Habari wana Jf
kama mada inavyo jieleza hapo juu nimekua nasumbuliwa na meno hasa haya magego kiasi kwamba nikinywa kitu cha baridi nasikia yanauma na mda mwingine upepo ukiingia mdomoni tu nasikia yanauma na yakiambatana na kichwa kugonga sana
Habari zenu wanajamvi.
Naulizia ili kufahamu kwa niaba ya rafiki yangu.
Rafiki yangu alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa jijini Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi na hiyo kampuni kwa takriban miaka mitano.
Kwa kawaida kampuni ambayo alikuwa akifanya nayo kazi ilikuwa inawapatia...
Wakuu habari naombeni ushauri na maoni yenu kuhusu hii chuma ya mwingereza maana inanivutia na ndo gari ya ndoto yangu msaada Wa uimara wake pamoja na changamoto zake ukizingatia Mimi ni mkulima na mda mwingi Niko porini na vipi kuhusu spea na matengenezo yake hasa ikiwa ni diesel version...
Juzi juzi tu hapa nilifungua account. Baada tu ya kuifungua nikadeposit pesa USD 10 na cent 50. Ni kama elfu 24 hivi. Hiyo hela niliideposit kutoka kwenye mastar card ya M-PESA. Hela ikaingia na nikaiona kabisa balance USD 10.50
Nia yangu nilikuwa nataka deposit tena kutoka skrill kwenda kwa...
Salaam sana wakuu,
Kama wiki mbili zilizopita nilienda kumpima wife ujauzito ambapo majibu yalikua ni U.P.T negative na akachomwa sindano ya kuzuia mimba ila sasa napata mashaka. Ishu ni kwamba haoni siku zake na kwa kawaida ilitakiwa awe ameziona . Pili amekua akiniagiza vitu hususan soda na...
Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari?
Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa
Subaru Forester 2005
Nissan Dualis 2007
Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna.
Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili
Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini?
Yaani mfano mwanamke umezaa mtoto baadae unakuja pata hedhi baada ya miaka miwili ukizaa tena kuja kupata hedhi inakuchukua baada ya miaka au mwaka.
Hapa chanzo cha tatizo hili huwa ni nini?
Au ni jambo la kawaida kwa baadhi...
Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku.Ninayo recorder yangu ya Kichina MPEG 4.Shida yake kubwa ni kwamba, ukishawasha mara nyingi inakwamia kwenye boot mpaka uwashe na kuzima weee,ndio ikubali.Kama kuna mdau anayejua tiba yake naomba msaada.Inakera sana.
wakuu nina kijana wangu anamaliza darasa la 7 mwakani.
nataka akiwa tayari kuenda o level nimpeleke shule ambayo haijali tu masomo ya kawaida bali michezo pia. nataka kutengeneza bonge la central defender kwa ajili ya professsional football na Taifa Stars.
asanteni.
Nmetumiwa admission documents laikini admission letter sijatumiwa Niki click sehem ya download admission letter zina open other admission documents na sio admission letter, chuo ni muhas , msaada wenu jamani.
Habari wakuu,
Natumai mu wazima, naombeni kwa mwenye kibarua au anayejua mahali kuna nafasi za kazi anisaidie. Nimesomea kozi ya medical attendant, nimewahi kufanya kazi kwenye dispensary baadhi za watu binafsi, kwa sasa hali ni ngumu kwani ajira hakuna na pia mitaji imekuwa ngumu kidogo...
Kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF HERBAL REMEDIES ( by Claude Davis and Dr. Nicole Apelian)
Dah nakihitaji Sana. Wataalam wa ku cheza na kuchekecha mambo hamuwezi mkanisaidia aisee ni fanye free download?!!
Asante sana 🙏🙏
Habari wanajF,
Mkuu nimepigwa ad limit kwenye AdSense account yangu yenye Website ambayo ipo hosted na blogger msaada wenu tafadhali namna ya kufix hii ishu ya matangazo.
Nahitaji matangazo yaendelee kudisplay.
Asante
Natumaini wote wazima na kwa wale wa dar poleni na mafuriko.
Nilikuwa naomba kufahamishwa wapi wanapima Corona maana natarajia kusafiri nje ya nchi.
Pili je kipimo cha Corona bado ni kile kile cha kuchokonoana pua?
Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo...
Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo.
Ahsanteni. Be blessed!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.