Rais Samia, nakuomba angalia upya Mradi wa BRT Dar

Maneno Meier

JF-Expert Member
May 12, 2013
2,469
1,697
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi hautakuwa na impact yoyote kubwa kwenye maisha ya wakazi wa jiji la Dar es salaam katika;

1. Kumpunguza tatizo la usafiri jijini
2. Kutoa ajira nyingi kwa vijana
3. Kuleta transformation yoyote ile ya kiteknolojia ambayo itawawezesha vijana kupanua bongo zao na
4. Uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotokana na matumizi ya mafuta mengi ya diesel

Mama nafikiri umeshatembelea nchi nyingi za ulimwengu na kuona miji yake yenye wakazi wengi. Kwenye hizo nchi nafikiri umeona pia jinsi gani wenzetu walivyo jitahidi kuondoa tatizo la usafiri wa abiria wanao kwenda kazini asubuhi na kurudi majumbani kwao baada ya kazi. Sambamba na usafiri wa mabasi ya public, commuter trains au niseme under ground na street trains au trams zimetamalaki sana.

Sisemi tujenge underground trains ila tu ningependa kusisitiza kuwa sambamba na mabasi ya mwendo kasi, commuter trains nazo zingepewa kipau mbele kikubwa katika kukabiliana na tatizo la usafiri wa abiria katika mji unao kua kwa kasi sana kama Dar es salaam. Mabasi ya mwendo kasi peke yake kwa jiji letu sitegemei kama yatakidhi mahitaji yanayo takiwa huko mbeleni.

Ni jambo ambalo sote tunajua kuwa Tanzania na hasa mji wa Dar es salaam unakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa ajira kwa vijana wetu wanao maliza shulr na vyuo. Na serikali naona haina mbinu kubwa ya kutatua tatizo hili mbali na kutegemea wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nje na ambao sio wengi wanaomiminika nchini.

Nafikiri tumeshuhudia wenyewe jinsi treni ya umeme ilivyopokelewa kwa miyo mkubjufu na watanzania na kusisitiza kumalizika kwa SGR ili watanzania waone matokeo yake.

Commuter trains na karakana zake zitasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana na vile vile ni chachu ya vijana kuweza kupanua uwezo wao wa kufikiri kuhusina na teknolojia hii mpya kwao.

Connections kati ya miji kama Bagamoyo , Kibaha, Mkuranga na Kisarawe na Station yetu ya Tanzanite na Magufuli Bus Terminal, ingekuwa ni rahisi sana. Lakini kwa vile tuna waziri wa ujenzi na watu wa mipango miji ambao hawana vision, inakuwa shida sana kwa nchi kama Tanzania kupiga hatua kubwa na za haraka kiteknolojia.

Nashindwa kuelewa Mama Samia mipango ya serikali ya kusafirisha abiria jijini pindi SGR yetu ya Mwanza, Kigoma na nchi jirani itakapo kuwa imemalizika. Mji utakuwa haupitiki kwa foleni za magari na msongamano wa watu watakao pata nafasi ya kuja Dar haraka kufanya biashara kutoka mikoani na nchi jirani.

Jiji halina budi kujipanga sasa jinsi ya kukabiliana na changamoto la baadae. Tuna watu wa aina gani Mama ambao hata ile fikra ya kutambua nini matokeo ya baadae?

Mama sisi tunakutegemea wewe sana, kwani tunaimani ya kuwa una ile spirit ya kipenzi chetu Hayati Rais Magufuli. Haya mambo usipoyafanya wewe sidhani kama kuna mwingine atakaye kuwa na spirit yako na Hayati Rais Magufuli.

Swala jingine kubwa linalo tufanya tujenge usafiri wa commuter trains kwa haraka ni uharibifu wa mazingira. Kwa vile usafiri wa mabasi unachochea sana kwenye uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotumia ya diesel haina budi kutafuta njia mbadala wa kuondokana na tatizo la uchafuzi wa hali ya hewa jijini.

Hivi haya mabasi yetu ya mwendo kasi yana partickel Filter na catalylizer ili kupunguza air polution?
 
Mradi au ni upumbavu mtupu. Jumamosi mchana nilipanda from Fire to ubungo kwanza eneo la kupandia bus la ubungo hamna bus linalosimama lisaa lizima nikaamua kuelekea yanaposimama ya, kimara mbezi ni yamejaa tu hewa ndani nzito hamna aneyeshuka nilibahatisha kusukuma mtu nikaingia for sure ni moja wapo wa usafiri au uliandaliwa au unaendeshwa kingese mno...
 

