Gari la Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga limepata ajali eneo la Usanda wilaya ya Shinyanga barabara ya Tabora - Shinyanga, wakati likikwepa gari aina ya Toyota Harrier na kuingia kwenye mtaro...
Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu amesema Watanzania wa sasa hivi hawajui nchi hii ilipotoka. Tunajidharau lakini mataifa ya nje wanatupongeza.
"Watanzania wa sasa hivi hawajui nchi hii ilipotoka...
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesema serikali haitavumilia vitendo vya kushikilia mali na vitendea kazi vya wafanyabiashara, akisisitiza kuwa tabia hiyo inakwamisha uzalishaji na ukuaji wa uchumi...
Samia ataondoka. Hilo halina mjadala...
Ila SiSiEmu kuondoka ni pasua kichwa na itahitajika njia na mbinu nyingine. Why?
Kwa sbb SiSiEmu ni zaidi ya chama cha siasa, ni mfumo wa kiharamia wenye...
Polisi watatofautishaje huyu kaja Kuandamana, yule anaenda kupiga Kura? Kwa ninavyowajua Ndugu zangu wote mtawekwa kapu moja MTACHEZEA KICHAPO halafu baadae direct kituoni kuchangia uchakavu...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega (Mb.), akiwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2026/27 ya Wizara ya Ujenzi leo, tarehe 20 Mei 2026,
amesema kuwa...
Na,
nini hasa lengo la kuwarubuni kifikra na kuwatumia baadhi ya vijana wa chama hicho cha siasa hasa wale wasiojitambua mpaka wakukubali kua mercenaries na kujifunza masuala ya kigaidi na...
Halitakuwa jambo la kushangaza ukisikia Mwanasiasa Mrisho Gambo aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM akihamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Taarifa zilizotolewa na...
Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi?
Wako wapi akina Polepole?
Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana?
Tanzania inaenda wapi?
Tunangoja kujua hatima ya unyama na...
Mchora Katuni mkongwe Masoud Kipanya kupitia chaneli ya Kipanya Tell A vision akielezea mtazamo wake kuhusu tabia ya watu wanaotoa maoni kupitia mitandao mbalimbali.
Baada ya Chadema kusimamia msimamo wake kuhusu maridhiano, CCM imekuja na project mpya.
Wameamua kuitumia ACT kwa vile imekuwa ikitumika kuisafisha CCM kwa muda mrefu.
Ili Zitto na chama...
Wakuu, hapa kwetu, Kimara mafuta ya kupikia yanazidi kuota mbawa, kwa sasa lita tunanunua 5600, hali ya maisha inazidi kuwa ngumu sana.
Hivi huko kwenu yamefikia kiasi gani hemu nijuzeni kama...
Ni wazi kabiaa kuwa uhalifu ulifanyika ile Oktoba 29.
Vijana waliiba na kuvunja maduka. Huu uhalifu upo wazi kabisa.
Kama ilivyokawaida maandamano yoyote makubwa huandamana na ghasia na uporaji...
Ilianza NCCR ikapotea CUF wakachukua nafasi yao CUF nayo ikapotea CHADEMA ikachukua nafasi ila kwa tulipofika sasa mabadiliko yatapatikana kupitia CHADEMA au hayatapatikana kabisa. Hakuna dalili...
Hongera sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha Diplomasia ya Kiuchumi na kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji nchini Tanzania.
Pongezi za dhati kwa hatua hii...
Anaandika Fortunatus Buyobe kwenye Mtandao wa X
====
Juzi niliripoti tukio la jaribio la watu kuniteka.
Watu wale wakitumia gari tatu aina ya Land Cruiser na Subaru Forester nyeusi walitaka...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote.
Hajui chain of command.
Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything.
Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia...
Guys
Chadema ilitisha sana kahama pamoja na.mizengwe ya CCM
1. NMB Wakagawa mitungi ya gas bure waaapi.
2. Leseni bure kwa boda boda waapi
3. Asili festival wapiii
Watu walikataa yote hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.