Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amesema hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe. Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika...
0 Reactions
31 Replies
559 Views
Akizungumza bungeni leo Mei 21, 2026 wakati wa Maswali na Majibu, Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete amehoji kuhusu mikakati ya Serikali kutatua changamoto za maji zinazozikabili tarafa ya...
1 Reactions
11 Replies
177 Views
Wakuu, Ni ya kweli haya au ndo Ulega anapenda kujiamulia mambo :BBRUHH: Sasa kwa nini watu wanasafiri kwenda Dubai wakati tayari tuko Dubai, Na lile vumbi la Nanjilinji je? -------------- Waziri...
0 Reactions
10 Replies
170 Views
Katika ulimwengu wa ukaguzi wa hesabu forensic auditing na intelijensia ya jinai (criminal intelligence) miradi mikubwa inayohusisha wageni mashuhuri kama Wasanii na wanamichezo, matukio ya...
4 Reactions
4 Replies
173 Views
Katika nadharia ya sayansi ya siasa, uwepo wa uwanja sawa wa ushindani (level playing field) ndio nguzo kuu inayotofautisha mifumo ya kidemokrasia na ile ya kimamlaka (authoritarianism). Kauli ya...
2 Reactions
3 Replies
101 Views
CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha...
1 Reactions
7 Replies
172 Views
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Anita Annet Among, anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa baadhi ya wabunge kufuatia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya...
2 Reactions
2 Replies
113 Views
Kama kweli tuna nia ya dhati ya tume kufanya kazi zake, basi tufuate misingi ya haki. Taasisi ya Rais kuunda tume ya kuchunguza Jinai, ina maana ya Wakuu wote wa taasisi za ulinzi, usalama...
6 Reactions
16 Replies
266 Views
Tazama hadi mwisho. Ona! Jinsi Spika Zungu anavyotumia vibaya mamlaka yake kuzima Sauti ya Wananchi. AdoShaibu ameketishwa chini kilazima kisa tu Spika kaota kuwa Mbunge wa Wananchi ataongea mambo...
2 Reactions
27 Replies
560 Views
Madeleka, warioba, Heche, Mwabukusi nk mnaochambua siasa za Tanzania huku mkionesha kuwa katika taifa la kidemokrasia serikali, vyombo vya Dola na bunge linapaswa,lilipaswa kufanya hiki au kile...
0 Reactions
3 Replies
116 Views
Kama mawazo ya binadamu yangekuwa yanaonekana kwa wengine, heshima yako ingebaki ilivyo au tungekukimbia? Eti, wakuu ungebaki unaheshimika au tungeona vitu vya ajabu mpaka tukakumbia?
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani, JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu? Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
1 Reactions
8 Replies
231 Views
Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya...
4 Reactions
11 Replies
253 Views
Mbali na Al Jazeera kupigwa pini kwenye visimbuzi Tanzania, jamaa wameona haitoshi wakaenda block na website yao! Sasa hivi tovuti hiyo haipatikani Tanzania mpaka utumie VPN. Jinsi inavyokuwa...
14 Reactions
69 Replies
2K Views
BALOZI MATINYI AWASILI ALGERIA Balozi Mobhare Matinyi amewasili jijini Algiers, Jumanne, tarehe 19 Mei, 2026, tayari kuanza majukumu ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri...
1 Reactions
5 Replies
107 Views
Mh Rais lini utakuja MKOANI Kilimanjaro na Arusha kutushukuru walio kuchangua October 29?
0 Reactions
5 Replies
114 Views
Nadhani wameanza tena chokochoko dhidi ya CHADEMA Imetokea ktk mji mdogo wa Isaka katika Jimbo la Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Walikuwa on the way baada ya mkutano mkubwa mjini...
3 Reactions
26 Replies
428 Views
Kwanini tume za Samia za uchunguzi wa ghasia za uchaguzi mwaka 2025 zinaongozwa na Waislamu? Je, Waislamu wana agenda ya kuangamiza Wakristo? Kila aliyetekwa ni Mkiristo, then tume zinaundwa za...
7 Reactions
40 Replies
723 Views
"Ugonjwa mkubwa wa Afrika ni mfumowa vyama vingi. Afrika, amkeni ondoeni mfumo wa vyama vingi, mtamalizana wenyewe kwa wenyewe kupambania ndoto za watu binafsi sio taifa." - Alloyce, P.R
1 Reactions
13 Replies
240 Views
Back
Top Bottom