Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amesema hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na...
Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe.
Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika...
Akizungumza bungeni leo Mei 21, 2026 wakati wa Maswali na Majibu, Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete amehoji kuhusu mikakati ya Serikali kutatua changamoto za maji zinazozikabili tarafa ya...
Wakuu,
Ni ya kweli haya au ndo Ulega anapenda kujiamulia mambo :BBRUHH:
Sasa kwa nini watu wanasafiri kwenda Dubai wakati tayari tuko Dubai,
Na lile vumbi la Nanjilinji je?
--------------
Waziri...
Katika ulimwengu wa ukaguzi wa hesabu forensic auditing na intelijensia ya jinai (criminal intelligence) miradi mikubwa inayohusisha wageni mashuhuri kama Wasanii na wanamichezo, matukio ya...
Katika nadharia ya sayansi ya siasa, uwepo wa uwanja sawa wa ushindani (level playing field) ndio nguzo kuu inayotofautisha mifumo ya kidemokrasia na ile ya kimamlaka (authoritarianism). Kauli ya...
CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha...
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Anita Annet Among, anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa baadhi ya wabunge kufuatia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Baadhi ya...
Kama kweli tuna nia ya dhati ya tume kufanya kazi zake, basi tufuate misingi ya haki.
Taasisi ya Rais kuunda tume ya kuchunguza Jinai, ina maana ya Wakuu wote wa taasisi za ulinzi, usalama...
Tazama hadi mwisho. Ona! Jinsi Spika Zungu anavyotumia vibaya mamlaka yake kuzima Sauti ya Wananchi. AdoShaibu ameketishwa chini kilazima kisa tu Spika kaota kuwa Mbunge wa Wananchi ataongea mambo...
Madeleka, warioba, Heche, Mwabukusi nk mnaochambua siasa za Tanzania huku mkionesha kuwa katika taifa la kidemokrasia serikali, vyombo vya Dola na bunge linapaswa,lilipaswa kufanya hiki au kile...
Kama mawazo ya binadamu yangekuwa yanaonekana kwa wengine, heshima yako ingebaki ilivyo au tungekukimbia?
Eti, wakuu ungebaki unaheshimika au tungeona vitu vya ajabu mpaka tukakumbia?
Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani,
JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu?
Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima.
Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya...
Mbali na Al Jazeera kupigwa pini kwenye visimbuzi Tanzania, jamaa wameona haitoshi wakaenda block na website yao! Sasa hivi tovuti hiyo haipatikani Tanzania mpaka utumie VPN.
Jinsi inavyokuwa...
BALOZI MATINYI AWASILI ALGERIA
Balozi Mobhare Matinyi amewasili jijini Algiers, Jumanne, tarehe 19 Mei, 2026, tayari kuanza majukumu ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri...
Nadhani wameanza tena chokochoko dhidi ya CHADEMA
Imetokea ktk mji mdogo wa Isaka katika Jimbo la Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga
Walikuwa on the way baada ya mkutano mkubwa mjini...
Kwanini tume za Samia za uchunguzi wa ghasia za uchaguzi mwaka 2025 zinaongozwa na Waislamu?
Je, Waislamu wana agenda ya kuangamiza Wakristo?
Kila aliyetekwa ni Mkiristo, then tume zinaundwa za...
"Ugonjwa mkubwa wa Afrika ni mfumowa vyama vingi. Afrika, amkeni ondoeni mfumo wa vyama vingi, mtamalizana wenyewe kwa wenyewe kupambania ndoto za watu binafsi sio taifa." - Alloyce, P.R
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.