Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hivi lile jiroboti lenye ufanisi na la gharama kubwa lililopelekwa bongeni kwa maonyesho/maigizo lilipelekwa wapi kuwatumikia watanzania? Au tunasubiri episode/event ingine wana tuendelee kujionea...
5 Reactions
19 Replies
186 Views
Ignore this misinformation. The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, has not made these remarks. This statement is fabricated with the intention of...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Akizungumza Machi 27, 2026 katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 uliofanyika Mkoani Mwanza, Amesema Askofu Mkuu wa Kanisa la...
0 Reactions
5 Replies
79 Views
𝙍𝘼𝙄𝙎 𝙎𝘼𝙈𝙄𝘼 𝘼𝘼𝙉𝙕𝘼 𝙐𝙅𝙀𝙉𝙕𝙄 𝙈𝙆𝙐𝘽𝙒𝘼 𝙃𝙊𝙎𝙋𝙄𝙏𝘼𝙇𝙄 𝙈𝙐𝙃𝙄𝙈𝘽𝙄𝙇𝙄. SAMIA AANZA UJENZI MKUBWA HOSPITALI MUHIMBILI Context: Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la upanuzi wa Hospitali ya Muhimbili...
1 Reactions
6 Replies
156 Views
Watanzania tujisikie farari kumpata mama anatujari na ana utu
0 Reactions
4 Replies
74 Views
Godbless Lema amendelea kukiwasha na kutoa maoni yake yalitokea Oktoba 29, 2025. Godbless Lema amesema Oktoba tunatiki, No Reforms No Election inachocheaje maandamano? Maandamano yamechochewa na...
3 Reactions
2 Replies
155 Views
Familia ikiwa za afya ni ulinzi tosha hii inaongeza kujiamini. Kuna watu wanauza metch na hawana bima za afya please tafuta bima ya afya au tumia condom. Kuna familia hazina kipato chakutosha na...
1 Reactions
5 Replies
127 Views
Ninaomba mwenye cv ya Omar Kishera maana namwona sana mitandaoni hasa Istgaram akiunguruma na vipindi mbalimbali vya elimu kwa UMMA na kwa Taasisi binafsi. Je, ni miongoni mwa vigogo waliowahi...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Tume iliundwa na wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika masuala ya sheria, haki, usalama na utawala bora. Uteuzi wao ulizingatia uadilifu, uelewaji wa kina wa mambo ya kisiasa na kijamii, na...
0 Reactions
2 Replies
65 Views
Wanabodi, Karibu, Nipashe ya leo Kufuatia Watanzania wengi kuwa ni waumini wa dini kuu mbili, Ukristo na Uislamu, hivyo sii wengi wanaijua "karma" ni nini, kwasababu "karma" ni neno la lugha ya...
11 Reactions
41 Replies
6K Views
"Nakupongeza sana kwa kazi kubwa unayoendelea kufanya nchini katika maeneo mbalimbali, katika nyanja mbalimbali. Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia na kwa hii ambayo...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Salaamu kwako Mheshimiwa Rais Mheshimiwa Rais, nianze kwa kusema kuwa mimi raia wa Tanzania, nina heshima kubwa kwa Jeshi letu la wananchi. Kazi waliyoifanya kwa miaka zaidi ya 60 ya ulinzi wa...
34 Reactions
137 Replies
11K Views
📍Katambi-Serikali yaokoa Bilioni 21 Magereza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amesema jumla ya Shilingi Bilioni 21 zimeokolewa ikiwa ni faida za Bodi ya Parole na Programu ya...
0 Reactions
1 Replies
51 Views
PROF. KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BOTSWANA JIJINI LONDON Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa...
1 Reactions
4 Replies
199 Views
Wakuu, Kumbe nchi yetu ina mazingira mazuri sana ya Kiuchaguzi katika kipindi hiki na hamsemi? Akiwa anazungumza jana, Kabudi anasema kwamba tangu Tanganyika au tuseme Tanzania ipate uhuru...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Uzuri ni kwamba sukari ikipanda bei haichagui wewe ni mwimbaji mzuri wa mapambio au ni mkosoaji wa serikali namba inasomeka maumivu yako palepale. Ukienda kituo cha mafuta kuweka mafuta kwenye...
1 Reactions
1 Replies
78 Views
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa...
24 Reactions
79 Replies
6K Views
Nina mashaka na kusema Kuna covid 19 kipindi hiki Je, Kuna kitu kinapikwa? Je, Kuna watu wanatafutwa? Je, biological weapons itatumika Kama ilivyotumika kwa Magufuli na kusingizia covid...
33 Reactions
116 Replies
2K Views
Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI". Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA...
8 Reactions
15 Replies
423 Views
Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi
0 Reactions
3 Replies
64 Views
Back
Top Bottom