Rais Samia Anatarajia Kuanza Ziara Ya Kikazi Nchini Marekani​

Ningemshauri asiende kwani waamerika hawana kitu cha ku offer kwa watanzania. Waamerika ndiyo watu wa kwanza wanaowakamdamiza watu weusi ulimwenguni.

Kama nchi kubwa iliyoendelea ulimwenguni inashindwa kuwalinda na kuwathamini wananchi wake, unategemea nchi hiyo kuwathamini watanzania?

Ningemshauri mama asiwe na illusion ya kufikiri kuwa Amerika ndiyo ufunguo na jawabu la matatizo ya watanzania la ajira. Amerika ni taifa linalokufa taratibu na halina kitu cha kuishauri Tannzania.

Kama anaenda kudhuru ili kuweka namba kwenye diary yake kuwa alisha zuru Amerika kama Rais, hapo sawa, lakini kutegemea kupata cha maana kutoka kwa Joe Beiden hiyo asahau. Wana nini Amerika cha ku offer kwa mtanzania zaidi ya matangu pori tutakayo lishwa kuhusu demokrasia na LGBT?

Amerika ni Taifa moja ambalo nimelifuta katika mawazo yangu kuwa ni Taifa ambalo mtu unaenda kujifunza mazuri.

Kuijenga Tanzania Rais Samia inahitaji vision yako na sio kuwasikiliza watu ambao hawana nia njema na sisi.

Mwanagalie Hayati Rais Magufuli, ametekeleza mengi hata bila kukutana na waamerika. Na unakumbuka waamerika ndiyo walio kuwa wanampinga ile kishenzi.
 
Kwenye issue ya mwendo kiasi wangeweza kutumia infrastructure hiyo hiyo kuweka reli kwa ajili ya trums na hiyo commuter trains etc kwa ajili ya kurahisha usafiri, biashara n.k
Uko sahihi mkuu. Unajua tatizo letu kubwa liko katika wizara ya ujenzi. Inasikitisha kuwa na waziri ambaye anachokifanya hakieleweki.

Maswala kama haya ya usafiri wa jiji nilitegemea yeye kuchukua initiative ya kukusanya wataalam wetu wa ndani na wa nje na ku plan mikakati ya kutatua haya matatizo. Sielewi yuko kwenye hiyo position kwa misingi ipi?

Waziri wa ujenzi kama waziri mwenye dhamana anatakiwa awe mbele katika kutoa majawabu ya kutatua mambo ya usafiri Tanzania. Mimi nasikitika kusema, sioni visions zake. Mara nyingi namwona tu kwenye events nyingi za ufunguzi wa miradi tu na Rais anapotembelea Miradi.

Nitoe mfano wa Airport ya Mwanza. Mkuu wa mkoa na halmashauri ya mkoa inatilia mashaka gharama za ujenzi wa hiyo Airport, lakini waziri na wizara yenye dhamana haikuona na wala kuhoji. Waziri yuko na amekaa kimya na wala hajishughulishi na hilo swala. Nilitegemea angejitokeza kwenye vyombo vya habari na kusema chochote kuhusiana na swala hilo. Rais naye ana mlea tu.

Tutafika kweli?
 
Uko sahihi mkuu. Unajua tatizo letu kubwa liko katika wizara ya ujenzi. Inasikitisha kuwa na waziri ambaye anachokifanya hakieleweki.

Maswala kama haya ya usafiri wa jiji nilitegemea yeye kuchukua initiative ya kukusanya wataalam wetu wa ndani na wa nje na ku plan mikakati ya kutatua haya matatizo. Sielewi yuko kwenye hiyo position kwa misingi ipi?

Waziri wa ujenzi kama waziri mwenye dhamana anatakiwa awe mbele katika kutoa majawabu ya kutatua mambo ya usafiri Tanzania. Mimi nasikitika kusema, sioni visions zake. Mara nyingi namwona tu kwenye events nyingi za ufunguzi wa miradi tu na Rais anapotembelea Miradi.

Nitoe mfano wa Airport ya Mwanza. Mkuu wa mkoa na halmashauri ya mkoa inatilia mashaka gharama za ujenzi wa hiyo Airport, lakini waziri na wizara yenye dhamana haikuona na wala kuhoji. Waziri yuko na amekaa kimya na wala hajishughulishi na hilo swala. Nilitegemea angejitokeza kwenye vyombo vya habari na kusema chochote kuhusiana na swala hilo. Rais naye ana mlea tu.

