Kati ya SUV kali aliyotoa Mitsubish hi hii mitsubishi outlander 2022
Mwaka 2016, Nissan-Renault Alliance walinunua share ya Mitsubishi kwa 34% wakiwa wamiliki wenye hisa kubwa kwenye Kampuni ya Mitsubishi. Nissan walinunua baada ya ile skendo kubwa ya fuel economy scandal, ambayo Kampuni ya...
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.
Sasa Urussi...
Commanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja...
Turbo power ya gari inavujisha oil na kupandisha kwenye engine...je inaweza kurekebishika au ndio imekufa itolewe iwekwe nyingine?
Je unaweza kutoa/ku-disconnect turbo na engine ya gari ikaendelea kufanya kazo?
Sijwahi kupanda hili basi, ila nimetokewa kuvutiwa na jinsi lilivyokuwa maarufu kwenye stand za mabus. ukienda vijiwe vya stand ukizungumzia ruti ya DSM-MBY -Tunduma , utatajiwa dereva linyama wa bus la golden Deer T232DJQ, maarufu kama Deer 232 (king of the road dsm -Mby -tunduma). ili basi...
Serikali mkoani Arusha imewataka wananchi na taasisi zinazoendelea kutoa rambirambi kwa familia za wanafunzi waliofariki katika ajali ya basi la wanafunzi kufuata taratibu zilizowekwa ili kuepusha migongano isiyo ya lazima. Aidha amesema serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza...
Utaratibu mpya uliotangazwa unatoa nafasi kwa wabunge wa EALA kwa mwaka 2017 kulingana na idadi ya wabunge wa kila chama kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Kwa mujibu wa Mwongozo huo, kutokana na idadi ya wabunge wa vyama kwa kila chama, CCM imepata nafasi za wabunge sita kwenda EALA...
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) linadaiwa zaidi ya Sh bilioni 4 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) za kodi ya mitambo ya kuzalisha umeme iliyokwama katika Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutembelea mradi wa uzalishaji wa umeme wa gesi asilia...
kwa wale wapenzi wa movies, ninacollection za movies zaidi ya mia moja (ila sio bongo movies) kwa anahehitaji tuwasiliane bei ni nafuu tu, kuna series ya game of throne kuanzia season 1, narcos, power, game ya assassin creed III. kwa anayehitaji anipm
kwa wale wapenzi wa movies, ninacollection za movies zaidi ya mia moja (ila sio bongo movies) kwa anahehitaji tuwasiliane bei ni nafuu tu, kuna series ya game of throne kuanzia season 1, narcos, power, game ya assassin creed III. kwa anayehitaji anipm
leo nilikuwa napitia magazeti nikakutana magazeti 2 ya kampuni tofauti yanakuwa na kichwa cha habar kinachofanana, hii imekaaje? Pasco, jackton manyerere hii sio mambo ya kuharibiana soko
Ewe mfanyabiashara mdogo na wakati ambae mahesabu yako unaweka kwenye daftari, huu ni mwaka wa mabadiliko, hamia kwenye system itakayo kutunzia mahesabu yako vizuri.
Natoa training ya jinsi ya kutumia tally, nakuwekea tally kwenye laptop/computer yako, nakutengenezea charts za account...
Ewe mfanyabiashara mdogo na wakati ambae mahesabu yako unaweka kwenye daftari, huu ni mwaka wa mabadiliko, hamia kwenye system itakayo kutunzia mahesabu yako vizuri. Natoa training ya jinsi ya kutumia tally, nakuwekea tally kwente laptop yako, nakutengenezea chart za account, nakufanyia...
Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?
Jenerali UlimwenguToleo la 425
30 Sep 2015
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani huo hujijengea dhana yake ya hicho...
Hukumu yake kutolewa tar 10/12. Atafungwa jela miaka 18. Hii fundisho kwa watu wote wanaowatesa watoto wadogo.
Ugandan maid admits beating toddler - Ugandan maid admits beating toddler BBC News - Uganda maid admits beating toddler after secret filming
BBC imetoa habari kwamba waziri mkuu wa Tanzania ahusishwa tuhuma za rushwa. Ni kweli Pinda kosa lake ni rushwa au kutosimamia vizuri malipo ya escrow?
Hapa BBC wamechemka.
Katika pitapita zangu nimekutana na hiyo habar! Kumbe marekani ilitaka kuipindua serikali ya nyerere, Usalama wa taifa ikanyaka mawasiliano. Chezea TISS ya mwl nyerere
Source;businesstimes
Wale manesi wawili walioambukizwa ebola wamepona! Wameruhusiwa hospital na wameenda ikulu kuonana na Obama.
Ukumbuke wameumwa sio zaidi ya wiki moja. Na ukumbuke huko nyuma kuna daktari mwingine aliambukizwa alitibiwa akapona. Ila yule mwafrika toka West Afrika aliyelazwa huko Marekani...
Suzuki swift linauzwa! lipo kwenye hari nzuri halijawahi kupata hajali. km 150,000. 1320 cc . la 2004. ac, power window. airbag, CD player, FM radio. nimeshindwa Ku upload picture jf. linapatikana dar. bei ni 6,500,000/=. anaye hitaji ani pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.