Heshima mbele wadau,
Kuna mtoto wa sister namsapoti kachaguliwa masomo ngazi ya cheti (certificate) kozi hizi;
1. IFM (Dar) - Certificate in Taxation
2. Mzumbe University (Moro) - Certificate in Law
3. Chuo cha Utumishi wa Umma Dar (TPSC) - Certificate in Records and Archive Management
4. Chuo...
Problem nyingine wanatumia hizi normal steel kujengea stand yaan hizi tunazojengea ma grill ya nyumba. Mtaniambia. Kutu hapa haipiti 5 years vitaanza kuangukam strabag walikua wanatumia non corrosive materials kwenye zile stand.
Heshima mbele wakuu,
Mimi ninaishi Dodoma eneo linaitwa Ntyuka, hivyo basi kila siku ninavyokwenda kazini ninavuka hii reli inayojengwa (mradi wa SGR). Hii inanipa fursa ya kuona maendeleo ya ujenzi siku baada ya siku.
Kwa kipindi hiki kifupi nime observe au kujifunza haya yafuatayo;
1. Hawa...
Waheshimiwa nahitaji kununua solar panel pamoja na vifaa vyoote Kwa ajili ya matumizi yafuatayo.
1 Kuwasha taa 10 nje na ndani ya nyumba
2 Kuwasha TV
3 . Redio
4. Kichaji
Naomba msaada kwenye maeneo yafuatayo
A. Ukubwa WA panel
B ukubwa WA inverter
B. Nyaya
C.mahitaji mengine
Nitafurahi kama...
Msaada kwenye tuta,
Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini?
Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila shida na battery ina miezi miwili Tu bado mpya. Nimesha ichomoa kurudishia lakini wapi
Kinachomsumbua jamaa na kumfanya atamani kurudi bongo baada ya kufika huko na kukaa kipindi hiki kifupi ni kitu wanaita"home sickness". Ulaya hasa Scandinavia mfumo wao wa maisha ni tofauti sana ukilinganisha na tz. Huko kila mtu yupo busy na mishe zake hakuna muda wa kukaa vijiweni kupiga soga...
Kwa uelewa wangu kutokana na kutembea nchi kadhaa pamoja na kuona kupitia media mbali mbali ni kwamba treni ya mizigo haina muonekano Sawa na treni za abiria. Hii upo hivyo China, Japan, ujerumani, Sweden na hata Korea kwenyewe. kuna picha mdau mmoja ame share hapa akijaribu kulinganisha utaona...
Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu.
Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja...
Wakuu heshima mbele, leo kuna kisa mtu kanisimulia nimebaki nashangaa. Alienda katika shule fulani binafsi kuchukua form kwa ajili ya kumuandikisha mtoto wake Nursery School.
Cha kushangaza wamemkatalia wanasema anatakiwa afanye interview la sivyo anatakiwa aanze au awe na record za Baby Class...
Msaada wadau
Natarajia kwenda shinyanga wiki ijayo. Naomba kujua Guest/Lodge au hotel nzuri ya gharama kati ya 20,000 na 30,000 kwa siku. Mimi ni mgeni kabisa Shinyanga.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.