Tutafika kweli?
Inawezekana ni miongoni kwa timu ya "tozo" za wakandarasi
 
Inawezekana ni miongoni kwa timu ya "tozo" za wakandarasi
Inawezekana mkuu.

Na Mama naye amekazana na slogan yake ya "Kazi iendelee". Kazi itaendelea vipi, wakati waziri na waizara yenye dhamana imelala? Au ndiyo kiinimacho!

Nafikiri Mama bado hajaona nchi inavyolipuka kwa vijana kukosa kazi na perspective. Awaulize wafaransa na warusi.

Ningependa kumwuliza Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan vigezo ambavyo Marais wetu wanatumia katika kuwateua mawaziri wa ujenzi na uchukuzi. Mbona ni bilaa kubwa sana!

Natambua juhudi kubwa ambazo serikali inazifanya katika kuwekeza kwenye kwenye miundo mbinu ya afya, usafiri, nishati na kadhalika nchi nzima, lakini hiyo peke yake haitoshi, jitihada kubwa pia zifanyike kwenye kuwekeza kwenye miradi itakayo zalisha ajira kwa vijana.

Mali ghafi za kuzalisha karibu kila kitu tunazo, kwanini serikali ishindwe kupeleka nguvu kazi zake huko?
 
Ningemshauri asiende kwani waamerika hawana kitu cha ku offer kwa watanzania. Waamerika ndiyo watu wa kwanza wanaowakamdamiza watu weusi ulimwenguni.

Kama nchi kubwa iliyoendelea ulimwenguni inashindwa kuwalinda na kuwathamini wananchi wake, unategemea nchi hiyo kuwathamini watanzania?

Ningemshauri mama asiwe na illusion ya kufikiri kuwa Amerika ndiyo ufunguo na jawabu la matatizo ya watanzania la ajira. Amerika ni taifa linalokufa taratibu na halina kitu cha kuishauri Tannzania.

Kama anaenda kudhuru ili kuweka namba kwenye diary yake kuwa alisha zuru Amerika kama Rais, hapo sawa, lakini kutegemea kupata cha maana kutoka kwa Joe Beiden hiyo asahau. Wana nini Amerika cha ku offer kwa mtanzania zaidi ya matangu pori tutakayo lishwa kuhusu demokrasia na LGBT?

Amerika ni Taifa moja ambalo nimelifuta katika mawazo yangu kuwa ni Taifa ambalo mtu unaenda kujifunza mazuri.

Kuijenga Tanzania Rais Samia inahitaji vision yako na sio kuwasikiliza watu ambao hawana nia njema na sisi.

Mwanagalie Hayati Rais Magufuli, ametekeleza mengi hata bila kukutana na waamerika. Na unakumbuka waamerika ndiyo walio kuwa wanampinga ile kishenzi.
Duh akili za kurithi hizi kutoka kwa Kayafa Mwendazake.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi hautakuwa na impact yoyote kubwa kwenye maisha ya wakazi wa jiji la Dar es salaam katika;

1. Kumpunguza tatizo la usafiri jijini,
2. Kutoa ajira nyingi kwa vijana,
3. Kuleta transformation yoyote ile ya kiteknolojia ambayo itawawezesha vijana kupanua bongo zao na
4. Uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotokana na matumizi ya mafuta mengi ya diesel.

Mama nafikiri umeshatembelea nchi nyingi za ulimwengu na kuona miji yake yenye wakazi wengi. Kwenye hizo nchi nafikiri umeona pia jinsi gani wenzetu walivyo jitahidi kuondoa tatizo la usafiri wa abiria wanao kwenda kazini asubuhi na kurudi majumbani kwao baada ya kazi. Sambamba na usafiri wa mabasi ya public, commuter trains au niseme under ground na street trains au trams zimetamalaki sana.

Sisemi tujenge underground trains ila tu ningependa kusisitiza kuwa sambamba na mabasi ya mwendo kasi, commuter trains nazo zingepewa kipau mbele kikubwa katika kukabiliana na tatizo la usafiri wa abiria katika mji unao kua kwa kasi sana kama Dar es salaam. Mabasi ya mwendo kasi peke yake kwa jiji letu sitegemei kama yatakidhi mahitaji yanayo takiwa huko mbeleni.

