Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI". Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA...
8 Reactions
15 Replies
423 Views
Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi
0 Reactions
3 Replies
64 Views
Kutokana umuhimu wa hotuba za Rais, pale anapohutubia, katika sehemu maalum, yaani podium, ni vyema kabisa iwe na nembo ya Taifa yenye kuakisi uhalisia wa asili wa rangi zake. Uwepo wa rangi...
0 Reactions
5 Replies
103 Views
Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya...
11 Reactions
62 Replies
906 Views
TANZANIA KATIKATI YA DHORUBA YA KIJIOPOLITIKI: KAULI YA BALOZI MTEULE WA MAREKANI NI ONYO AU DIPLOMASIA YA MASLAHI? “Karne hii mpya haitapiganiwa kwa mafuta pekee — itapiganiwa kwa madini...
5 Reactions
3 Replies
149 Views
Amebaki Pascal Mayalla anajitutumua kua very critical. Ufisadi unaoendelea sasa hivi bila kuwa tasinia ya habari yenye waandishi wa habari kama Pascal Mayalla taifa letu linakwenda pabaya sana...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
My Take Usije Waamini Wakunya ni Moja ya watu matapeli ,wanafiki na haters wakubwa wa Tanzania. Hapa bwana Ruto ameamua kutumia Nguvu kubwa sana kumshawishi Dangote Ahamishie wazo la kujenga...
2 Reactions
40 Replies
466 Views
Wasalaam Watanzania! Natumaini wote ni wazima wa afya kabisa na tunaendelea na kujilinda. Kwanza kabisa naomba ku-declare interest, Mimi sio Mwanachama wa chama chochote cha siasa na wala...
2 Reactions
3 Replies
715 Views
TAARIFA KWA UMMA Uongozi wa Wilaya ya Kilolo unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma kufuatia taarifa potofu inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu ubovu wa daraja linalopatikana katika kijiji...
1 Reactions
2 Replies
91 Views
Kwa nyakati tofauti tumekuwa na mijadala mizito kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma ambayo yamekuwa hayafanyi vizuri. Mijadala hii kwa imekuwa ikiibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi...
1 Reactions
7 Replies
117 Views
Ameulizwa na mwandishi wa BBC kuwa mwandiahi wa habari wa gazeti la Mwananchi Azory Gwanda yupo wapi? Anajibu kuwa hata polisi, viongozi wa CCM nao waliuawa kule Kibiti. Sasa Polisi na viongozi...
5 Reactions
10 Replies
207 Views
Je, una picha au video ya mtu akiuawa au aliyefariki wakati wa uchaguzi Tanzania uliofanyika tarehe 29 Oktoba? Weka picha/video hiyo hapa na jibu maswali yatakayofuata. Wasaidie Human Rights...
11 Reactions
16 Replies
300 Views
https://www.youtube.com/live/1EUtCsWFvso
1 Reactions
1 Replies
77 Views
Tanzania tuna LNG project yenye potential ya kubadilisha uchumi wa taifa kwa kiwango kikubwa sana, halafu watu wanataka tuwe desperate kwa sababu Dangote anaweza kwenda kujenga refinery Kenya...
0 Reactions
1 Replies
56 Views
Watanzania hasa wapenda maendeleo suala la kujenga refinery ya Crude oil ya Uganda limeandikwa kwenye Mkataba siyo suala la Makubaliano na Dangote refinery ya crude oil itajengwa na waofanya...
0 Reactions
2 Replies
105 Views
Watanzania wenzangu tuwaondoe vijana wetu kandokando ya barabara kuuza machungwa 20 mezani badala yake twende tukawagawie ardhi iliyoboreshwa wazalishe kabla ardhi yao haijaisha kabisa...
3 Reactions
20 Replies
270 Views
Msemaji wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ametoa tamko kali akiibana serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti kupanda kwa bei ya mafuta ambayo sasa imefikia takriban shilingi...
1 Reactions
5 Replies
173 Views
Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana. Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu. Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
6 Reactions
41 Replies
311 Views
Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi...
25 Reactions
70 Replies
2K Views
Back
Top Bottom