Search results

  1. boniuso

    Usikubali kudanganywa na kuburuzwa kisa Siasa. Simama Mwenyewe!

    Habaria wanajamvi. Naamin wengi wetu ni wazima lakiin kwa wote wenyechangamoto asili ya dunia na iwape nafuu. Huu ni uzi wa kutiana moyo, faraja na kupeana mawazo changa ili gurudumu la maisha yetu lisonge mbele, kama unavoweza kuona mvua ni nyingi na tope ni jingi muno. Twende kwenye kichwa...
  2. boniuso

    Shule zisifundishe tu Masomo ya kuletewa bali kuwe na Elimu halisi ya kuendana na Mazingira

    Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi, watanzania tuna shule nyingi na kwasababu mbali zikiwepo za siasa karibia kila mtanzania sasa anaweza kusoma na kupata elimu mpka kidato cha nne, kwa kuwa shule za kata zipo tele tele na elimu ni bure. Lakin sielewi kama hizi elimu zinatufaa aisee, ifike...
  3. boniuso

    Kioja chako cha kushangaza ni kipi? Changu ni hiki nikiwa naenda JKT Mafinga

    Ee bwana habari wana jamnvi !!! Moja moja kwenye point, kuna jambo nilikutana nalo kipindi kirefu kidogo ila mpka sasa sijapataga majibu nimeliacha liwe kama kioja tu katika maisha. Kunasiku miaka ya 2015 nikiwa nasafiri kuelekea iringa pale jkt mafinga (841 kj) nikiwa mujibu na nilipofika...
  4. boniuso

    Wachumi wetu wafanye kazi, sababu wanazotoa na huu ushukaji wa uchumi haviendani kabisa.

    Wanajamvi habari zenu na poleni na majukumu ya kujenga taifa..... Nimekuwa nikiwaza kuwa ni kweli vita vya urusi na ukrane ndio sababu tu ya kushuka kwa uchumi kiasi hiki, yaani vita ndiyo sababu ya kupanda kwa bei ya sabuni, mchele mafuta ya kupikia(yalipanda hata kabla ya uchumi na yameanza...
  5. boniuso

    Fahamu sababu za upweke na madhara yake

    FAHAMU SABABU ZA UPWEKE NA MADHARA YAKE Hisia za upweke huwa zinakuja pale unapohisi kuna kitu huna ili uweze kuwa na furaha Kitendo cha kutamani vitu kutoka nje yako ili uweze kuwa na furaha husababisha huzuni na hasira Unaweza kutamani kuwa na mtu karibu,kuwa na kipato kadhaa,kazi...
  6. boniuso

    Nyakati ngumu huwa kwajiili ya kutufunza na nyakati za furaha ni kwaajili ya kumbukumbu nzuri za maana ya kuishi

    UKIBADILI NAMNA UNAVYO TAZAMA VITU NA VITU UNAVYOTAZAMA HUBADILIKA Kinachotokea sio tatizo ila tafsiri unayoweka juu yake ndio inaweza kuuwa tatizo Kikwazo chochote kinachotokea huwa kinakuja kuboresha sehemu ya maisha yetu Usitazame vikwazo kwa ubaya wake tazama vikwazo kwa mazuri yake...
  7. boniuso

    Fursa ambayo kila mtu anaiona hiyo siyo fursa

    MAKOSA 3 AMBAYO WATU WENGI HUFANYA WANAPOWEKA MALENGO Kila mtu hujiwekea malengo yake kwa kukusudia kubadilisha maisha yake lakini malengo mengi huwa hayatimii Watu wengi huwa hawajifunzi ila huiga na kufanya vitu kwa sababu wameona kuna watu wanafanya Kama utakuwa miongoni wa watu wengi...
  8. boniuso

    Ondoa matarajio makubwa kutoka kwa watu, yatakuumiza sana

    KINACHO KUVUNJA MOYO SIO UBAYA WA TABIA ZA WATU BALI MATARAJIO YAKO KWAO Kama usielewa asili ya tabia za binadamu utapata wakati mgumu sana kuwaelewa na kuishi nao Alisema Marcus Aurelius miaka takribani 2000 iliyopita "Unayo nguvu ya kudhibiti akili yako tu sio watu au matukio kutoka nje...
  9. boniuso

    Mambo haya hutafunzwa shuleni katu........

    VITU 4 AMBAVYO HUFUNDISHWI SHULENI LAKINI NI MUHIMU MAISHANI MWAKO Shuleni watu hufundishwa kufanikiwa tu ila hakuna somo la kumuelekeza mtu afanye nini anapokuwa katika nyakati ngumu sana Kila mtu amekaririshwa kuwa soma sana,faulu utapata kazi nzuri kisha utakuwa na maisha mazuri Hivyo kila...
  10. boniuso

    Jifunze kujifurahisha wewe kwanza na baadae ndio wengine

    FAHAMU TABIA YA KUTAKA KUFURAHISHA KILA MTU NA MADHARA YAKE People pleasing ni tabia ambayo mtu hutaka kumfurahisha kila mtu kwa nyakati zote Tabia hii huwa na dalili zifuatazo Kuomba msamaha hata kama hujafanya kosa lolote lengo ni kutaka uonekane mnyenyekevu kwa wengine Kununua vitu ambavyo...
  11. boniuso

    Unajisikia namna unavyojifikiria muda mwingi

    UNAJISIKIA NAMNA UNAVYOJIFIKIIRIA MUDA MWINGI Duniani watu wengi hawana furaha kwa 80% kwa sababu wengi hawafikirii bali ni "reactive" badala ya "proactive" Watu wachache sana takriban 10% ndiyo wenye tabia ya kuwa "proactive" ambapo unaposema proactive ni watu wenye kufikiri kabla ya kutenda...
  12. boniuso

    Unafanyaje kuzilinda fikra zako?

    UNAKUWA KILE UNACHOFIKIRI SANA MUDA MWINGI "Unakuwa ambacho unafikiri sana muda mwingi" ni msemo ambao unamaanisha kuwa kile ambacho unacho fikiri sana muda mwingi ndiyo inakuwa tabia yako. Watu wenye furaha hufikiria tofauti kulinganisha na wenye huzuni Watu wenye furaha huwa wanafikiri...
  13. boniuso

    Upo sehemu gani kati ya hizi?

    UKIFAHAMU KUWA BINADAMU TUPO TOFAUTI MAISHA YAKO YATAKUWA TOFAUTI Katika ulimwengu tunaoishi watu wengi hawajui kuwa tupo tofauti sana hata kama tunaonekana tunafanana. Kwa hali hii baadhi ya watu huonekana hawaeleweki katika jamii kwa kuwa tofauti kitabia na mienendo yao. Haramu itabaki...
  14. boniuso

    Jifunze kuhusu "choice theory"

    Hii ni nadharia ambayo inaelezea kuhusu uwezo wa machaguo ambayo kila mmoja anaweza kuchagua. Hii inaeleza kuhusu nguvu ambayo kila mmoja anayo .Nguvu ya uamuzi ipo kwenye fikra za kila mtu nyakati zote za uhai Hivyo hakuna mtu anaweza kukuondolea kile unachokiamini mpaka uamue kufanya hivyo...
  15. boniuso

    Badilika kulingana na mabadiliko

    Kwa wastani binadamu huwa mwenye fikra 12000-50000 kwa siku ambapo katika fikra hizo 80% ya mawazo hayo na fikra hizo ni hasi huku asilimia zingine ndio chanya. Kwa wastani wa 80% ya fikra hasi kwa siku ndio sababu 80% ya watu duniani hawana furaha huku wakisumbuliwa na tatizo la msongo wa...
  16. boniuso

    Ni wazi kuwa baadhi ya Wabunge wamekosa sera au waliingia Bungeni bila kujua wajibu wao

    Hilo nililolisema naamini kila mmoja wetu humu kama ni mfuatiliaji wa Bunge atakuwa ameliona 1. Hoja za wabunge juu ya kumuongezea rais muda wa uongozi. Swali fikirishi hapa ni ‘Je, ni kweli hiki ndicho wananchi wa baadhi ya majimbo wanakitaka kutoka kwa wabunge wao?’ Yaani hawataki shule...
  17. boniuso

    Natafuta soko la sungura

    Habarini wana jamvi, Mimi mwanafunzi wa elimu ya juu. Nimeamua kuanza kujiajiri, mapema nilianza kwa kufuga sungura kwa matumizi ya chakula changu na kama urembo tu kwangu. Lakini kwa sasa nimeona wapo wengi na wanazaliana vizuri basi nikaamua kuufanya iwe fursa kwangu. Ninanaona kama...
  18. boniuso

    Kwa kasi hii ya sayansi tunaweza kuja kugundua dunia na watu wakiishi huko

    Wataalamu wa masuala ya anga za juu wa Marekani wakishirikiana na wengine duniani, wamefanya ugunduzi mkubwa wa sayari saba zenye ukubwa sawa na wa Dunia ambazo zinaizunguka nyota mojawapo kama ilivyo kwa dunia kulizunguka jua. Wanasayansi hao wa anga za mbali kutoka Marekani, Uingereza na...
  19. boniuso

    Msaada: Tecno laini ya pili haiwezeshi 3G

    Tecno yangu ni ya promotion, kitu ambacho ni tatizo kwangu ni kuwa line ya 2 haiwezeshi 3g. Pia Nauliza nawezaje kuifanya line ambayo si ya tigo iwe inakubali kuwa ya kwanza???
  20. boniuso

    sijui ndio napendwa!!!

    jaman kuna msichana niliachana naye pindi niko form four, tukawa hatuna mawasiliano kabsa, lakin sasa nina mawasiliano naye, lakin tukiwa tuna chat au tunaongea, huwa ana nilaum kwamba mim ndo niliarib mapenzi yetu au huwa ananiuliza kama nampenzi mwingine. huwa nashindwa elewa kwanin anakuwa na...
Back
Top Bottom