Tunauza spare za magari zote za japani, uingereza, singapore, magari madogo, makubwa kama fuso, canter, tata , n. k.
Tupo barabara ya 20 Tanga.
Piga simu namba 0713276892.
Usisime spare, sema KWA HUSSEIN.
Pia tuna oil za aina zote, na tunafanya service na tuna fundi pia wa magari kwa...
===
Betavolt, kampuni mpya ya Kichina, inadai kuwa imeendeleza betri ya nyuklia inayoweza kuwasha simu za mkononi kwa miaka 50 bila kuchaji upya. Betri hiyo inatumia nishati ya atomiki iliyopunguzwa kwa ukubwa, ikiunganisha isotopi 63 za nyuklia ndani ya moduli ndogo kuliko sarafu.
Kupitia...
Hii mashine ni nzuri sana na sifa ya kipekee kuhusu hii mashine ni kwamba inakuwa reference table upande wa nyuma hivyo kumuwezesha mtu yoyote hata ambaye ni layman kuweza kupima battery yoyote na kujua kama ni nzima.
Ina uwezo wa kuanalyse na yenyewe ikakuambia state of health ya hiyo...
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand)
Warranty 6 Months
Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana
0764081567
Free Charger
Free Cover
Free delivery in Dar es salaam
Nina pocket router huwa naitumia katika shughuli zangu, uwezo wa battery yake umeshuka na sasa inakaa masaa mawili ama matatu tu.
Nina power bank ina 10000 Mah, nataka niwe naitumia badala ya battery ya hio pocket router.
kuna sehemu imeandikwa hivi
Je kitaalam ntakuwa nimetatua tatizo ?
Za asubuhi wakuu
Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa
Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium battery karibu na port ya kuchajia simu na naona Kama self discharge Ni kubwa Sana ..an average of...
Kuna mbinu nzuri na rahisi inaweza kutumika, hii itaokoa mabilioni tunayotumia kuagiza battery nje ya nchi, pia itatoa ajira maelfu kwa maelfu.
Akina Binslum wanaweza kuzimia kwa pressure baada ya kutizama hii video hapo chini.
Habari wakuu
Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086
Models
PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
Heri ya noeli na mwaka mpya.
Wote tunajua umuhimu wa kuwepo hewani kimawasiliano. Either kikawaida au kwa kua 'access' mtandao. Muda wa mtu Kuwepo hewani kwa asilimia kubwa kunakuwa determined na uwezo battery ya simu yako.
Ndio maana zama zile wakati simu ndio zinaingia kigezo kikubwa wakati...
Msaada kwenye tuta,
Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini?
Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila shida na battery ina miezi miwili Tu bado mpya. Nimesha ichomoa kurudishia lakini wapi
Habarini wadau.
kuna sehem haina umeme na inalazimu kutumia torch kwa ajili ya mwanga, sasa hii tochi ina battery moja na kila siku inabidi uweke battery mpya.
hapo kwa mwezi ni kama elf 15.
hio sehem nikawafundisha kuunganisha battery 2 kila zikiisha, nazo zikiisha zinaunganishwa 4...
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake...
Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo.
1. Kijani/Blue
2. Njano/Rangi ya machungwa
3. Nyekundu
Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.