Waziri Mkuu Majaliwa naomba kuwafukuza kazi Wacheleweshaji wa Machinjio ya Vingunguti

Maneno Meier

JF-Expert Member
May 12, 2013
2,469
1,697


Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa mtendaji wetu mkuu wa serikali yetu tukufu inayo ongozwa na Mama yetu mpendwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan nakuomba kwa moyo mweupe na wa huruma kubwa ya watanzania wengi wanaolilia maendeleo yetu na ya vizazi vyetu kwa dhati kuwafukuza na ikibidi kuwafungulia mashtaka watu wote walio husika katika kuchelewesha mradi wetu wa Machinjio ya Vinguti.

Enough is enough! Watanzania tunasema; "tumechoka" kuwa na watumishi na watendaji wa serikali wa aina hii wasiojitambua na kujua nini ni majukumu yao ya uwajibikaji katika kutoa huduma ambazo ni chachu ya maisha na maendeleo yetu na ya vizazi vyetu vya baadae.

Sisi sote tunatambua kuwa ongezeko la watu nchini kwa mwaka ni kubwa sana kiasi ambacho kwa upande mwingine tunahitaji kuwa na Balance ya vitu ambavyo vitatuwezesha sisi kuwa na uwezo wa kuwapatia vijana wanao maliza elimu kulingana na uwezo wao ajira ili kujikimu maisha yao na ya falmilia zao.

Sasa tukiwa na watu kama hawa ambao wanafanya kazi zao kwa kusuasua kama hivi, hilo kwangu na mbele ya watanzania wengi wanao penda maendeleo ya kweli ni kitu ambacho hakiwezi kukubalika. Hali hii ya utendaji wa kazi usiokuwa wa ufanisi mkubwa kama huu ni hujuma ya uchumi ambao una maafa makubwa kwenye maisha, amani, umoja na maendeleo ya watanzania na nchi yetu kwa ujumla. Watu wanaofanya hila ya namna hii kwa makusudi, hawana budi kuadhibiwa vikali ili liwe fundisho kwao na kwa wengineo wote wenye malengo kama haya ya makusudi ya kuya hujumu maisha yetu na yale ya vizazi vyetu baadae.

Mimi nakaa na kuwaza sana, jinsi hawa watu wanavyo fanya matendo ya kiuaji kama hayo, hivi wanafikiri nini hasa kwenye akili zao? Ina maana wao hawaoni wala kusikia matatizo ambayo vijana wetu wengi wanakabiliana nayo siku hadi siku ya kuhangaika mitaani na maofisini wakitafuta ajira ili waweze kujikimu na maisha yao?

Huyu mama wa National Hounsing na wahusika wengine wa huu mradi walikwisha mahidi Hayati Rais Magufuli alipokwenda kuukagua huo mradi miaka miwili iliyopita kuwa mpaka kufikia mwezi 12/2020 ulitakiwa uwe umesha kamilika. Kwa bahati mbaya tarehe iligonga na mradi haukuwa umekamilika. Naomba tujikumbushe kidogo na hii clip ya ziaara ya kushitukiza ya Hayati Rais Magufuli;



Baada ya Hayati Rais Magufuli akafuatia mkuu wa Mkoa wa wakati ule Mh. Paul Makonda kuutembelea huo mradi, ahadi nyingine ya kukamilika kwa mradi ikatolewa na wananchi na hasa wakazi wa Dar es salaam wakawa na matumani ya ajira na shughuli nyingine za biashara na matamanio ya kupata nyama bora na salama kutokana na mradi huo, hiyo kama ilivyo kawaida haikutokea tena. Ushahidi ni hii clip ya mkuu ya mkoa Mh. Paul Makonda;



Baada ya Mh. Paul Makonda, aliyekuwa mkuu wa mkoa mwingine wa Dar es salaa Mh. Kunenge naye aliutembela huo mradi, kwa mara nyingine tena naye alipigwa mzinga wa ahadi ya kukamilika soon;



Na hatimaye wewe Waziri Mkuu mwenyewe nawe ulisha utembaelea mara mbili huo mradi mara zote ukapigwa date za kukamilika kwake mwaka huu na wao bila hata ya haibu, kama kawaida ilivyo ukadanganywa danganywa na pilika pilika zao za uongo za hapa na pale wakijifanya wanafanya majaribio ya kuchinja ng'ombe nawe ukauingizwa mkenge wa ahadi zao za uongo. Ukakubali kuwa tarehe moja ya mwezi saba mwaka huu, ndiyo altumatum ya huo mradi kuwa umekamilika.





Jana tarehe nane mwezi huu mkuu wa mkoa wa sasa wa Dar es salaam Mh. Makalla naye kawashitukizia kwa kuutembelea huo mradi kwa mara nyingine tena na tena kama kiongozi, cha kushangaza ni kwamba mambo ni yale yale na hakuna uhakika wa kumalizika kwa huo mradi soon.

Kama ilivyo kawaida mkurugenzi "Chauongo" wa National Housing anakuja na mengine tena. Sasa hivi ni Boiler ndiyo tatizo na mengineyo kadha wa kadha yamejitokeza ambayo huko nyuma hatukuyasikia.
This is ridiculous and it is disgusting kuona watanzania wenzetu wachache waliopewa uaminifu na wananchi kuwatumikia kwa ufanisi ulio tukuka wanafanya mambo ya kijinga na ya kuwafedhehesha viongozi wetu, wakati watu wenye mamlaka ya kiutendaji kwa mujibu wa katiba na sheria zetu wapo na haya mambo wanayaangalia tu na hawachukui hatua zozote zinazo paswa.

Mimi najiuliza hivi wakati wanaanza kuutekeleza huo mradi hakukuwa na Milestone ya maendeleo ya huo mradi ambao uliwawezesha hao wahusika kutambua kitu gani kianze lini na kiishe lini? Mpaka leo tunasikia mambo mengine ambayo hata hatukuyasikia huko nyuma?

Waziri mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa hivi ile barabara na vile vizimba walivyo kuahidi kujengwa na pia pavements wataanza lini na kukamilisha lini? Mambo kama haya waziri mkuu unataka yaendelee mpaka lini ili wewe na serikali yako uweze kuchukua hatua stahiki?

Waziri mkuu na mawaziri wengine husika watendaji wa aina hii ni mfano mbaya wa matumizi ya pesa za umma na utendaji mbovu wa watumishi wa serikali? Sio kitu cha ku-tolerate hata kidogo.

Mh. Waziri Mkuu inakuwaje nyie kama viongozi wetu tuliowapa mamlaka ya kutuongoza mnawaacha hawa watumishi na watendaji wasio taka kuwajiba kuendelea kututendea mambo mabaya kama haya? , Mnajua mambo mnayo waonyesha wananchi kwa vitendo vyenu vya kuendelea kuufumbia macho ufanisi mbovu wa watumishi wa serikli na mashirika ya umma mlio wachagua? Kuna haja kweli ya kuendelea kuwahurumia hawa watu kutuwakilisha sisi katika positions walizo nazo za utendaji ambazo zinaonekana kuwa hawaziwezi na kuleta taswira mbaya kwa wananchi na hasa vijana wetu tunao wategemea kutuongoza baadae?

Hawa watu wanajua kweli kuwa kitendo chao cha kukuhadaa wewe waziri mkuu na viongozi wengine ni ukiukwaji wa sheria ya kuto tii amri ya viongozi wenye mamlalaka juu? Hawajui kuwa kisheria ni kitu ambacho hawatakiwi kukifanya?

Mimi najiuliza hivi wao wanaujuzi au maarifa ya aina gani ambayo yanaifanya nchi ya watu takriban milioni sitini isiwe na watu wengine wenye maarifa hayo waliyo nayo wao? What is so special with them, kiasi kwamba tunawang'ang'ania wao waendelee na utendaji ambao hauna tija kwenye maisha na maendeleo ya jamii yetu?

Nitashangaa sana kama nitasikia kuwa hakuna hatua yoyote iliyo chukuliwa juu ya watendaji wa mradi huu. Itaonekana kuwa Waziri Mkuu unauza sura katika mambo kama hayo, lakini ukweli wake ni kwamba huna lengo dhahiri la kutatua tatizo hilo. Ni kitu ambacho hakikubaliki Waziri wetu. Hayo mambo wanayoyafanya ni subortage ya uchumi na maendeleo ya watanzania. They should stop doing it!

Naomba kwa unyeyekevu mkubwa kuwasilisha mada yangu! Asanteni sana!
 
wewe endelea tu kutetea uozo. Sielwei unaishi kwenye ulimwengu gani? ungejua dhamira ambazo wazungu na wachina wanazo juu yako na vizazi vyako baadae, nafikiri usinge hangaika kuleta kiumbe chochote duniani.

Katika ulimwengu wa mashindano ya kiinchi tulio nao na ufanisi wetu huu wa kusua sua tutajikuta katika mtego wa panya tutako shindwa kuunasua. Predetors huko waliko wanafurahia makosa tunayo yafanya ya kuwa na kizazi ambacho kitakuwa fully dependent. Hatima yake tunauza nchi na kila kitu tulicho nacho.

Waulize wazambia na wakongo. Wewe unafikiri hizi nchi zitakuja kuwa na uwezo wa kulipa madeni yao? Nakuhakikishia kuwa wachina kamwe hamwe hawataruhusu kitu kama hicho kitokee tena. Wazambia imesha kula kwao. Na sisi tuanze taratibu kutia nywele zetu maji tukimsubiri kinyozi apitishe wembe wake, kwani kinacho tusubiri kwenye bandari ya Bagamoyo ni kubwa mno, kiasi ambacho vizazi vyetu hapo baadae wataharibu makaburi yetu yote na kutotaka kuwa na kumbukumbu ya mababu kama sisi kama wajerumani walivyofanya kwa generation ya Hitler.
 
wewe endelea tu kutetea uozo. Sielwei unaishi kwenye ulimwengu gani? ungejua dhamira ambazo wazungu na wachina wanazo juu yako na vizazi vyako baadae, nafikiri usinge hangaika kuleta kiumbe chochote duniani.

Katika ulimwengu wa mashindano ya kiinchi tulio nao na ufanisi wetu huu wa kusua sua tutajikuta katika mtego wa panya tutako shindwa kuunasua. Predetors huko waliko wanafurahia makosa tunayo yafanya ya kuwa na kizazi ambacho kitakuwa fully dependent. Hatima yake tunauza nchi na kila kitu tulicho nacho.

Waulize wazambia na wakongo. Wewe unafikiri hizi nchi zitakuja kuwa na uwezo wa kulipa madeni yao? Nakuhakikishia kuwa wachina kamwe hamwe hawataruhusu kitu kama hicho kitokee tena. Wazambia imesha kula kwao. Na sisi tuanze taratibu kutia nywele zetu maji tukimsubiri kinyozi apitishe wembe wake, kwani kinacho tusubiri kwenye bandari ya Bagamoyo ni kubwa mno, kiasi ambacho vizazi vyetu hapo baadae wataharibu makaburi yetu yote na kutotaka kuwa na kumbukumbu ya mababu kama sisi kama wajerumani walivyofanya kwa generation ya Hitler.
What I said it's only a name.

Kwani uko moyoni kwangu,
 
What I said it's only a name.

Kwani uko moyoni kwangu,
Ndiyo, it is just a Name. Ulicho maanisha katika fikra zako ni kuwa mleta mada ni Makonda. Ndiyo maana nami nime kujibu kwamba endelea tu kuwa na fikra hizo.

Ukijitathmini kwa undani, utajikuta unamawazo ya kijuu juu sana. Kiuhalisia huelewi kabisaa complexity ya maisha yalivyo duniani na tunako kwenda kukoje.

Huna picha ya mwelekeo wa maisha ya race yetu baadae kwa sababu unawewesuka na uongo wa caucasians na wachina. Tunakwenda kubaya tusipoangalia!
 
Siku hizi waziri mkuu amepoa sana, hana ule moto wa zamani...
Ningemshauri hivi sasa ndiyo wakati wa kupambana hasa maana wakati wa Magufuli walukuwako wengi ambao walimsupport. Kwenye awamu wengi wamerudi nyuma wanaangalia tu, kwani mama naona hajaonyesha mwelekeo halisi wa policy yake. Ni vigumu kumsoma. Kwa hayati Magufuli alikuwa yuko straigt forward. Mtu alijua kuwa anataka nini na nini kifanyike.

Bila kumung'unya maneno, kitendo cha Mama kuwaondoa wazalendo mstari wa mbele na kuwaweka nyuma na wengine kama Sabaya kuruhusu afunguliwe kesi kwa jitihada zake za kupigaia kuipigania alichokiamini, kinatia mashaka kidogo.

Sidhani kama wapenda nchi wa dhati wana cha kusema tena. Nafikiri ni kitu ambacho ndiyo kinaweza kumfanya waziri mkuu apige na kusikilizia kama yuko kwenye right track. Bado hajapta uhakika. Kama utamaanisha hilo.
 


Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa mtendaji wetu mkuu wa serikali yetu tukufu inayo ongozwa na Mama yetu mpendwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan nakuomba kwa moyo mweupe na wa huruma kubwa ya watanzania wengi wanaolilia maendeleo yetu na ya vizazi vyetu kwa dhati kuwafukuza na ikibidi kuwafungulia mashtaka watu wote walio husika katika kuchelewesha mradi wetu wa Machinjio ya Vinguti.

Enough is enough! Watanzania tunasema; "tumechoka" kuwa na watumishi na watendaji wa serikali wa aina hii wasiojitambua na kujua nini ni majukumu yao ya uwajibikaji katika kutoa huduma ambazo ni chachu ya maisha na maendeleo yetu na ya vizazi vyetu vya baadae.

Sisi sote tunatambua kuwa ongezeko la watu nchini kwa mwaka ni kubwa sana kiasi ambacho kwa upande mwingine tunahitaji kuwa na Balance ya vitu ambavyo vitatuwezesha sisi kuwa na uwezo wa kuwapatia vijana wanao maliza elimu kulingana na uwezo wao ajira ili kujikimu maisha yao na ya falmilia zao.

Sasa tukiwa na watu kama hawa ambao wanafanya kazi zao kwa kusuasua kama hivi, hilo kwangu na mbele ya watanzania wengi wanao penda maendeleo ya kweli ni kitu ambacho hakiwezi kukubalika. Hali hii ya utendaji wa kazi usiokuwa wa ufanisi mkubwa kama huu ni hujuma ya uchumi ambao una maafa makubwa kwenye maisha, amani, umoja na maendeleo ya watanzania na nchi yetu kwa ujumla. Watu wanaofanya hila ya namna hii kwa makusudi, hawana budi kuadhibiwa vikali ili liwe fundisho kwao na kwa wengineo wote wenye malengo kama haya ya makusudi ya kuya hujumu maisha yetu na yale ya vizazi vyetu baadae.

Mimi nakaa na kuwaza sana, jinsi hawa watu wanavyo fanya matendo ya kiuaji kama hayo, hivi wanafikiri nini hasa kwenye akili zao? Ina maana wao hawaoni wala kusikia matatizo ambayo vijana wetu wengi wanakabiliana nayo siku hadi siku ya kuhangaika mitaani na maofisini wakitafuta ajira ili waweze kujikimu na maisha yao?

Huyu mama wa National Hounsing na wahusika wengine wa huu mradi walikwisha mahidi Hayati Rais Magufuli alipokwenda kuukagua huo mradi miaka miwili iliyopita kuwa mpaka kufikia mwezi 12/2020 ulitakiwa uwe umesha kamilika. Kwa bahati mbaya tarehe iligonga na mradi haukuwa umekamilika. Naomba tujikumbushe kidogo na hii clip ya ziaara ya kushitukiza ya Hayati Rais Magufuli;



Baada ya Hayati Rais Magufuli akafuatia mkuu wa Mkoa wa wakati ule Mh. Paul Makonda kuutembelea huo mradi, ahadi nyingine ya kukamilika kwa mradi ikatolewa na wananchi na hasa wakazi wa Dar es salaam wakawa na matumani ya ajira na shughuli nyingine za biashara na matamanio ya kupata nyama bora na salama kutokana na mradi huo, hiyo kama ilivyo kawaida haikutokea tena. Ushahidi ni hii clip ya mkuu ya mkoa Mh. Paul Makonda;



Baada ya Mh. Paul Makonda, aliyekuwa mkuu wa mkoa mwingine wa Dar es salaa Mh. Kunenge naye aliutembela huo mradi, kwa mara nyingine tena naye alipigwa mzinga wa ahadi ya kukamilika soon;



Na hatimaye wewe Waziri Mkuu mwenyewe nawe ulisha utembaelea mara mbili huo mradi mara zote ukapigwa date za kukamilika kwake mwaka huu na wao bila hata ya haibu, kama kawaida ilivyo ukadanganywa danganywa na pilika pilika zao za uongo za hapa na pale wakijifanya wanafanya majaribio ya kuchinja ng'ombe nawe ukauingizwa mkenge wa ahadi zao za uongo. Ukakubali kuwa tarehe moja ya mwezi saba mwaka huu, ndiyo altumatum ya huo mradi kuwa umekamilika.





Jana tarehe nane mwezi huu mkuu wa mkoa wa sasa wa Dar es salaam Mh. Makalla naye kawashitukizia kwa kuutembelea huo mradi kwa mara nyingine tena na tena kama kiongozi, cha kushangaza ni kwamba mambo ni yale yale na hakuna uhakika wa kumalizika kwa huo mradi soon.

Kama ilivyo kawaida mkurugenzi "Chauongo" wa National Housing anakuja na mengine tena. Sasa hivi ni Boiler ndiyo tatizo na mengineyo kadha wa kadha yamejitokeza ambayo huko nyuma hatukuyasikia.
This is ridiculous and it is disgusting kuona watanzania wenzetu wachache waliopewa uaminifu na wananchi kuwatumikia kwa ufanisi ulio tukuka wanafanya mambo ya kijinga na ya kuwafedhehesha viongozi wetu, wakati watu wenye mamlaka ya kiutendaji kwa mujibu wa katiba na sheria zetu wapo na haya mambo wanayaangalia tu na hawachukui hatua zozote zinazo paswa.

Mimi najiuliza hivi wakati wanaanza kuutekeleza huo mradi hakukuwa na Milestone ya maendeleo ya huo mradi ambao uliwawezesha hao wahusika kutambua kitu gani kianze lini na kiishe lini? Mpaka leo tunasikia mambo mengine ambayo hata hatukuyasikia huko nyuma?

Waziri mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa hivi ile barabara na vile vizimba walivyo kuahidi kujengwa na pia pavements wataanza lini na kukamilisha lini? Mambo kama haya waziri mkuu unataka yaendelee mpaka lini ili wewe na serikali yako uweze kuchukua hatua stahiki?

Waziri mkuu na mawaziri wengine husika watendaji wa aina hii ni mfano mbaya wa matumizi ya pesa za umma na utendaji mbovu wa watumishi wa serikali? Sio kitu cha ku-tolerate hata kidogo.

Mh. Waziri Mkuu inakuwaje nyie kama viongozi wetu tuliowapa mamlaka ya kutuongoza mnawaacha hawa watumishi na watendaji wasio taka kuwajiba kuendelea kututendea mambo mabaya kama haya? , Mnajua mambo mnayo waonyesha wananchi kwa vitendo vyenu vya kuendelea kuufumbia macho ufanisi mbovu wa watumishi wa serikli na mashirika ya umma mlio wachagua? Kuna haja kweli ya kuendelea kuwahurumia hawa watu kutuwakilisha sisi katika positions walizo nazo za utendaji ambazo zinaonekana kuwa hawaziwezi na kuleta taswira mbaya kwa wananchi na hasa vijana wetu tunao wategemea kutuongoza baadae?

Hawa watu wanajua kweli kuwa kitendo chao cha kukuhadaa wewe waziri mkuu na viongozi wengine ni ukiukwaji wa sheria ya kuto tii amri ya viongozi wenye mamlalaka juu? Hawajui kuwa kisheria ni kitu ambacho hawatakiwi kukifanya?

Mimi najiuliza hivi wao wanaujuzi au maarifa ya aina gani ambayo yanaifanya nchi ya watu takriban milioni sitini isiwe na watu wengine wenye maarifa hayo waliyo nayo wao? What is so special with them, kiasi kwamba tunawang'ang'ania wao waendelee na utendaji ambao hauna tija kwenye maisha na maendeleo ya jamii yetu?

Nitashangaa sana kama nitasikia kuwa hakuna hatua yoyote iliyo chukuliwa juu ya watendaji wa mradi huu. Itaonekana kuwa Waziri Mkuu unauza sura katika mambo kama hayo, lakini ukweli wake ni kwamba huna lengo dhahiri la kutatua tatizo hilo. Ni kitu ambacho hakikubaliki Waziri wetu. Hayo mambo wanayoyafanya ni subortage ya uchumi na maendeleo ya watanzania. They should stop doing it!

Naomba kwa unyeyekevu mkubwa kuwasilisha mada yangu! Asanteni sana!

Machnjio ya kisasa ni ngumu kuiendesha ikaweza kuchinja mahitaji ya kila siku ya ngombe zaidi ya 1000 kwasiku.inatakiwa mafunzo ya vitendo na kupata uweledi kwa wahinjaji. Hawa ngombe wanatakiwa wachinjwe na nyama kutoka alfajiri. Wakianza mfano saa 8 usiku anatakiwa wachinje ngombe250 kwa saa ili wachinje kiasi hicho cha masaa 4 kufika saa 12 asubuhi. je wafanyakaz wa kuweza kuchinja kiasi hicho wameshaptikana na kupata MAFUNZO NA KUPATA UWEZO UNAOTAKIWA? KUFUNDISHWA NADHARIA NA KUFANYA KWA VITENDO NI TOFAUTI. UNAWEZA KUFUNDISHA WATU 100 LAKINI UKAPATA CHINI YA ASILIMIA 50 WATAKAOMUDU KUFANYA HIYO KAZI inavyotakiwa. WAANZE KIDOKIDOGO AU WAANZE KUCHINJA KUANZIA JIONI NA WAWE NA SHIFTI MBILI.
 
Bila kutambua kuwa adui namba moja wa nchi hii ni CCM, hatutasonga mbele kamwe.
CCM Chanzo Cha Matatizo
Really? I am sorry! Mimi huko siko. Generally mimi huwa sizungumzii kuhusu vyama vya kisiasa na wala itikadi. Wana siasa wa vyama vyote wako sawa. Hawana tofauti katika kutambua hathari zinazo tukabiri huko mbeleni.

Tofaut ninayo iona mimi ni kuwa kiongozi wa CCM itachukua mda mrefu kidogo kuiangamiza nchi na kiongozi wa hao wengine wanaojiita wapinzani, wakija chukua
madaraka, ndiyo kwanza wataiuza nchi faster faster.
 
Really? I am sorry! Mimi huko siko. Generally mimi huwa sizungumzii kuhusu vyama vya kisiasa na wala itikadi. Wana siasa wa vyama vyote wako sawa. Hawana tofauti katika kutambua hathari zinazo tukabiri huko mbeleni.

Tofaut ninayo iona mimi ni kuwa kiongozi wa CCM itachukua mda mrefu kidogo kuiangamiza nchi na kiongozi wa hao wengine wanaojiita wapinzani, wakija chukua
madaraka, ndiyo kwanza wataiuza nchi faster faster.
What is econonic pattern? And what is political economy?
What are the similarities and differences between two of them?
 
Back
Top Bottom