Ni jambo ambalo sote tunajua kuwa Tanzania na hasa mji wa Dar es salaam unakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa ajira kwa vijana wetu wanao maliza shulr na vyuo. Na serikali naona haina mbinu kubwa ya kutatua tatizo hili mbali na kutegemea wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nje na ambao sio wengi wanaomiminika nchini.

Nafikiri tumeshuhudia wenyewe jinsi treni ya umeme ilivyopokelewa kwa miyo mkubjufu na watanzania na kusisitiza kumalizika kwa SGR ili watanzania waone matokeo yake.

Commuter trains na karakana zake zitasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana na vile vile ni chachu ya vijana kuweza kupanua uwezo wao wa kufikiri kuhusina na teknolojia hii mpya kwao.

Connections kati ya miji kama Bagamoyo , Kibaha, Mkuranga na Kisarawe na Station yetu ya Tanzanite na Magufuli Bus Terminal, ingekuwa ni rahisi sana. Lakini kwa vile tuna waziri wa ujenzi na watu wa mipango miji ambao hawana vision, inakuwa shida sana kwa nchi kama Tanzania kupiga hatua kubwa na za haraka kiteknolojia.

Nashindwa kuelewa Mama Samia mipango ya serikali ya kusafirisha abiria jijini pindi SGR yetu ya Mwanza, Kigoma na nchi jirani itakapo kuwa imemalizika. Mji utakuwa haupitiki kwa foleni za magari na msongamano wa watu watakao pata nafasi ya kuja Dar haraka kufanya biashara kutoka mikoani na nchi jirani.

Jiji halina budi kujipanga sasa jinsi ya kukabiliana na changamoto la baadae. Tuna watu wa aina gani Mama ambao hata ile fikra ya kutambua nini matokeo ya baadae?

Mama sisi tunakutegemea wewe sana, kwani tunaimani ya kuwa una ile spirit ya kipenzi chetu Hayati Rais Magufuli. Haya mambo usipoyafanya wewe sidhani kama kuna mwingine atakaye kuwa na spirit yako na Hayati Rais Magufuli.

Swala jingine kubwa linalo tufanya tujenge usafiri wa commuter trains kwa haraka ni uharibifu wa mazingira. Kwa vile usafiri wa mabasi unachochea sana kwenye uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotumia ya diesel haina budi kutafuta njia mbadala wa kuondokana na tatizo la uchafuzi wa hali ya hewa jijini.

Hivi haya mabasi yetu ya mwendo kasi yana partickel Filter na catalylizer ili kupunguza air polution?
Waangalie upya wakati mradi uko awamu ya tatu? Ulikuwa wapi kutoa maoni mwanzoni kabisa?

Mipango ya bongo huwa ni zimamoto na ufanisi huwa ni zero,too late.
 
Sioni kama huu mradi una tatizo bali tatizo lipo kwa watu wanaoondesha mradi, na logistic zake. Ni kawaida kukuta kituo kimejaa watu na magari hakuna wakati kuna magari yame-park! Kwavile wamekariri mchana hakuna abiria wengi, matokeo yake unakuta ikifika mchana magari mengi yanakuwa yameegeshwa. Lakini wakati gari zikiwa zinaegeshwa wakati wa mchana, ukichukua gari zote kwa ujumla wake na zenyewe ni chache kuweza kuhudumia wakati wa asubuhi na jioni matokeo yake unakuta wamerundika abiria kwa kiwango cha kutisha!

Hayo yote ndo matatizo makuu ya mwendokasi, lakini si matatizo yanayotokana na aina hii ya usafiri bali ni matatizo yanayotokana na uzembe wetu! Na kwa uzembe wa aina hii, hata uweke mfumo mwingine wa usafiri bado tatizo litabaki pale pale! Zikiwepo hizo commuter trains, na zenyewe ikifika mchana zitapaki kama wanavyofanya mabasi! Nchi za wenzetu, ni kawaida kabisa kukuta metro ikiwa tupu lakini ipo barabarani! Hawa BRT hilo la kutembeza gari zao "tupu" ndo hawataki. So, solution ni very simple. Kuongeza idadi ya mabasi, na kupunguza idadi ya mabasi yanayopaki wakati wa mchana!
 
Yakhe siwazenji twapenda bonyeza kazi lainiiii kutengeneza makala,kukutana na wamama,kuhudhuria kuapishwa/mialiko nje, kupokea mabalozi, kwenda mashereheni nk.

