Kweli kabisa maana unapata apps ambazo ziko customized na optimized kufanya kazi na ipads, tatizo la android kutokana na utitiri wa manufacturers, unakuta zie apps za simu ndizo zinakuwa stretched ziwe za tabletKwasasa ipad ndo ipo vzr sijui unataka ipi wewe
Tablet za Samsung kwa Sasa zina dex mode, Hakuna ku stretch una resize unavyotaka mwenye. Anglia reviews za tab S7 plus, pengine best non proffesional tablet on market kwa Sasa.Kweli kabisa maana unapata apps ambazo ziko customized na optimized kufanya kazi na ipads, tatizo la android kutokana na utitiri wa manufacturers, unakuta zie apps za simu ndizo zinakuwa stretched ziwe za tablet
Tablet ya kuingia line ama hata ya wifi?Wapi naweza kupata tablet nzuri kwa Budget ya laki nne?
Niliona sijui kwa whosethebose sijui kwa mkbhd sikumbuki alikuwa anaireview akaisifia sanaTablet za Samsung kwa Sasa zina dex mode, Hakuna ku stretch una resize unavyotaka mwenye. Anglia reviews za tab S7 plus, pengine best non proffesional tablet on market kwa Sasa.
Kwasasa ipad ndo ipo vzr sijui unataka ipi wewe
Nahitaji tablets za android, Kuna program ninayoitumia bado hawajaiweka kwenye iOS.Kweli kabisa maana unapata apps ambazo ziko customized na optimized kufanya kazi na ipads, tatizo la android kutokana na utitiri wa manufacturers, unakuta zie apps za simu ndizo zinakuwa stretched ziwe za tablet
basi chukua samsung S7 LTENahitaji tablets za android, Kuna program ninayoitumia bado hawajaiweka kwenye iOS.
Kama ni matumizi ya kawaida tu unaweza agizishia online Amazon fire HD, huwa Mara kwa Mara zinashuka bei around $40 mpaka 80 hivi, pengine mpaka inakufikia mkononi ikawa around laki 2 mpaka 3 na nusu.Nahisi nikipata yoyote itakua sawa tu.
Kumbe ya laki 4, sikuwa nimesoma samahaniNashukuru mkuu, lakini naona bei yake ni 1.2 million. Na sijaandaa budget hiyo
Kama ni matumizi ya kawaida tu unaweza agizishia online Amazon fire HD, huwa Mara kwa Mara zinashuka bei around $40 mpaka 80 hivi, pengine mpaka inakufikia mkononi ikawa around laki 2 mpaka 3 na nusu.
Ni tablet nzuri matumizi ya kawaida, weakness yake kubwa ni 32bit kuna baadhi ya games na app kubwa haziingii.
Kwa Samsung mpya ni Tab A ya 2019 Sema ni low end Sanaa. Uzuri wake ni 4g tab.
Samsung Galaxy Tab A 8.0 (2019) - Full tablet specifications
m.gsmarena.com
Hii kibongo bongo ni chini ya laki 4.
Alternative nyengine ni kununua used unapata iPad mini, iPad za kawaida, tab s series
Asante mkuu. Lakin nilichogundua ni kwamba tablets nzuri ni zile za kuanzia 1M. Nimejaribu kuaziangalia hizo lakini hazijanivutia kabisa.Kama ni matumizi ya kawaida tu unaweza agizishia online Amazon fire HD, huwa Mara kwa Mara zinashuka bei around $40 mpaka 80 hivi, pengine mpaka inakufikia mkononi ikawa around laki 2 mpaka 3 na nusu.
Ni tablet nzuri matumizi ya kawaida, weakness yake kubwa ni 32bit kuna baadhi ya games na app kubwa haziingii.
Kwa Samsung mpya ni Tab A ya 2019 Sema ni low end Sanaa. Uzuri wake ni 4g tab.
Samsung Galaxy Tab A 8.0 (2019) - Full tablet specifications
m.gsmarena.com
Hii kibongo bongo ni chini ya laki 4.
Alternative nyengine ni kununua used unapata iPad mini, iPad za kawaida, tab s series etc
Ni kweli mkuu, pia Huawei nabrand alioiuza ya Honor Wana decent tablet pamoja na xiaomi.Asante mkuu. Lakin nilichogundua ni kwamba tablets nzuri ni zile za kuanzia 1M. Nimejaribu kuaziangalia hizo lakini hazijanivutia kabisa.
Duh! Utakuwa umekosa nauli ya Moshi si bure!Mwanaume mzima unaanzisha ki uzi chako UCHWARA ukiulizia tablet?
Maduka yamejaa kila kona na wewe unakuja na visifa vyako UCHARA kututishia tujue una vilaki vyako vinne.
Usirudie tena
Kama ni matumizi ya kawaida tu unaweza agizishia online Amazon fire HD, huwa Mara kwa Mara zinashuka bei around $40 mpaka 80 hivi, pengine mpaka inakufikia mkononi ikawa around laki 2 mpaka 3 na nusu.
Ni tablet nzuri matumizi ya kawaida, weakness yake kubwa ni 32bit kuna baadhi ya games na app kubwa haziingii.
Kwa Samsung mpya ni Tab A ya 2019 Sema ni low end Sanaa. Uzuri wake ni 4g tab.
Samsung Galaxy Tab A 8.0 (2019) - Full tablet specifications
m.gsmarena.com
Hii kibongo bongo ni chini ya laki 4.
Alternative nyengine ni kununua used unapata iPad mini, iPad za kawaida, tab s series etc
Sababu soko lake limeshafeli, Hakuna hela. Sema kwa ambao wapo sokoni bado kama Samsung, Apple na Amazon wanaweka specs kali kwa bei rahisi.Hivi @Chief-Mkwawa kwann tabs nyingi huwa zina specs ndogo kwa upande wa SoC, GPU, Rram, Camera, Resolution ya kioo. issue huwa nn