msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mbotoro kivoi

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa watumiaji wa computer au walio somea information and technology ( IT)

    Habari wana jukwa kama nilivo eleza apo juu mim ni mtumiaji wa computer ila sina utundu nayo sana kwa undani baada yakununua yangu nina kama miezii sita ivi natumia sana san kwa matumizi ya mtandaoni pamoja na kujisomea coz napenda kusoma san mtandaoni. 1;je application gani nizamuhimu kuwa...
  2. Kelela

    JamiiForums Tanzania Msaada: Leseni ya Maudhui ya Mtandaoni TCRA

    Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza? Maana leseni kwa mwaka ni Tsh 500,000 - 1,000,000
  3. Pastory Kimaryo

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada: Dawa ya kupunguza uzito/unene/kitambi

    Wana JF habarini, bila ya kupoteza muda na maneno mengi naombeni mnisaidie ushauri wa dawa nzuri ya kupunguza unene, hasa kitambi. Nawategemea jamani
  4. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa speed ya internet kwenye PC

    Habari ndugu zangu na shida moja kwanzia mitandao irud mimi kwangu speed ya internet kwenye pc ni ndugu saana haijalishi nitumie WIFI(SIMU) au moderm ila kabla ya hapo ilikuwa ina speed nzur tu tena zaid ya sanaaa ila baada ya michaguz yao speed hakuna kabisa
  5. lelulelu

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa anatomy naomba msaada

    Wakuu nlikuja na uzi hapa kitambo kuwa nilichaguliwa kusoma clinical medicine nikaomba ushauri nikapewa. Nimeanza masomo ila kuna vitu vinanichanganya kidogo. Basic anatomy na clinical anatomy ni nini maana zake wakuu ?ntafrah sana mkinijuza
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada jf members

    Husika na kichwa cha habari hapo juu jamani ndugu zangu nina kama mwez na nusu koo pamoja na ulimi wangu vimekuwa vikinisumbua sana na vidonda sasa stage iliofikia napata hofu sana naomba anaejua dawa jamani msaada niokoe maisha yangu
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wataalamu msaada 'Bechet's disease and Oral Candidiasis'

    Wataalamu wa afya msaada wa elimu ya afya,Tunaomba msaada wenu tupate ufafanuzi juu ya haya magonjwa ya kinywa maana yanafanana kwa dalili lakini naangalia approach ya matibabu yake yaweza kuwa tofauti. Tupate mtaalamu wa afya ya kinywa na meno atusaidie.
  8. Escotter20

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nichague kozi ipi kati ya hivi maana nimevurugwa

    Wakabwa poleni na majukumu, Mimi mdogo wenu nimechaguliwa kozi ya Botanical Science UDSM na mkopo nimepata asilimia zote lakini pia kuna chuo nimepata diploma ya medical labaratory, kulingana na uzoefu wenu wakubwa wa kupima uzito wa hizo kozi mbili je niende wapi? Mimi ndoto zangu zlikua...
  9. Naton Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapeleka maombi IMF ya msaada wa $2.3B kusaidia kuendesha nchi

    Nchi imefilisika ===== Kenya Seeks $2.3 Billion Loan From IMF to Boost Recovery By David Malingha November 22, 2020, 8:59 PM EST Updated on November 23, 2020, 5:47 AM EST State also seeks $1 billion to $1.5 billion from World Bank Finance chief says Kenya yet to decide on G-20 debt...
  10. Pastory Kimaryo

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kutuma meseji yenye maneno mengi (ie. zaidi ya 200) kwenye SMS app yangu?

    Habarini wana JF, nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa kutweak sms app na kufanya iweze kutuma meseji yenye maneno mengi kama vile 200 na zaidi, hata kama kuna mbinu au application inayoweza kufanya hivyo, naomba tujuzane manake nataka niwe natuma simulizi kwenye app ya ujumbe mfupi na sio...
  11. 89N

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kuandika barua Tamisemi ili kufanyiwa re-categorization

    Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
  12. Salahan

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuagiza simu za Tecno na Itel kwa bei ya kiwandani

    Simu ndogo ndogo hususani hivi vya batani za kampuni pendwa Africa namaanisha Tecno na Itel. Tumekuwa tukinunua simu hizi bei ya jumla maduka kadhaa kkoo arusha na kwingineko. Nahitaji kujua vp nami naweza kuwa msambazaji yan nikauziwa kwa bei ya kiwandani utaratibu ukoje.Hapa namaanisha...
  13. Best Daddy

    JamiiForums Tanzania Msaada: PC (Laptop) yangu ina display black(giza) ilhali inaoperate

    Natumaini siku inaenda sawa kabisa upande wenu. Ndugu, Wajuzi wa Mambo naombeni utatuzi wa PC yangu aina ya dell. Ghafla imepata tatizo la kushindwa kudisplay kama ilivyo kawaida na kuanza kuonesha giza tu au sometimes inadisplay kwa umbali sana, ila vitu vingine vinaonesha vinaoperate kama...
  14. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

    Mbunge mmoja kule Ulaya alihoji vigezo vilivyotumika kuwapa Watanzania msaada wa hela dhidi ya Corona ilhali wao Watanzania walishasema walipona Corona kwa kupitia maombi ya siku tatu. Dah! Naona Watanzania wamejibu kwa hasira, povu zinawatoka, mishipa imevimba. Hehehehe! Hapa hii video waziri...
  15. Royal Warrior

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hivi wenzangu mnaweza kuingia Twitter kupitia laptop/Kompyuta?

    Habari zenu wakuu, Nimekua nashindwa kuingia Twitter kupitia laptop yangu, je hili tatizo lipo kwangu tu au kwa kila mtu? Kwenye App ya simu inakubali fresh tu
  16. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Matapeli wa kisiasa waliopoteza chanzo cha mapato wanatafuta msaada kwenye tuta

    Tunajua fika CHADEMA na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake. Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua kuinstall nexus na kufanyia setting zake naomba anisaidie

    Samahan kwa anayejua kuinstall nexus na kufanyia setting zake zote kwenye maana mm na ina nishinda kufanyia setting kama kuna mtu anajua naomba anisaidie step by step.
  18. Frankdaniel711

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kufungua akaunti zangu

    Wana jf habari zenu, naomba msaada wa akaunti zangu za biashara facebook na instagram zimefungwa . Akaunti ya facebook ads ina andika disbled na akaunti ya instagram ina andika no premission.naomba msaada kazi zangu zimekwama namba zangu 0677423349 naitaji kusaidiwa msaada nisaidieni
  19. serio

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    ndugu wana jf, nataka kuanzisha biashara ya kuuza gesi ya kupikia na accessory zake.,naomba msaada kuhusu procedure zinazotakiwa ili niweze kufanikisha ndoto yangu. pia mwenye idea na strategic business proposal naomba anisaidie. natanguliza shukrani.
  20. thewajibu

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka wadau

    Habari wana Jf, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa, kuna mtu anahitaji msaada wa haraka sana ameniomba namba ya kipindi cha njia panda kinachorushwa na clouds ili aweze kupata msaada kutoka kwa watanzani, Asanteni
Back
Top Bottom