Organization Chart

Organization Chart

Hapana.

Fanya iwe hivii..

Sa100
↘️↙️​
Dula
↘️↙️​
Mcharangwa
↘️↙️​
Zenji Citizens
Hao wengine hawana nafasi yoyote ya kimaamuzi.
Hawa wamo ndani ya CCM.
Hawa ndio CCM yenyewe.
Na hao zenji citizen wako ndani ya Raisi.
RAIS akiondoka na wao wanaondoka.
 
Aiseee,
Kwa hiyo sasa nchi inatawaliwa na magenge ya wahalifu?
Yes kabisa
Kwa kawaida mifumo wa utawala wa nchi nyingi duniani Kuna kitu kinaitwa Mihimili au Muhimili wa dola.
Na mara nyingi umegawanyika katika sehemu tatu.

1) Serikali
2) BUNGE
3) MAHAKAMA

Lakini hapo juu hakuna Muhimili Bali Kuna Organization Chart.
Org Chart bupatikana kwenye makampuni TU.
Na hivyo basi Tanzania ni kampuni ya Watu wachache waliojimilikisha ili kuchuma utajiri na mema ya nchi peke Yao.
Ambao ndio hivyo ilivyo hapo juu.😄😄😄
 
Yes kabisa
Kwa kawaida mifumo wa utawala wa nchi nyingi duniani Kuna kitu kinaitwa Mihimili au Muhimili wa dola.
Na mara nyingi umegawanyika katika sehemu tatu.

1) Serikali
2) BUNGE
3) MAHAKAMA

Lakini hapo juu hakuna Muhimili Bali Kuna Organization Chart.
Org Chart bupatikana kwenye makampuni TU.
Na hivyo basi Tanzania ni kampuni ya Watu wachache waliojimilikisha ili kuchuma utajiri na mema ya nchi peke Yao.
Ambao ndio hivyo ilivyo hapo juu.😄😄😄
Kwenye nchi ambazo kuna utawala Bora, hiyo mihimili kila mmoja unakuwa huru ili kuzuia mihimili mingine kuvuka mipaka.

Ila kwa Tanzania kuna mhimili mmoja imejiinua kinyume na matakwa ya Katiba, unamiliki na kusigina mihimili mingine.

Tunatokaje kwenye huo mkwamo?
 
Back
Top Bottom