Rais wetu nakuomba kuacha kuwatesa wahudumu wako wanaokuzunguka kukulinda kuvaa Barakoa.
Ni kitu cha kusikitisha sana nchi ambayo haina hata uwezo mkubwa wa wataalam waliobobea na vifaa vya kitaalam vya kufanya research ya DNA kama Tanzania, leo Rais wake anazungunguka nchi nzima akiwalazimisha...
Rais Samia, Mama yetu mpendwa nakuomba tafadhali sana kuachana na huo mradi unao endelea hivi sasa jijini Dar es salaam mradi wa BRT. Huu mradi Mama, kwa idadi ya wakazi waliopo hivi sasa Dar na ongezeko la hao wakazi litakalo tokea hadi mwaka 2030, hauta weza kukidhi mahitaji ya wana Dar es...
Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.
Kusema kweli, hotuba...
Awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwako Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan kwa kumbadilisha waziri wa ujenzi na uchukuzi, Waziri Chamriho, ambaye kwa mtanzamo wa wengi hatukuona nini anakifanya kwa kupewa majukumu makubwa yale ya kuiongoza wizara yetu nyeti ya Ujenzi na...
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.
Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi...
Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa nasikitika leo kusema kuwa mpaka kufikia mwaka 2030 kama nguvu kubwa zaidi hazitatumika za kubadili mfumo mzima wa maisha yetu, nahofia vurugu tunazoziona hivi sasa huko Afrika ya Kusini zikitokea tutazishuhudia zikitokea hapa kwetu pia, tena kwa ukubwa...
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya...
Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa mtendaji wetu mkuu wa serikali yetu tukufu inayo ongozwa na Mama yetu mpendwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan nakuomba kwa moyo mweupe na wa huruma kubwa ya watanzania wengi wanaolilia maendeleo yetu na ya vizazi vyetu kwa dhati kuwafukuza na ikibidi...
Nchi yenye watu ambao wana vichwa vyenye uwezo wa ku-observe their nature, kufikiri na kubuni njia mbalimbali za kutatua matatizo yao yanayo wakabili practically, ndiyo nchi yenye maendeleo makubwa na mara nyingi inakuwa nchi ambayo wananchi wake wanajiamini na hawaogopi kukabialiana na tatizo...
Naam! Naipongeza serikali ya ndugu zetu wakenya kwa kutambua umuhimu wa kuondoa kero za wananchi wao wanazopata kila siku ya Mungu kwenye misongamano ya magari barabarani kwa ku-introduce Commuter Rail Network mjini Nairobi.
Uamuzi huu ni kitendo ambacho kinatakiwa kuigwa na kila serikali ya...
Ni kitu cha kufurahia na kushukuru sana kuona jinsi gani Rais unavyo jitahidi kuliweka jiji letu kuwa mobile kwa jitihada zako kubwa za kimkakati unazozifanya za kudumisha na kuimarisha miundombinu ya usafiri jijini Dar es Salaam kwa kujenga mbarabara, madaraja na Flyovers. Imekuwa ni faraja...
Nianze moja kwa moja na mada yangu,
Kwa mara yangu ya kwanza napenda kumshukuru Mh Tundu Antipati Lissu kwa mawazo mazuri aliyo yatoa jana katika ziara yake ya kutembelea mitaa ya kariakoo kuhusu mobility kwenye jiji letu la Dar.
Nikilinganisha mawazo haya na hotuba ya Rais Magufuli leo kwenye...
Awali ya yote ningependa kwa unyenyekevu mkubwa kumshukuru mwenyezi Mungu wa mbinguni na mwingi wa rehema kwa kutuwezesha sisi watanzania kuwa na kiongozi wa aina yake katika nchi yetu.
Rais Magufuli nina appreciate kazi zako kubwa ulizo zifanya so far katika jitihada zako za kuwaletea...
Awali ya yote napenda kutoa pole zangu kubwa na rambi rambi kwa ndugu na familia wote nchini waliopata kuondokewa na wapendwa wao na mungu wa mbinguni aziweke roho za wapendwa hao peponi na miili yao mahali patakatifu duniani. Amen!
Zaidi ya hayo napenda pia kutoa shukran zangu nyingi na za...
Kwa masikitiko yangu makubwa imenibidi ni iweke hii clip yako hapa ili wewe mwenyewe usikie uliyoyasema wakati ukitoa statement yako ya case ya kwanza ya CORONAVIRUS, COVID-19 nchini.
Waziri Umy Mwalim kama suala hapa ni sayansi, basi napenda utambue kuwa hata sisi sayansi tunaijua vilevile...
Jana Rais Magufuli Jembe letu la Tanazania kutoka Chato ameshuhudia historia kubwa ya kutia saini ya mkataba wa makubaliano kati ya Tanzania na Barrick Gold wa kuendesha kampuni ya pamoja ya kuchimba dhahabu nchini, TWIGA MINERALS COOPERATION.
Na juzi tarehe 23 mwezi huu Rais Magufuli amevunja...
Awali ya yote naomba kuchukua nafasi hii kwanza kumshukuru mungu wa wingi wa rehema kuniwezesha mimi na wapendwa wangu nchini na ughaibuni hasa Ujerumani kuuona mwaka huu mpya wa 2020. Pili nampongeza Rais wetu Mpendwa JPM na watendaji wake wote wa serikali anayo iongoza na ambao wako mstari wa...
Ni sawa kabisa unachosema mtaalamu wa masuala ya utalii. Nimependa sana hoja yako.
Lakini kitu ambacho sisi hapa tunazungumzia au Mbunge Lema kumaanisha na wewe kupaswa kutuelewa ni kuwa je, lazima iwe Dreamliner ya $ 262 milioni katika kuboresha sekta ya anga? Je, isingetosha ndege ndogo za...
Asante sana Mbunge Lema umenena mambo mazuri sana. Hata mimi , kama nimekuelewa vizuri, naona maendeleo ambayo yako nchini ni maendeleo ya vitu na sio maendeleo ya watu na ambayo sio future ya watanzania.
Rais Magufuli ana tuaminisha sisi kuwa analeta maendeleo ya watu. Wakati ukweli sio hivyo...
unprejudiced
Hakuna Majournalist Tanzania wote ni walala hoi. Mambo ya wakina Menina ndizo story zao.
Wakina Millard Ayo na wakina Mayalla ni wapuuzi watupu. Kazi zao ni kuandika mambo ya udaku udaku mda wote na kutafuta pale Rais anapokosea ndio kwao ni issue kubwa ambayo ulimwengu unapaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.