Nimekaa nikawaza hapa tu lengo la kumvua uanachama Nchimbi ni lipi?
Nikiwa sijapata jibu la swali hilo mara gafla akili ikaniambia rejelea Hadidu rejea za Tume ya Jaji Lila,
wakuu moja ya hadidu...
Kuna wakati taifa linapofika mahali ambapo siasa inakuwa si tena suala la uwezo, uadilifu na historia ya mtu, bali ni suala la nani yuko karibu na nani na nani anaweza kupewa nafasi gani...
Sasa hivi mambo muhimu au matukiomuhimu yanaundiwa Tume.
Tume hizi tumeona hazina connection na wananchi wala haziwajibiki kwa wananchi.
Zinawajibika kwa walioziteua.
TUME ni mpango maalum wa...
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 26, 2026 na M & S Podcast, amesema kuwa taifa...
Mbona kama katiba inakiukwa mchana kweupe?
Ni lini bunge limekaa likampigia kura makamu wa rais mpya likampitisha nasi tukashihudia mchakato mzima?
Halmashauri kuu ya CCM ndio imempitisha na...
Habari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa...
Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Ujue haya mambo inatakiwa kukaa kwa makini na kuyataftia ufumbuzi wa kina.
Alianza Ndugai akaona Mwanga kama Sauli akawa Paulo...mkamshinikiza na kina Msukuma wakiwa mstari wa mbele..
Mzee wa...
Miaka yote tangu uhuru, tumeona Bunge likipokea jina la mteule wa nafasi ya Makamu wa Rais na kulipigia kura ya kumuunga mkono au kumkataa.
Kumbukeni kwa uteuzi unaoenda Bungeni siyo wa Mgombea...
Nchimbi analipwa na Allah alivyowafanyia UAMSHO
Wadhifa wa Nchimbi na Mwanzo wa Kesi.
Mwaka 2012 hadi Desemba 2013, Dkt. Emmanuel Nchimbi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Kipindi hicho...
Ni kupoteza muda na kumtesa Lisu.
Sisi tuliokuwepo mahakamani wakati wa kesi za akina Bibi Titi et al , kinachofanyika sasa hivi ni michezo ya kitoto mahakamani.
At least Lisu anaongea sheria...
“Waambie watu wangu sina dawa”
Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo ameomba msaada wa kupata dawa punde baada ya kuingia mahakamani.
Mwenendo wa kesi umefikia katika hatua ya upande wa serikali...
Kutoka Maktaba: Alisema Dkt. Emmanueli Nchimbi, punde baada ya kutangazwa kuwa Katika Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mnamo mwezi Januari, 2024
Naona alichokisema kimetimia! Msimamo ndio silaha...
Mi ushauri wa bure tu, Ccm inapofanya uhuni wowote msajili anakaa kimya, wote tunajuwa Dr Nchimbi wanamfuta uanachama bila kupewa natural justice ya kusikilizwa na kujitetea.
Sasa hoja yangu...
Za Asubuhi.
Siku Moja Mzee wangu aliniambia huyu Samia yeye kwenye akili yake anawaza Urais wake tu. Yani yupo tayari afanye lolote kulinda Urais wake sio Nchi. Nikawaza kweli. Issue ya Spika...
I. Kupanda Chati kwa Nchimbi
Kupanda kwa Dr. Emmanuel John Nchimbi hadi kufikia nafasi ya Makamu wa Rais kuliashiria kilele cha safari ndefu ya kisiasa ndani ya mfumo na uongozi wa Chama Cha...
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 26, 2026 na M & S Podcast, amesema kuwa Chama cha...
Mwigulu atateuliwa kuwa VP na Makonda anaenda kuwa PM"
Uamuzi alishauamua tokea akiwa Zanzibar na ni Washirika wake wachache sana aliowajuza; mmoja-wao ni Abeid"
Anamwona Mwigulu anapwaya kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.