Moyo wangu umejawa na furaha kama Ile ya Abel (Habil) baada ya kutoa sadaka ya kukubalika mbele za Mungu.
Ingawa sadaka ya Abel ilikuwa na wivu dhidi ya ndugu yake Kaini.
C&P from Belvin Kagoma facebook
MAKALA: Operesheni ya Kupambana na Kelele Kariakoo – Je, Dar itarejesha Utulivu wa Soko Kubwa Zaidi Nchini?
Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam limeingia rasmi...
Kwenye Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania zipo wizara za mambo ya muungano na zipo ambazo si za kimuungano.
Kwa mujibu wa makubaliano ya Tanganyika na Zanzibar ya mwaka 1964, kutakuwa na...
Mabadiliko ya Katiba ni maboresho ya kilichopo siku zote lengo hua ni hilo na ni jambo sio la sisi Wananchi pekee pia linahusu ambao hatma ya Nchi yetu ipo mikononi mwao na ni jambo linalogharimu...
ANDREW NYERERE NI MGONJWA WA AFYA YA AKILI , ASAIDIWE MAOMBI.
Familia ya mwalimu Nyerere ilipata bahati mbaya sana na haikuwa bahati kwa huyu mtoto wake Andrew Nyerere ambaye ni mtoto mkubwa wa...
Siku chache zilizopita huko nchini India kulikuwepo na maandamano makubwa ya wanafunzi kupinga uvujaji wa mitihani ya wanafunzi wanaosomea udaktari.
Yalikuwa ni maandamano makubwa sana...
Kila alichozungumza kimejaa uongo wa kiwango cha chini mno!
Ikiwa No Reforms No Election ya Chadema imeitwa Uhaini na kusababisha Tundu Lissu kukamatwa hicho anachokisema Nchimbi ni kipi?
Kama...
Habari za wakati huu.
Nipo hapa baada ya kupata wakati mgumu kuelewa watanzania ni watu wa namna gani ndio maana nimekuja na mada hii.
Kuna kitu huwa tunaelezwa ambacho ni uzalendo.Kwa tafsiri...
Hamjambo!
Hii nchi ipewe tuzo kwa kurukia mambo na matukio. Sijui nilie. Nikajirushe ghorofani au pale ferry.
Yaani Madowo alivyokuwa anaripoti. Daah! Acha tuu.
Wadau tunafanyaje hapa? Wale wa...
Niseme ukweli mimi kama mr Pipa nina miezi zaid ya 7 sijawahi kumsikiliza raisi wangu au kuangalia hutuba zake na sijui saizi raisi anamwonekano upi yote kutokana na kuni kera hasa kwenye hutuba...
Kauli ya Mkamu wa rais ni TATA inatafsiri zaidi ya moja.
LAKINI CHA MUHIMU NA MSINGI ZAIDI NI KUIPATA KATIBA MPYA NA KUWA NA UTASHI WA KUIFUATA KATIBA KWANI NCHI INAWATU WENGI 70M NDANI HUMO...
Nawaza tu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake...
Viongozi wetu wamekuwa mara kwa mara wanafanya majaribio ya kitaaluma na wakati wote majaribio hayo yameacha simanzi kwa baadhi ya wanafunzi ambao ndio wahanga wakati wote
Humu katikati kuliibuka...
Alhamisi wiki hii kikao cha mchujo wa kumpata katibu mkuu mpya wa UN, kuchukua nafasi ya Antonio Guterez, kinaanza kufanyika.
Katika mchujo huo Afrika inawagombea wawili baada ya Aliyewahi kuwa...
Ni jambo jema kwa viongozi, taasisi na wananchi kuhakikisha kuwa mali zinazotumika kwa ajili ya kutoa huduma za umma zinasimamiwa kwa uwazi na kwa kuzingatia sheria na taratibu za Serikali...
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?
Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa...
Mchungaji Peter Msigwa, aliyedai kwamba hotuba ya Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi imewaamsha Watanzania kuwa licha ya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia ilani yake ya uchaguzi 2025/30...
Kelele za ajenda hii zimekuwa nyingi kweli! Acha nione mwisho wake
==========
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Kilwa kimetoa msimamo wao juu ya tuhuma za Fedha ndani ya Chama...
Kama Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dr. Samia anataka Katiba mpya, Makamu wa Rais anataka Katiba mpya, sasa ni nani anapinga Katiba mpya kiasi cha Makamu wa Rais Dr Nchimbi kuwataka wananchi wapambane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.