Hayo magumu magumu sie walaaaa tatuonea buleee
 
Sioni kama huu mradi una tatizo bali tatizo lipo kwa watu wanaoondesha mradi, na logistic zake. Ni kawaida kukuta kituo kimejaa watu na magari hakuna wakati kuna magari yame-pack! Kwavile wamekariri mchana hakuna abiria wengi, matokeo yake unakuta ikifika mchana magari mengi yanakuwa yameegeshwa. Lakini wakati gari zikiwa zinaegeshwa wakati wa mchana, ukichukua gari zote kwa ujumla wake na zenyewe ni chache kuweza kuhudumia wakati wa asubuhi na jioni matokeo yake unakuta wamerundika abiria kwa kiwango cha kutisha!

Hayo yote ndo matatizo makuu ya mwendokasi, lakini si matatizo yanayotokana na aina hii ya usafiri bali ni matatizo yanayotokana na uzembe wetu! Na kwa uzembe wa aina hii, hata uweke mfumo mwingine wa usafiri bado tatizo litabaki pale pale! Zikiwepo hizo commuter trains, na zenyewe ikifika mchana zitapaki kama wanavyofanya mabasi! Nchi za wenzetu, ni kawaida kabisa kukuta metro ikiwa tupu lakini ipo barabarani! Hawa BRT hilo la kutembeza gari zao "tupu" ndo hawataki. So, solution ni very simple. Kuongeza idadi ya mabasi, na kupunguza idadi ya mabasi yanayopaki wakati wa mchana!
Duh! Umeandika vizuri sana na umeeleweka vizuri sana. Nitarudi baadae.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi hautakuwa na impact yoyote kubwa kwenye maisha ya wakazi wa jiji la Dar es salaam katika;

1. Kumpunguza tatizo la usafiri jijini
2. Kutoa ajira nyingi kwa vijana
3. Kuleta transformation yoyote ile ya kiteknolojia ambayo itawawezesha vijana kupanua bongo zao na
4. Uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotokana na matumizi ya mafuta mengi ya diesel

Mama nafikiri umeshatembelea nchi nyingi za ulimwengu na kuona miji yake yenye wakazi wengi. Kwenye hizo nchi nafikiri umeona pia jinsi gani wenzetu walivyo jitahidi kuondoa tatizo la usafiri wa abiria wanao kwenda kazini asubuhi na kurudi majumbani kwao baada ya kazi. Sambamba na usafiri wa mabasi ya public, commuter trains au niseme under ground na street trains au trams zimetamalaki sana.

Sisemi tujenge underground trains ila tu ningependa kusisitiza kuwa sambamba na mabasi ya mwendo kasi, commuter trains nazo zingepewa kipau mbele kikubwa katika kukabiliana na tatizo la usafiri wa abiria katika mji unao kua kwa kasi sana kama Dar es salaam. Mabasi ya mwendo kasi peke yake kwa jiji letu sitegemei kama yatakidhi mahitaji yanayo takiwa huko mbeleni.

Ni jambo ambalo sote tunajua kuwa Tanzania na hasa mji wa Dar es salaam unakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa ajira kwa vijana wetu wanao maliza shulr na vyuo. Na serikali naona haina mbinu kubwa ya kutatua tatizo hili mbali na kutegemea wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nje na ambao sio wengi wanaomiminika nchini.

Nafikiri tumeshuhudia wenyewe jinsi treni ya umeme ilivyopokelewa kwa miyo mkubjufu na watanzania na kusisitiza kumalizika kwa SGR ili watanzania waone matokeo yake.

Commuter trains na karakana zake zitasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana na vile vile ni chachu ya vijana kuweza kupanua uwezo wao wa kufikiri kuhusina na teknolojia hii mpya kwao.

Connections kati ya miji kama Bagamoyo , Kibaha, Mkuranga na Kisarawe na Station yetu ya Tanzanite na Magufuli Bus Terminal, ingekuwa ni rahisi sana. Lakini kwa vile tuna waziri wa ujenzi na watu wa mipango miji ambao hawana vision, inakuwa shida sana kwa nchi kama Tanzania kupiga hatua kubwa na za haraka kiteknolojia.

Nashindwa kuelewa Mama Samia mipango ya serikali ya kusafirisha abiria jijini pindi SGR yetu ya Mwanza, Kigoma na nchi jirani itakapo kuwa imemalizika. Mji utakuwa haupitiki kwa foleni za magari na msongamano wa watu watakao pata nafasi ya kuja Dar haraka kufanya biashara kutoka mikoani na nchi jirani.

