battery

  1. profesawaaganojipya

    TV inaonesha battery charge 100%

    Wakuu, nimenunua TV ya kichina mpya, iko vizuri tu. Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia, inaonesha alama ya battery na 100%, sijui inamaanisha nini?
  2. K

    Njoo ujipatie spare original, battery original na vifaa vingine vya magari KWA AL HUSSEINY SPARE PARTS, Tanga

    Tunauza spare za magari zote za japani, uingereza, singapore, magari madogo, makubwa kama fuso, canter, tata , n. k. Tupo barabara ya 20 Tanga. Piga simu namba 0713276892. Usisime spare, sema KWA HUSSEIN. Pia tuna oil za aina zote, na tunafanya service na tuna fundi pia wa magari kwa...
  3. thatHUMBLEguy

    China Kuja na Battery itayokaa na Chaji kwa hadi miaka 50🤔

    === Betavolt, kampuni mpya ya Kichina, inadai kuwa imeendeleza betri ya nyuklia inayoweza kuwasha simu za mkononi kwa miaka 50 bila kuchaji upya. Betri hiyo inatumia nishati ya atomiki iliyopunguzwa kwa ukubwa, ikiunganisha isotopi 63 za nyuklia ndani ya moduli ndogo kuliko sarafu. Kupitia...
  4. L

    Kwenye pikipiki aina ya TVS, tatizo la kutochaji battery linasababishwa na nini?

    Wakuu habarini naomba msaada kujua hivi pikipiki Tvs tatizo la kuocharge battery linasababishwa na nn na nn tiba yake mana nimenunua makolokolo meng
  5. JituMirabaMinne

    INAUZWA Mashine ya kupima battery ya gari (Car Battery Analyzer)

    Hii mashine ni nzuri sana na sifa ya kipekee kuhusu hii mashine ni kwamba inakuwa reference table upande wa nyuma hivyo kumuwezesha mtu yoyote hata ambaye ni layman kuweza kupima battery yoyote na kujua kama ni nzima. Ina uwezo wa kuanalyse na yenyewe ikakuambia state of health ya hiyo...
  6. eli_dealz

    Phone4Sale Google Pixel 4a 5G 128GB / 8GB Ram Battery 3885maH

    Jipatie Google Pixel 4a 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar es salaam
  7. eli_dealz

    Phone4Sale Google Pixel 5 5G 128GB / 8GB Ram BATTERY 4080mah

    Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar es salaam
  8. davejillaonecka

    Toshiba Portege Z30-c Battery Needed

    Nina shida na battery ya hiyo pc 0659190552 Hata used ina njia 7
  9. NetMaster

    Battery ya Router yangu inakaa masaa machache, nitumie power bank yenye 10000 Mah badala ya battery ?

    Nina pocket router huwa naitumia katika shughuli zangu, uwezo wa battery yake umeshuka na sasa inakaa masaa mawili ama matatu tu. Nina power bank ina 10000 Mah, nataka niwe naitumia badala ya battery ya hio pocket router. kuna sehemu imeandikwa hivi Je kitaalam ntakuwa nimetatua tatizo ?
  10. A

    Msaada wa battery ya Nokia 2.1

    Za asubuhi wakuu Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium battery karibu na port ya kuchajia simu na naona Kama self discharge Ni kubwa Sana ..an average of...
  11. FRANCIS DA DON

    Je, ni kwanini VETA hawatoi mafunzo ya ku-repair battery za magari ili tuokoe mabilioni?

    Kuna mbinu nzuri na rahisi inaweza kutumika, hii itaokoa mabilioni tunayotumia kuagiza battery nje ya nchi, pia itatoa ajira maelfu kwa maelfu. Akina Binslum wanaweza kuzimia kwa pressure baada ya kutizama hii video hapo chini.
  12. B

    Battery ipi ni nzuri kwa N60 ya IST

    Wadau napenda kujua battery nzuri ya gari. Nilinunua TOP POWER hata miezi 7 haijafika inazingua mara asbh igome kuwasha gari. Msaada kwenye tuta
  13. S

    Nahitaji Battery used ya Toshiba satellite

    Habari wakuu Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086 Models PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
  14. Spartacus boy

    Chaji simu yako ikifika 40% ili isipate shida ya battery

    Heri ya noeli na mwaka mpya. Wote tunajua umuhimu wa kuwepo hewani kimawasiliano. Either kikawaida au kwa kua 'access' mtandao. Muda wa mtu Kuwepo hewani kwa asilimia kubwa kunakuwa determined na uwezo battery ya simu yako. Ndio maana zama zile wakati simu ndio zinaingia kigezo kikubwa wakati...
  15. Z

    Hivi battery ya N40 unaweza washa gari inayotumia N70?

    Naombeni kuuliza mafundi eti BETRI ya gari mdogo mfano RAV4 unaweza kuwasha gari Kama Hilux inayotumia BETRI ya N70?
  16. Mwenda_Pole

    Msaada: Taa ya Battery kuwaka kwenye dashboard ya gari

    Msaada kwenye tuta, Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini? Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila shida na battery ina miezi miwili Tu bado mpya. Nimesha ichomoa kurudishia lakini wapi
  17. Sky Eclat

    Kibonzo cha Kipanya; baada ya pesa kukosekana mtaani watu wameanza batter

    TRA mtasubiri sana tumeamua mwendo wa mali kwa mali.
  18. sky soldier

    JE NTAWEZA KUTUMIA BATTERY CHINI YA 6 KWENYE HOLDER YA BATTERY 6

    Habarini wadau. kuna sehem haina umeme na inalazimu kutumia torch kwa ajili ya mwanga, sasa hii tochi ina battery moja na kila siku inabidi uweke battery mpya. hapo kwa mwezi ni kama elf 15. hio sehem nikawafundisha kuunganisha battery 2 kila zikiisha, nazo zikiisha zinaunganishwa 4...
  19. Dam55

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020. Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake...
  20. JituMirabaMinne

    Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

    Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1. Kijani/Blue 2. Njano/Rangi ya machungwa 3. Nyekundu Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
Back
Top Bottom