Nchi hii iko na mambo ya ajabu sana .. mwalimu katajwa kwa barua aliyoandika huyo mwanafunzi lakini bado serikali imekula buyu.
walimu sidhani kama mtakuja kuwa na maisha mazuri kiukweli kama hali itaendelea kuwa hivi.
ualimu umekuwa kama genge la wahuni daah inauma.
itoshe basi.
nziu
Sio kweli, sema kwakuwa bado UNATEGEMEA wazazi ujakuwa siku ukikuwa utaelewa.
watanua mapaja wako na wengi ni wasomi tena wanapanua kwa kufosi... ili watu wawapanue...
Siku ukijitambua utaelewa nilichoandika.
Afrika tumekuwa program baada ya kutawaliwa, Maendeleo yametuondolea mambo yetu ya msingi (asili yetu) pia Elimu imebadilisha kila kitu chetu.
Mfano mdogo.. Madawa, vyakula, imani n.k.
Technology.
Aliyeleta technology, lengo lake apate pesa sio...
• Mtoto wa kiume unasuka bado unapanda daladala we ni hanifha.
• Unapaka brich afu unapanda daladala we ni kichaa unayejitambua kidogo.
• We una kitambi /mnene bonge nyanya afu bado unapanda daladala unasumbua vimbaumbau we kanunue gari yako binafsi ili ujinafasi.
• Kijana ukihisi huwezi...
Mungu fundi bhana.. Tumbo lingekuwa na kioo tungeona mengi 😁viazi, magimbi vitumbua n.k ila akajua akili zetu na tabia zetu. Ule baga au magimbi wote tunaishi.. unyama sana yaani.
[ ] Ushajenga nyumba yanini ukae nje? Ili watu wakuone kuwa nyumba yako😁
[ ] Umenunua gari ila ukaona ufungue...
Jalala liko na arufu fulani hivi amazing.. yaani sawa na haja yako unayoichukia wakati umeitoa mwenyewe 😁
Tambua taulo unalofutia matako iko siku utalifutia uso wako #MunguMkubwa jitie kichaa Wakati tatizo ni Njaa
Kuna watoto wanapewa majina ya watu maarufu sijajua wazazi uwaga wanaza nini •
Kijijini kwetu hata hapa mjini kuna watu wanatumia majina ya watu maarufu na ni majina yao sahihi waliopewa na wazazi wao. Kwa mfano kuna wanaume wanaitwa .William, Mkapa, Nyerere, Kikwete, Riziwan , Mwinyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.