Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI".
Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA...
Kutokana umuhimu wa hotuba za Rais, pale anapohutubia, katika sehemu maalum, yaani podium, ni vyema kabisa iwe na nembo ya Taifa yenye kuakisi uhalisia wa asili wa rangi zake. Uwepo wa rangi...
Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya...
TANZANIA KATIKATI YA DHORUBA YA KIJIOPOLITIKI: KAULI YA BALOZI MTEULE WA MAREKANI NI ONYO AU DIPLOMASIA YA MASLAHI?
“Karne hii mpya haitapiganiwa kwa mafuta pekee — itapiganiwa kwa madini...
Amebaki Pascal Mayalla anajitutumua kua very critical.
Ufisadi unaoendelea sasa hivi bila kuwa tasinia ya habari yenye waandishi wa habari kama Pascal Mayalla taifa letu linakwenda pabaya sana...
My Take
Usije Waamini Wakunya ni Moja ya watu matapeli ,wanafiki na haters wakubwa wa Tanzania.
Hapa bwana Ruto ameamua kutumia Nguvu kubwa sana kumshawishi Dangote Ahamishie wazo la kujenga...
Wasalaam Watanzania!
Natumaini wote ni wazima wa afya kabisa na tunaendelea na kujilinda.
Kwanza kabisa naomba ku-declare interest, Mimi sio Mwanachama wa chama chochote cha siasa na wala...
TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa Wilaya ya Kilolo unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma kufuatia taarifa potofu inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu ubovu wa daraja linalopatikana katika kijiji...
Kwa nyakati tofauti tumekuwa na mijadala mizito kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma ambayo yamekuwa hayafanyi vizuri.
Mijadala hii kwa imekuwa ikiibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi...
Ameulizwa na mwandishi wa BBC kuwa mwandiahi wa habari wa gazeti la Mwananchi Azory Gwanda yupo wapi?
Anajibu kuwa hata polisi, viongozi wa CCM nao waliuawa kule Kibiti.
Sasa Polisi na viongozi...
Je, una picha au video ya mtu akiuawa au aliyefariki wakati wa uchaguzi Tanzania uliofanyika tarehe 29 Oktoba?
Weka picha/video hiyo hapa na jibu maswali yatakayofuata. Wasaidie Human Rights...
Tanzania tuna LNG project yenye potential ya kubadilisha uchumi wa taifa kwa kiwango kikubwa sana, halafu watu wanataka tuwe desperate kwa sababu Dangote anaweza kwenda kujenga refinery Kenya...
Watanzania hasa wapenda maendeleo suala la kujenga refinery ya Crude oil ya Uganda limeandikwa kwenye Mkataba siyo suala la Makubaliano na Dangote refinery ya crude oil itajengwa na waofanya...
Msemaji wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ametoa tamko kali akiibana serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti kupanda kwa bei ya mafuta ambayo sasa imefikia takriban shilingi...
Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana.
Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu.
Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.