Jiji halina budi kujipanga sasa jinsi ya kukabiliana na changamoto la baadae. Tuna watu wa aina gani Mama ambao hata ile fikra ya kutambua nini matokeo ya baadae?

Mama sisi tunakutegemea wewe sana, kwani tunaimani ya kuwa una ile spirit ya kipenzi chetu Hayati Rais Magufuli. Haya mambo usipoyafanya wewe sidhani kama kuna mwingine atakaye kuwa na spirit yako na Hayati Rais Magufuli.

Swala jingine kubwa linalo tufanya tujenge usafiri wa commuter trains kwa haraka ni uharibifu wa mazingira. Kwa vile usafiri wa mabasi unachochea sana kwenye uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotumia ya diesel haina budi kutafuta njia mbadala wa kuondokana na tatizo la uchafuzi wa hali ya hewa jijini.

Hivi haya mabasi yetu ya mwendo kasi yana partickel Filter na catalylizer ili kupunguza air polution?
Napendekeza uwe waziri wa uchukuzi kuanzia sasa au uwe katibu Propaganda wa CCM maana umeiva barabara kisiasa. Tanzania tunafeli tunapoanzisha miradi kwa lengo la kutoa ajira badala ya kuzalisha. Vituo vya mabasi vinaanzishwa kwalengo la wamachinga kufanya biashara! Barabara zinajengwa kwa lengo la wamachinga kufanyia biashara! Matokeo masoko yanajengwa wafanyabiashara wanagoma kuyatumia wanaamua kupanga biashara kwenye barabara na viongozi wanaogopa kuwaondoa matokeo miji inakuwa michafu nawatumia barabara wanapata usumbufu.
Ukija Mbagala utashuhudia udhaifu wa viongozi wetu, wajenzi wa barabara wanapata shida wasiwajeruhi wamachinga walio chini ya kijiko kinachochimba barabara! Wajenzi kabla ya kuanza ujenzi wanaanza kuzoa takataka zinazomwagwa na wamachinga kwenye mitaro wanayojenga!
Katikati ya mwaka huu viongozi wetu walituaminisha wanakuja na mkakati wa kuwapanga wamachinga, hola! Umeyeyuka kila mmoja anaogopa kutumbuliwa.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi hautakuwa na impact yoyote kubwa kwenye maisha ya wakazi wa jiji la Dar es salaam katika;

1. Kumpunguza tatizo la usafiri jijini
2. Kutoa ajira nyingi kwa vijana
3. Kuleta transformation yoyote ile ya kiteknolojia ambayo itawawezesha vijana kupanua bongo zao na
4. Uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotokana na matumizi ya mafuta mengi ya diesel

Mama nafikiri umeshatembelea nchi nyingi za ulimwengu na kuona miji yake yenye wakazi wengi. Kwenye hizo nchi nafikiri umeona pia jinsi gani wenzetu walivyo jitahidi kuondoa tatizo la usafiri wa abiria wanao kwenda kazini asubuhi na kurudi majumbani kwao baada ya kazi. Sambamba na usafiri wa mabasi ya public, commuter trains au niseme under ground na street trains au trams zimetamalaki sana.

Sisemi tujenge underground trains ila tu ningependa kusisitiza kuwa sambamba na mabasi ya mwendo kasi, commuter trains nazo zingepewa kipau mbele kikubwa katika kukabiliana na tatizo la usafiri wa abiria katika mji unao kua kwa kasi sana kama Dar es salaam. Mabasi ya mwendo kasi peke yake kwa jiji letu sitegemei kama yatakidhi mahitaji yanayo takiwa huko mbeleni.

Ni jambo ambalo sote tunajua kuwa Tanzania na hasa mji wa Dar es salaam unakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa ajira kwa vijana wetu wanao maliza shulr na vyuo. Na serikali naona haina mbinu kubwa ya kutatua tatizo hili mbali na kutegemea wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nje na ambao sio wengi wanaomiminika nchini.

Nafikiri tumeshuhudia wenyewe jinsi treni ya umeme ilivyopokelewa kwa miyo mkubjufu na watanzania na kusisitiza kumalizika kwa SGR ili watanzania waone matokeo yake.

Commuter trains na karakana zake zitasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana na vile vile ni chachu ya vijana kuweza kupanua uwezo wao wa kufikiri kuhusina na teknolojia hii mpya kwao.

