battery

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Pikipiki mpya za Umeme Verge TS, zina range hadi ya kilometa 600 kwa full charge. Bei yake hadi Tsh. Mil 130 tu!

    Verge Motorcycles, kutoka Finland maarufu kwa kutengeneza pikipiki za umeme zisio za hubs (kwahiyo haina nyororo wala belts, na motor iko connected na tyre ya nyuma direct) wamekuja na pikipiki tatu za Verge TS. Verge TS: Hii ndio base model, ina 107 hp, 0-100 kwa 4 sec, top speed 180 km/h...
  2. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Battery Degradation kwenye EV na Hybrid: Sababu, Athari na Jinsi ya Kuongeza Life Span!

    Wakuu, kwema? Leo tuongelee kidogo kuhusu battery degradation za hybrids (HEV na PHEV) na magari ya umeme (EV), especially used tunayonunua kutoka Japan. Ili kuelewa degradation ya hizi battery, tuanze na utangulizi basics wa EV, PHEV na HEV kwa kutumia mifano ya magari maarufu ya hapa...
  3. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Msikimbilie gari za umeme.. Je mnajua gharama za kubadili battery?

    Bei ya betri za magari yanayotumia umeme (EV) kwa mwaka 2026 inakadiriwa kuwa kati ya TSh milioni 14 na TSh milioni 56 ($5,000 – $20,000), ikitegemea ukubwa wa gari na uwezo wa betri. Ingawa gharama ya teknolojia ya betri imeshuka hadi kufikia takriban $80–$105 kwa kila kWh, bei ya kubadilisha...
  4. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Battery and alternator tester

    🔋 PIMA BETRI YAKO KWA URAHISI NDANI YA DAKIKA CHACHE! Gari lako linaanza kusumbua kuwaka? Epuka kukwama njiani! ✔️ Pima hali ya betri papo hapo ✔️ Angalia kama alternator iko sawa ✔️ Inaonesha: Nzuri, Kati au Chini ✔️ Rahisi kutumia kwa kila mtu 💡 Inafaa kwa magari yote ya 12V 🔥 Pata kifaa hiki...
  5. idiomer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Laptop battery

    ##Extend your laptop battery life 1. Use hibernate mode when the laptop will not be used for an extended period. 2. Calibrate the battery periodically by allowing it to discharge and then fully recharge. 3. Limit the number of applications running simultaneously to reduce power consumption...
  6. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta battery ya dell computer

    Ni kikompyuta cha zamani dell xps 10.Mwenye kujua wapi naweza kupata battery yake anijuze.Natanguliza shukrani
  7. Kitwango Mikazo Miguno

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Apk ya kujua afya ya battery ya simu yako (android phones)

    HABARI YAKO. Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini. Kwa upande wa iOS devices ninamaanisha iPhones hua wanakuonesha hali ya afya ya battery yako kwa mfumo wa...
  8. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Vita ya Teknolojia: Toyota wamegundua injini inayoendeshwq na maji, hamna haja ya battery wala umeme. Maji TU yatosha

    In a move that will shake up the global auto industry, Toyota has just unveiled a water-powered engine powered by hydrogen created through electrolysis — emitting only water vapor! No lithium. No charging stations. Just pure disruption. With this bold move, Toyota isn’t just competing with EVs...
  9. Epateletech

    JamiiForums Tanzania Google pixel battery replacement

    Ushindwe wewe karibu ubadilishe betri original za pixel kwa bei nafuu Betri ni original Pixel 3 zote bei 25k Pixel 4 zote bei 40k Pixel 5 bei 40k pixel 6 zote bei 45k Pixel 7 bei 55k Pixel 8 bei 55k Epateletech tupo kukupa kilicho bora Unaweza kuulizq chochote kuhusu simu nitakujibu 0757937196...
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuzalisha battery ambazo zitajaa kwa mda wa dakika 5 lengo ni kuokoa muda unaotumika kuchaji

    Nikiwa Rais wa Tanzania moja ya mambo tutakayofanya kama nchi ni kuzalisha battery zitakazotumia dakika 5 kujaa na hii itakuwa sio tu battery za simu, bali itajumuisha battery za ndege, helicopter na rockets Fahamu battery ya ndege inatakiwa baada ya km 2000 ndo liishe na lijazwe kwa dakika 5...
  11. USTADH ARABI SAIDI

