Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kikao cha dharura cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kinatarajiwa kufanyika baada ya makatibu wa chama kuanza kukutana Kikaangoni, Zanzibar, ikiwa ni siku 28 tangu kikao cha awali cha NEC...
2 Reactions
5 Replies
251 Views
Kanisa KKKT lina vyuo vikuu kadhaa hapa nchini, hili kanisa limejengwa ktk msingi wa ubinafsi uliopitiliza. Walianza na Tumaini University iliyokuwa Iringa, sasa hivi wameiita Iringa University...
8 Reactions
35 Replies
762 Views
Baada ya DW na BBC kumtangaza kwamba Nchimbi amejiuzulu,naanza kuamini kwamba hizi habari ni kweli. Lakini watu wanasema ati Makonda awe VP. This is absurd. The man is arrogant. Halafu ni mhalifu...
11 Reactions
28 Replies
573 Views
Na anajitahidi kuweka imani aaminike, System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani, Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza...
46 Reactions
65 Replies
2K Views
Mfano kipindi cha Kikwete alilazimika kuwachagua Ali Mohamed Shein na Mohamed Gharib Bila
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Kwema wana Chadema , amani ya Mungu ikawe juu yenu, mnakumbuka Mh lowasa na Mbowe walivyo waangusha Leo chama chenu kimejaa wabobevu wa kila aina kwenye siasa n.k Ccm ni wahuni sana , huu mtego...
3 Reactions
17 Replies
188 Views
Hebu waambie kitu!
1 Reactions
2 Replies
55 Views
Wakuu, Katika mahojiano yaliyofanyika kwenye kipindi cha Kume Pambazuka cha Radio One, Afisa kutoka BOT Henry Joseph amesema kuna tabia iliyokithiri kwa wananchi na wafanyabiashara kutumia mfumo...
8 Reactions
35 Replies
729 Views
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia...
31 Reactions
66 Replies
7K Views
Naombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi. Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10. Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya...
13 Reactions
39 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, jitafakari kwa kina kama bado unafaa kuendelea kuwa ofisini, hasa baada ya kauli iliyotolewa na Waziri wa Afya pamoja na kashfa...
2 Reactions
9 Replies
121 Views
Baada ya Dr Emmanuel Nchimbi kubwaga manyanga (kutema mbungo), Ramli chonganishi zinapigwa sana kutabiri nani atachukua nafasi yake Pamoja na uharamu wa serikali hii, lakini by all means...
9 Reactions
38 Replies
1K Views
Haiba ya Ucheshi na Uzungumzaji ya ndugu yetu Mh.Tundu Lissu inafanya watu wanaoitaka apotee, wazidi kufula kama Vifutu. Namsihi apunguze Mizaha kwa neema za Mungu. Vinginevyo anafanya mioyo...
3 Reactions
10 Replies
277 Views
Kwa hili linalotokea la nchimbi kujiuzulu mimi sina upande wa kutetea au kuponda sababu ukweli ni kwamba ccm wote wanafanana tabia na wanatumia playbook moja kwa hiyo huo ni uogomvi wa ndugu haina...
3 Reactions
6 Replies
63 Views
Hii inathibitisha kuwa hii nchi imewashinda hawa walio madarakani. Hivi kweli ingekuwa hao ni wanaojitambulisha kuwa ni waandamanaji, je wasingekamatwa? Huyu anayeitwa IGP nadhani ni bosheni tu...
25 Reactions
43 Replies
1K Views
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo...
9 Reactions
140 Replies
4K Views
Utasemaje hayo yakitokea!? Mara paaap Nchimbi yuko na Lissu kwenye madai ya Katiba Mpya!
5 Reactions
38 Replies
410 Views
Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake. Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
2 Reactions
11 Replies
175 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema, “Muulizeni Mbowe viongozi wa CHADEMA wasingemtembelea gerezani angejisikiaje?” Soma Pia: Heche: Mbowe aulizwe mwenyewe kwanini haendi mahakamani Tundu Lissu...
13 Reactions
60 Replies
829 Views
Back
Top Bottom