Connections kati ya miji kama Bagamoyo , Kibaha, Mkuranga na Kisarawe na Station yetu ya Tanzanite na Magufuli Bus Terminal, ingekuwa ni rahisi sana. Lakini kwa vile tuna waziri wa ujenzi na watu wa mipango miji ambao hawana vision, inakuwa shida sana kwa nchi kama Tanzania kupiga hatua kubwa na za haraka kiteknolojia.

Nashindwa kuelewa Mama Samia mipango ya serikali ya kusafirisha abiria jijini pindi SGR yetu ya Mwanza, Kigoma na nchi jirani itakapo kuwa imemalizika. Mji utakuwa haupitiki kwa foleni za magari na msongamano wa watu watakao pata nafasi ya kuja Dar haraka kufanya biashara kutoka mikoani na nchi jirani.

Jiji halina budi kujipanga sasa jinsi ya kukabiliana na changamoto la baadae. Tuna watu wa aina gani Mama ambao hata ile fikra ya kutambua nini matokeo ya baadae?

Mama sisi tunakutegemea wewe sana, kwani tunaimani ya kuwa una ile spirit ya kipenzi chetu Hayati Rais Magufuli. Haya mambo usipoyafanya wewe sidhani kama kuna mwingine atakaye kuwa na spirit yako na Hayati Rais Magufuli.

Swala jingine kubwa linalo tufanya tujenge usafiri wa commuter trains kwa haraka ni uharibifu wa mazingira. Kwa vile usafiri wa mabasi unachochea sana kwenye uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotumia ya diesel haina budi kutafuta njia mbadala wa kuondokana na tatizo la uchafuzi wa hali ya hewa jijini.

Hivi haya mabasi yetu ya mwendo kasi yana partickel Filter na catalylizer ili kupunguza air polution?
Napendekeza uwe waziri wa uchukuzi kuanzia sasa au uwe katibu Propaganda wa CCM maana umeiva barabara kisiasa. Tanzania tunafeli tunapoanzisha miradi kwa lengo la kutoa ajira badala ya kuzalisha. Vituo vya mabasi vinaanzishwa kwalengo la wamachinga kufanya biashara! Barabara zinajengwa kwa lengo la wamachinga kufanyia biashara! Matokeo masoko yanajengwa wafanyabiashara wanagoma kuyatumia wanaamua kupanga biashara kwenye barabara na viongozi wanaogopa kuwaondoa matokeo miji inakuwa michafu nawatumia barabara wanapata usumbufu.
Ukija Mbagala utashuhudia udhaifu wa viongozi wetu, wajenzi wa barabara wanapata shida wasiwajeruhi wamachinga walio chini ya kijiko kinachochimba barabara! Wajenzi kabla ya kuanza ujenzi wanaanza kuzoa takataka zinazomwagwa na wamachinga kwenye mitaro wanayojenga!
Katikati ya mwaka huu viongozi wetu walituaminisha wanakuja na mkakati wa kuwapanga wamachinga, hola! Umeyeyuka kila mmoja anaogopa kutumbuliwa.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo ninayotaka kuizungumzia.

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu, nakuomba chonde chonde kuuangalia upya mradi wa BRT unao endelea kujengwa jijini Dar es salaam. Kwa uzoefu mkubwa nilio nao na analysis yangu ndogo niliyo ifanya naona kuwa huu mradi hautakuwa na impact yoyote kubwa kwenye maisha ya wakazi wa jiji la Dar es salaam katika;

1. Kumpunguza tatizo la usafiri jijini
2. Kutoa ajira nyingi kwa vijana
3. Kuleta transformation yoyote ile ya kiteknolojia ambayo itawawezesha vijana kupanua bongo zao na
4. Uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotokana na matumizi ya mafuta mengi ya diesel

Mama nafikiri umeshatembelea nchi nyingi za ulimwengu na kuona miji yake yenye wakazi wengi. Kwenye hizo nchi nafikiri umeona pia jinsi gani wenzetu walivyo jitahidi kuondoa tatizo la usafiri wa abiria wanao kwenda kazini asubuhi na kurudi majumbani kwao baada ya kazi. Sambamba na usafiri wa mabasi ya public, commuter trains au niseme under ground na street trains au trams zimetamalaki sana.

Sisemi tujenge underground trains ila tu ningependa kusisitiza kuwa sambamba na mabasi ya mwendo kasi, commuter trains nazo zingepewa kipau mbele kikubwa katika kukabiliana na tatizo la usafiri wa abiria katika mji unao kua kwa kasi sana kama Dar es salaam. Mabasi ya mwendo kasi peke yake kwa jiji letu sitegemei kama yatakidhi mahitaji yanayo takiwa huko mbeleni.

Ni jambo ambalo sote tunajua kuwa Tanzania na hasa mji wa Dar es salaam unakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa ajira kwa vijana wetu wanao maliza shulr na vyuo. Na serikali naona haina mbinu kubwa ya kutatua tatizo hili mbali na kutegemea wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nje na ambao sio wengi wanaomiminika nchini.

Nafikiri tumeshuhudia wenyewe jinsi treni ya umeme ilivyopokelewa kwa miyo mkubjufu na watanzania na kusisitiza kumalizika kwa SGR ili watanzania waone matokeo yake.

Commuter trains na karakana zake zitasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana na vile vile ni chachu ya vijana kuweza kupanua uwezo wao wa kufikiri kuhusina na teknolojia hii mpya kwao.

Connections kati ya miji kama Bagamoyo , Kibaha, Mkuranga na Kisarawe na Station yetu ya Tanzanite na Magufuli Bus Terminal, ingekuwa ni rahisi sana. Lakini kwa vile tuna waziri wa ujenzi na watu wa mipango miji ambao hawana vision, inakuwa shida sana kwa nchi kama Tanzania kupiga hatua kubwa na za haraka kiteknolojia.

Nashindwa kuelewa Mama Samia mipango ya serikali ya kusafirisha abiria jijini pindi SGR yetu ya Mwanza, Kigoma na nchi jirani itakapo kuwa imemalizika. Mji utakuwa haupitiki kwa foleni za magari na msongamano wa watu watakao pata nafasi ya kuja Dar haraka kufanya biashara kutoka mikoani na nchi jirani.

Jiji halina budi kujipanga sasa jinsi ya kukabiliana na changamoto la baadae. Tuna watu wa aina gani Mama ambao hata ile fikra ya kutambua nini matokeo ya baadae?

Mama sisi tunakutegemea wewe sana, kwani tunaimani ya kuwa una ile spirit ya kipenzi chetu Hayati Rais Magufuli. Haya mambo usipoyafanya wewe sidhani kama kuna mwingine atakaye kuwa na spirit yako na Hayati Rais Magufuli.

Swala jingine kubwa linalo tufanya tujenge usafiri wa commuter trains kwa haraka ni uharibifu wa mazingira. Kwa vile usafiri wa mabasi unachochea sana kwenye uharibifu wa mazingira kwa nishati inayotumia ya diesel haina budi kutafuta njia mbadala wa kuondokana na tatizo la uchafuzi wa hali ya hewa jijini.

Hivi haya mabasi yetu ya mwendo kasi yana partickel Filter na catalylizer ili kupunguza air polution?
Subiri amalize ziara ya kutengeneza sinema ya utalii, atasoma thread yako
 
Ningemshauri asiende kwani waamerika hawana kitu cha ku offer kwa watanzania. Waamerika ndiyo watu wa kwanza wanaowakamdamiza watu weusi ulimwenguni.

Kama nchi kubwa iliyoendelea ulimwenguni inashindwa kuwalinda na kuwathamini wananchi wake, unategemea nchi hiyo kuwathamini watanzania?

Ningemshauri mama asiwe na illusion ya kufikiri kuwa Amerika ndiyo ufunguo na jawabu la matatizo ya watanzania la ajira. Amerika ni taifa linalokufa taratibu na halina kitu cha kuishauri Tannzania.

Kama anaenda kudhuru ili kuweka namba kwenye diary yake kuwa alisha zuru Amerika kama Rais, hapo sawa, lakini kutegemea kupata cha maana kutoka kwa Joe Beiden hiyo asahau. Wana nini Amerika cha ku offer kwa mtanzania zaidi ya matangu pori tutakayo lishwa kuhusu demokrasia na LGBT?

Amerika ni Taifa moja ambalo nimelifuta katika mawazo yangu kuwa ni Taifa ambalo mtu unaenda kujifunza mazuri.

Kuijenga Tanzania Rais Samia inahitaji vision yako na sio kuwasikiliza watu ambao hawana nia njema na sisi.

Mwanagalie Hayati Rais Magufuli, ametekeleza mengi hata bila kukutana na waamerika. Na unakumbuka waamerika ndiyo walio kuwa wanampinga ile kishenzi.
0%
 
Back
Top Bottom