Search results

  1. Rwetembula Hassan Jumah

    DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

    Nchi hii iko na mambo ya ajabu sana .. mwalimu katajwa kwa barua aliyoandika huyo mwanafunzi lakini bado serikali imekula buyu. walimu sidhani kama mtakuja kuwa na maisha mazuri kiukweli kama hali itaendelea kuwa hivi. ualimu umekuwa kama genge la wahuni daah inauma. itoshe basi. nziu
  2. Rwetembula Hassan Jumah

    Tuna mabinti kama huyu, Wasudani wa nini?

    Sio kweli, sema kwakuwa bado UNATEGEMEA wazazi ujakuwa siku ukikuwa utaelewa. watanua mapaja wako na wengi ni wasomi tena wanapanua kwa kufosi... ili watu wawapanue...
  3. Rwetembula Hassan Jumah

    Tuna mabinti kama huyu, Wasudani wa nini?

    Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
  4. Rwetembula Hassan Jumah

    Makubwa(Kijana anayetrend Mitandaoni kwa kuuza Condom Mtaa kwa mtaa

    Hii Nchi ngumu sana ... nauliza hivi kondom zinarusiwa kuuzwa hadharani? Kama anavyofanya kijana huyu. Doooh
  5. Rwetembula Hassan Jumah

    Niliogopa nilipoanza kusikiliza wimbo mpya wa Roma 'Mimi ni Nani?

    Roma amewalenga wanaojiona keki na ulevi wa madaraka.
  6. Rwetembula Hassan Jumah

    Chakula bora ni Dawa

    Habari, Chakula bora ni Dawa. Ila Dawa sio chakula Bora. Tumia chakula kama dawa. Usije jikuta unatumia dawa kama chakula.
  7. Rwetembula Hassan Jumah

    Maendeleo na Elimu

    Siku ukijitambua utaelewa nilichoandika. Afrika tumekuwa program baada ya kutawaliwa, Maendeleo yametuondolea mambo yetu ya msingi (asili yetu) pia Elimu imebadilisha kila kitu chetu. Mfano mdogo.. Madawa, vyakula, imani n.k. Technology. Aliyeleta technology, lengo lake apate pesa sio...
  8. Rwetembula Hassan Jumah

    Unatakiwa kumiliki gari na pesa za kutosha uache kusumbua watu

    • Mtoto wa kiume unasuka bado unapanda daladala we ni hanifha. • Unapaka brich afu unapanda daladala we ni kichaa unayejitambua kidogo. • We una kitambi /mnene bonge nyanya afu bado unapanda daladala unasumbua vimbaumbau we kanunue gari yako binafsi ili ujinafasi. • Kijana ukihisi huwezi...
  9. Rwetembula Hassan Jumah

    Zitunze Dharau zao kuna siku watazihitaji so itakusaidia

    Mungu fundi bhana.. Tumbo lingekuwa na kioo tungeona mengi 😁viazi, magimbi vitumbua n.k ila akajua akili zetu na tabia zetu. Ule baga au magimbi wote tunaishi.. unyama sana yaani. [ ] Ushajenga nyumba yanini ukae nje? Ili watu wakuone kuwa nyumba yako😁 [ ] Umenunua gari ila ukaona ufungue...
  10. Rwetembula Hassan Jumah

    TATIZO NI NJAA

    Jalala liko na arufu fulani hivi amazing.. yaani sawa na haja yako unayoichukia wakati umeitoa mwenyewe 😁 Tambua taulo unalofutia matako iko siku utalifutia uso wako #MunguMkubwa jitie kichaa Wakati tatizo ni Njaa
  11. Rwetembula Hassan Jumah

    Watoto wenu acha kuwapa majina ya watu maarufu mnawakosesha bahati zao

    Kuna watoto wanapewa majina ya watu maarufu sijajua wazazi uwaga wanaza nini • Kijijini kwetu hata hapa mjini kuna watu wanatumia majina ya watu maarufu na ni majina yao sahihi waliopewa na wazazi wao. Kwa mfano kuna wanaume wanaitwa .William, Mkapa, Nyerere, Kikwete, Riziwan , Mwinyi...
Back
Top Bottom