msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CalifNice

    JamiiForums Tanzania Msaada wa camera

    Naomba wanajamvi kwa mwenye elimu ya kamera za smartphone kupiga picha au video kama inavoonekana katika attachment file anijulishe picha ambazo inaoneka kawaida katika lakin pembeni yake iko blured
  2. Heater

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada kimawazo: Nimezaa na mwanamke ambaye anaishi na mwanaume. Mtoto kazaliwa copyright na mimi

    Kibaya zaidi ni kwamba Mwenzangu huyo anaamini kwamba ni mtoto wake na anahudumia kama baba. Mtoto anamiezi kumi ivi sasa, Natamani sana niweze kumpata lkn nashindwa ni vipi nitaweza kumpata. Natamani hata Mwanaume huyo angeujua ukweli, lkn naogopa madhara yatakayoweza kutokea baada ya kuujua...
  3. Lager

    JamiiForums Tanzania Msaada nitumie dawa gani kwa tatizo hili la ulimi?

    Ni kama ulimi umechanikachanika japo si sana na radha nahisi bado ila nahisi Kama kuwa na ganzi midomoni!.. Nitumie dawa gani?
  4. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa Mwanasheria mwenye namba ya DPP

    Kuna tukio lilitokea Mwanza mwaka jana,kwa ufupi mwanajeshi na mgambo waliwapiga watuhumiwa, ndani ya ofisi ya kata, mmoja alifariki. Polisi walidanganya marehemu aliuwawa na wananchi. Baadae mke wa marehemu alimuona mkuu wa mkoa,na upelelezi ukafanyika na maelezo yakachukuliwa,na kesi ilikuwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada nahitaji kununua gari

    Wakuu katika miangaiko yangu nimejichangachanga hapa nimepata Mil 8 nahitaji kununua ndinga kwa mtu anayeuza tuwasiliane. Vigezo gari iwe katika hali nzuri, ambayo iko chini ya km 100,000 na ambayo haijawahi kupata ajari. Napendelea toyota allion, Allex au Runx
  6. Zikwe

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri na Msaada Kwenye hili

    Nataka kununua kiwanja kwa Hawa Ma-Agent Wa kuuza Viwanja na Mashamba na kuna Marafiki zangu kama wawili hivi wameshanunua viwanja kwao, Kwa Upande wangu kiwanja ambacho wanataka kuniuzia kwa mujibu wa maelezo yao wanasema kuna mtu alikipenda na alishaanza Kukilipia ila akapatwa na matatizo...
  7. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Tanzania sio maskini na IMF ni mabeberu, Magufuli ukatae msaada wao sasa

    Siku ya leo, taasisi ya kimataifa ya fedha duniani (IMF) imetangaza kutoa msaada wa kifedha kwenda kwa nchi 28 maskini zaidi hapa duniani. Katika orodha hiyo, Tanzania imekuwa ni nchi mojawapo. Japokuwa sote tunajua misaada hii haiji hivi hivi, mara zote nchi husika 'hupiga magoti na kuwalamba...
  8. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania IMF yaidhinisha msaada kwa nchi 28 za kipato cha chini, Tanzania ikiwemo

    Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus. Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia...
  9. Mgiriki MTz

    JamiiForums Tanzania Msaada Muhas admission result kwenye account yangu hakuna taarifa yoyote!

    Habari zenu wadau,husika na kichwa cha Uzi naomba msaada maana sijapata taarifa yoyote.
  10. Petro E. Mselewa

    JamiiForums Tanzania Nimeridhika kabisa: Mbwana Samatta hakuwa msaada kwa Aston Villa, Watkins ameonesha utofauti mkubwa

    Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo. Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool...
  11. Muhsin Snr

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya kuanza maisha

    Habarini ya Jumapili wakuu, mimi ni kijana wa miaka 23 nipo sam wea chuoni namalizia degree yangu fulani, leo nimekuja kuomba msaada wa kimawazo namna ya kuyaingia maisha ya mtaani. To put things in persective, ninaishi kwa wazazi wa hali ya chini(milo miwili ya kubahatisha) Dar es...
  12. hp4510

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Gari yangu Nissani teana 230 JM

    Wakuu Habari za weekend Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo 1. Check engine light iko on 2. Ukitembea umbali flan Gari inazima na kuwaka hapo ni ishu kweli kweli 3. Ikiwa Inatembea inakuwa kama inatetemeka 4. Kwenye...
  13. Kilahunja

    JamiiForums Tanzania Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

    volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo. 1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km). 2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake. 3...
  14. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Msaada kuset internet kwenye LG V20U

    Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada

    Hivi ni lazima kisheria kujiunga na chama cha wafanyakazi kisheria, maana mimi nimeungwa moja kwa moja bila consultation na kwakweli sipendi hivi vyama wala sitaki kukatwa pesa yangu kuchangia hivi vyama naomba msaada kisheria kabla sijaenda kuwavaa ma HR wanitoe
  16. S

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kidogo

    Hivi ni lazima kisheria kujiunga na chama cha wafanyakazi kisheria, maana mimi nimeungwa moja kwa moja bila consultation na kwakweli sipendi hivi vyama wala sitaki kukatwa pesa yangu kuchangia hivi vyama naomba msaada kisheria kabla sijaenda kuwavaa ma HR wanitoe
  17. R

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nikitaka nitag uzi fulani kwenye comment, nifanyaje?

    Habarini, mara kadhaa nimeona kuna watu wanauliza vitu ambavyo tayari vimeshajadiliwa, sasa kumueleza kitu mtu unakosa apetite ya kuandika hivyo inakuwa bora utag huo uzi ili kuokoa muda. Naombeni mnielekeze ni jinsi gani naweza kutag uzi wa mtu humu JamiiForums
  18. mind bringer

    JamiiForums Tanzania msaada: s6 edge inasoma emergence calls only

    Tatizo ni nini hapa wakuu toka jana mchana network haisomi kwa sim yang inaandika emergence calls only msaada kwa anaejua NB: nimeangalia imei za simu yangu. zimebadilishwa sio kama za mwanzoni.
  19. R

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sijajiandikisha kwenye daftari la kupiga kura, sina kitambulisho cha kupiga kura. Nifanyaje?

    Habarini wana JamiiForums natumai wote mpo poa. Mm sio mpenzi sana wa siasa na hata kupiga kura huwa siendi, sema mara zote nimekuwa nikikichukua kitambulisho cha mpiga kura kama ID card ya kufanya shughul nyingine kama usajili, umiliki na hekaheka zengine. Sasa mwaka huu nimejikuta busy...
  20. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Mwanamke shupavu na msaada mkubwa katika bunge

    Kwangu mimi Halima Mdee Mdee naweza kusema ndiye mwanamama jembe na shupavu asiyeogopa na hata hachoshi kumsikiliza. Ni moja ya wanawake shupavu sana nchini na msaada mkubwa sana katika bunge letu la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu Mwanamama ni msomi mwanasheria mwenye uwezo mkubwa sana...
Back
Top Bottom