    JamiiForums Tanzania Tunauza lithium battery

    𝗧𝗔𝗜𝗖𝗢 𝗧-𝗢𝗻𝗲 𝗦𝟭𝟬𝟬𝟬𝟬 𝟱𝟭.𝟮𝗩 𝟮𝟬𝟬𝗔𝗵 𝟭𝟬.𝟮𝟰𝗸𝗪𝗵 𝗟𝗶𝗙𝗲𝗣𝗢𝟰 𝗕𝗮𝘁𝘁𝗲𝗿𝘆 ■𝗜𝘁 𝗶𝘀 𝘄𝗮𝗹𝗹-𝗺𝗼𝘂𝗻𝘁𝗲𝗱 ■𝗦𝗺𝗮𝗿𝘁 𝗕𝗠𝗦 – 𝗕𝗶𝗴 𝗣𝗼𝘄𝗲𝗿 𝟭𝟬𝟬/𝟮𝟬𝟬𝗔 ■𝗦𝗺𝗮𝗿𝘁 𝗕𝗠𝗦 ■𝗥𝗲𝗺𝗼𝘁𝗲 𝗠𝗼𝗻𝗶𝘁𝗼𝗿𝗶𝗻𝗴 – 𝗦𝗲𝗹𝗳-𝗱𝗲𝘃𝗲𝗹𝗼𝗽𝗲𝗱 𝗔𝗣𝗣 ■𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗮𝗰𝘁𝗶𝘃𝗲 𝗧𝗼𝘂𝗰𝗵 𝗦𝗰𝗿𝗲𝗲𝗻 𝗜𝗻𝘃𝗲𝗿𝘁𝗲𝗿 𝗰𝗼𝗺𝗺𝘂𝗻𝗶𝗰𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 ■𝟲𝟬𝟬𝟬 𝗖𝘆𝗰𝗹𝗲𝘀 ■𝟴𝟬% 𝗗𝗢𝗗 ■𝗟𝗶𝗳𝗲𝗽𝗼𝟰 𝗣𝗼𝘄𝗲𝗿 𝗪𝗮𝗹𝗹 𝗟𝗶𝘁𝗵𝗶𝘂𝗺 𝗕𝗮𝘁𝘁𝗲𝗿𝘆 𝟰𝟴𝘃 ■𝟮𝟬𝟬𝗮𝗵 𝟭𝟬𝗸𝘄𝗵 𝗣𝗼𝘄𝗲𝗿𝘄𝗮𝗹𝗹...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale INAUZWA RAM 3GB, STORAGE 64GB Battery 5075mAH OALE SMART 9

    IMEUZWA
  13. Kang

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mgonjwa aishi siku 104 na moyo wa bandia unaoendeshwa kwa battery.

    Mgonjwa ambaye alikuwa anasubiri operation ya kupewa moyo mpya (heart transplant) aliwekewa moyo wa bandia ambao ulimsaidia kuishi siku 104 mpaka pale moyo mpya ulipopatikana na katika tukio la kwanza la aina yake aliweza kuondoka hospitali na kwenda numbani katika kipindi hiko. Moyo huo...
  14. Fazzah5x

    JamiiForums Tanzania THE BATTERY CONNECTION ERROR PLEASE CHECK BATTERY STATUS

    Habarini wakuu naombeni mnisaidie mawazo ya kwanza kuna simu (smartphone?)imechajiwa hapa kwa mpaka imefika 85% galfla imestop yani haiingizi charge kila tukichomeka kwa chaja inaleta tu ujumbe huo juu
  15. Magical power

    JamiiForums Tanzania Hii Radio ilikuwa ukisimama yashika stations zote ukiketi Hazifanyi ...na battery zikiisha Unaskia chwiiih tutuh sound

    Hii Radio ilikuwa ukisimama yashika stations zote ukiketi Hazifanyi ...na battery zikiisha Unaskia chwiiih tutuh sound
  16. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery 🔋

    Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a Kuuza ni ngumu Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia...
  17. Tulibhalega

    JamiiForums Tanzania Je, ni kawaida battery kupiga kelele wakati inachaji?

    Hamjamboni wana jf, napenda kujua, je, ni kawaida 'lead acid battery' kupiga kelele kana kwamba inachemka wakati inachajiwa kwa solar panel? Elimu tafadhali
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuna Tesla Model 3 imefikisha kilometa 500,000 na bado iko na original battery inayosoma Battery Health 85%

    Kuna mwamba ameshare Model 3 yake likiwa na odometer ya miles 316,270 ambazo ni sawa na kilometa zaidi ya laki 5. Gari bado ipo kwenye original battery, na imepungua battery kwa asilimia 15 tu tokea iwe mpya. Kwa izo kilometa, kama angekua na gari la engine, linalomtaka afanye oil change...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

    Mpo wazima! Awe Chawa wa CHADEMA! Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule. Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani. Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni...
  20. T

    JamiiForums Tanzania Survey, Supply, Installation, and Commissioning of Back-up Battery Bank and inverter System at The School of St Jude – Moshono Campus

    Interested parties are hereby invited to tender for the Survey, Supply, Installation, and Commissioning of Battery Bank and Inverter System at the School of St Jude – Moshono Campus. For more details, see the attached document.
Back
Top Bottom