GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,700
- 14,639
Ni week sasa nipo jiji la Mwanza kwa mapumziko ya mwisho wa Mwaka. Nina sehemu nimeweka kakibanda na ufugaji na mapumziko pia.
Leo nmeamka asubuhi mmoja ya Mbwa wangu kapoteza ghafla uwezo wa kuona. Mbwa wapo wawili.hawakugombana na huwa hawana tabia ya kugombana.
Hajaumia popote pale ila haoni kabisa ingawa macho yapo wazi. Jana usiku amefunguliwa alikuwa Ok kabisa. Leo asubuhi nmeamka nifanye mazoezi namwambia kuingia ndani anazunguka tu akijigonga. Nlishangaa.baadaye nimegundua haoni.
Hata nikipitisha mkono mbele yake haoni. Zaidi zaidi anaonekana kunusa.nimepata mawasiliano na daktari wa mifugo nimemweleza anasema hajui tatizo nini.
Nimekosa raha,sina amani nataka kumsaidia huyu Mbwa maana ni mbwa mwema kabisa.very friendly kwangu na hatari kwa maadui. Huyu kijana ambaye hukaa hapa anahusisha jambo hili na imani za kishirikina.mimi sielewi hayo mambo.
Naombeni msaada namsaidia vipi mbwa wangu. Na huku niliko Madaktari wa mifugo wachache maybe niende town. But daktari mmoja huyu ndo amenambia hajui tatizo ni nini.maana macho yanaonekana hayana ugonjwa wowote na hayadhurika.ameshindwa la kufanya.
huyu bwana mdogo anakomaa tu kuwa ni mama jirani ndo tatizo.ashawahi sema yeye hapendi mbwa. Na jana alikuja kama bundi. nami nlisikia mimi sauti ya bundi but i didnt give a damn . Sasa bwana mdogo anakazia hapo hapo. Nimeshapoteza mbwa kama wanne hapa toka nimeanza fuga.
Jirani mama huyu hapendi mbwa ingawa hawafiki kwake coz hapa kuna fance. Pia mbwa ashasaidia zaidi ya mara nne kumwonesha kijana Nyoka. So its possible ni nyoka. Ingawa kijana hakubali kabisa
Leo nmeamka asubuhi mmoja ya Mbwa wangu kapoteza ghafla uwezo wa kuona. Mbwa wapo wawili.hawakugombana na huwa hawana tabia ya kugombana.
Hajaumia popote pale ila haoni kabisa ingawa macho yapo wazi. Jana usiku amefunguliwa alikuwa Ok kabisa. Leo asubuhi nmeamka nifanye mazoezi namwambia kuingia ndani anazunguka tu akijigonga. Nlishangaa.baadaye nimegundua haoni.
Hata nikipitisha mkono mbele yake haoni. Zaidi zaidi anaonekana kunusa.nimepata mawasiliano na daktari wa mifugo nimemweleza anasema hajui tatizo nini.
Nimekosa raha,sina amani nataka kumsaidia huyu Mbwa maana ni mbwa mwema kabisa.very friendly kwangu na hatari kwa maadui. Huyu kijana ambaye hukaa hapa anahusisha jambo hili na imani za kishirikina.mimi sielewi hayo mambo.
Naombeni msaada namsaidia vipi mbwa wangu. Na huku niliko Madaktari wa mifugo wachache maybe niende town. But daktari mmoja huyu ndo amenambia hajui tatizo ni nini.maana macho yanaonekana hayana ugonjwa wowote na hayadhurika.ameshindwa la kufanya.
huyu bwana mdogo anakomaa tu kuwa ni mama jirani ndo tatizo.ashawahi sema yeye hapendi mbwa. Na jana alikuja kama bundi. nami nlisikia mimi sauti ya bundi but i didnt give a damn . Sasa bwana mdogo anakazia hapo hapo. Nimeshapoteza mbwa kama wanne hapa toka nimeanza fuga.
Jirani mama huyu hapendi mbwa ingawa hawafiki kwake coz hapa kuna fance. Pia mbwa ashasaidia zaidi ya mara nne kumwonesha kijana Nyoka. So its possible ni nyoka. Ingawa kijana hakubali kabisa