dashboard

A dashboard (also called dash, instrument panel (IP), or fascia) is a control panel usually located directly ahead of a vehicle's driver, displaying instrumentation and controls for the vehicle's operation.

View More On Wikipedia.org
  1. blogspot

    Natafuta Part time job (Excel data analysis and visualization and creating dashboard)

    Habari wakuu. Naimani wote mko salama na majukumu yanakwenda. Ninatafuta Kazi ya muda mfupi/mrefu ya kufanya data analysis and visualization na creating of dashboard kwakutumia Excel. Kama utahitaji niwepo kwenye data collection pia nipo tayari. Natanguliza shukrani na kuwatakia siku njema
  2. Mwenda_Pole

    Msaada: Taa ya Battery kuwaka kwenye dashboard ya gari

    Msaada kwenye tuta, Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini? Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila shida na battery ina miezi miwili Tu bado mpya. Nimesha ichomoa kurudishia lakini wapi
  3. JituMirabaMinne

    Zima gari lako haraka kama ikiwaka taa hii kwenye dashboard

    Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza. Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara...
  4. teac kapex

    Nahitaji dashboard ya Modem

    Wakuu siku nyingi za nyuma kulikuwa na Dashbord ya modem iliyokuwa inatumika kupiga simu hata kwa hizi modem ambazo hazijachakachuliwa ili zitumie line zote. Ni muda mrefu enzi zile akina mtimkavu ndo walikuwa wataalamu, sasa nimejaribu kutafuta thread iliyokuwa inazungumuzia hayo nimekoswa...
  5. Keynez

    Mercedez Benz na BMW ni magari ya kifahali lakini yenye dashboard mbaya

    Moja ya vitu ninavyoangalia katika kutathmini mvuto wa gari ni dashboard au sehemu ya mbele ya gari pembeni ya usukani. Mercedez Benz na BMW ni magari yanayoheshimika sana na yamebaki na quality zake ya ubora ikiwemo brand zinazothaminiwa, engine na uimara kwa miaka mingi. Kwa muonekano wa...
  6. tamsana

    Oil pressure light kwenye dashboard ya gari

    Wadau amani iwe kwenu. Nina swali dogo tu ningependa kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa. Ni kwanini Oil Pressure Light inakuwa on kwa dakika 2 hadi 3 wakati wa kuwasha gari hasa gari inapokuwa imezimwa kwa zaidi ya masaa matatu na kuendelea? Vile vile napenda kufahamu athari zinazoweza...
  7. JituMirabaMinne

    Zingatia sana kama taa za Dashboard zinawaka kabla ya kuwasha gari lako

    Unapoweka switch on kwenye gari lako ni vizuri ukahakikisha angalau taa hizi zifuatazo zinawaka kwenye dashboard ya gari lako. Taa hizo ni 1. Check engine 2. Oil pressure 3. Airbag 4. Coolant temperature 5. Battery 6. Automatic Transmission Temperature (Kama ipo) 7. ABS In fact, Ni...
  8. Isaack Newton

    Ifanye gari yako ionekane mpya kwa kushonea roof, seat cover, dashboard n.k. check attachment hapo chini

    Habari wakuu.! Kama kichwa cha habari kinavyosema, tunashonea seat za magari zilizoharibika, dashboard zilizoharibika, roof za magari aina zote, kwenye milango ya magari. Tunapatikana salasala-Mbezi beach. Unaweza ukatucheki what's up au kutupigia moja kwa moja. 0679478758
  9. JituMirabaMinne

    Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

    Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1. Kijani/Blue 2. Njano/Rangi ya machungwa 3. Nyekundu Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
Back
Top Bottom