka chuo.

Uwe unamkumbusha Mara kwa Mara malengo mliyojiwekea

Tembeleaneni kadri inavyowezekana


Wote wawili Muwe karibu na Mungu kidhati


Mawasiliano iwe ni muhimili mkuu kwa Sasa

Na la mwisho

Tegemea lolote wakati wowote, ifunze akili yako ijiandae kukubaliana na lolote litalotokea katika mahusiano yenu
Asante mkuu kwa mawazo yako, ubarikiwe sana
 
Binafsi sioni tatizo kwa huyo mchumba. Kwa sababu anatafuta maisha yaani ni kama anaongeza mtaji wa kipato chake kama ambavyo na wewe unapambana. Yaani yeye anasomea kazi, huku wewe ukifanya kazi, kwa hiyo mpo sawa.

Tatizo lipo kwako. Una inferiority complexity na fear of unknown.

Lakini pia tatizo lako chimbuko lake ni uchumba sugu wa miaka 8. Let alone, labda mambo yalibana, sawa, lakinii, braza ukashindwa hata kumpa mimba?? Kama ulishindwa kumzalisha within 8 years, nashauri fanya hivyo ili hata akikuacha usipate maumivu Sana.

Kumbuka pia mchumba hasomeshwi, ila usiogope but kumbuka pia usiweke mayai yote kapu moja.

Hili nalo changamoto. Utavuka. Jipe moyo, mwache mchumba asome, zidisha upendo ili azidi kupata nguvu kusoma.
 
Binafsi sioni tatizo kwa huyo mchumba. Kwa sababu anatafuta maisha yaani ni kama anaongeza mtaji wa kipato chake kama ambavyo na wewe unapambana. Yaani yeye anasomea kazi, huku wewe ukifanya kazi, kwa hiyo mpo sawa.

Tatizo lipo kwako. Una inferiority complexity na fear of unknown.

Lakini pia tatizo lako chimbuko lake ni uchumba sugu wa miaka 8. Let alone, labda mambo yalibana, sawa, lakinii, braza ukashindwa hata kumpa mimba?? Kama ulishindwa kumzalisha within 8 years, nashauri fanya hivyo ili hata akikuacha usipate maumivu Sana.

Kumbuka pia mchumba hasomeshwi, ila usiogope but kumbuka pia usiweke mayai yote kapu moja.

Hili nalo changamoto. Utavuka. Jipe moyo, mwache mchumba asome, zidisha upendo ili azidi kupata nguvu kusoma.
Mwanamke akiwa hayupo tayari kubeba ujauzito, itawezekana kumpa ujauzito,?? Nimepokea ushauri wako kwa mikono miwili kaka, Mungu akubariki sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom