Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
jana nimeshindaaa muhimbili.. ni wazuriii hao 😊😊Kuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan
Mkuu unazijua sheria za kutumia picha ya mtu bila ya kibali chake?Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
View attachment 2665612
Acha wivu wale ni wazuri cio kama hawa wadangaji.Mimi kama mpenzi wangu anaandika ushubwada huo nampiga chini siwezi kuwa na ukaribu na mwehu.
We kaa hapohapo hamna atakae kufuata.Kuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan
Kuna nini kwani? Tujuzeni sisi tulio nyuma ya wakati.Kuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan