boniuso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 944
- 1,335
Habarini wana jamvi,
Mimi mwanafunzi wa elimu ya juu. Nimeamua kuanza kujiajiri, mapema nilianza kwa kufuga sungura kwa matumizi ya chakula changu na kama urembo tu kwangu. Lakini kwa sasa nimeona wapo wengi na wanazaliana vizuri basi nikaamua kuufanya iwe fursa kwangu.
Ninanaona kama miamoja hivi na mpango wangu niwawe wengi zaidi. Lakini nataka jua kwanza soko lake likoje, lipo wapi pamoja na bei yake. Nitafurahi kama nitajulishwa. Nipo Tanga Lushoto, contc 0714106228/0766862226.
Ahsanteni
Mimi mwanafunzi wa elimu ya juu. Nimeamua kuanza kujiajiri, mapema nilianza kwa kufuga sungura kwa matumizi ya chakula changu na kama urembo tu kwangu. Lakini kwa sasa nimeona wapo wengi na wanazaliana vizuri basi nikaamua kuufanya iwe fursa kwangu.
Ninanaona kama miamoja hivi na mpango wangu niwawe wengi zaidi. Lakini nataka jua kwanza soko lake likoje, lipo wapi pamoja na bei yake. Nitafurahi kama nitajulishwa. Nipo Tanga Lushoto, contc 0714106228/0766862226.
Ahsanteni