Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua, TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption. Ujenzi sasa hivi ni...
3 Reactions
5 Replies
129 Views
Ni kama figisu zimeanza. Makonda hamtaki Mwana FA pale Wizarani. Alichofanya Makonda, ni kumgeuza Msigwa (Katibu Mkuu wa Wizara) kama chawa wake kwenye mitikasi yake pale wizarani. Safari wapo...
32 Reactions
68 Replies
2K Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni imesema inaendelea na msako wa Alex Msama ili ajibu mashtaka yanayomkabili Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...
6 Reactions
31 Replies
637 Views
Kwa taarifa Tu. Tunaendelea vyema kulipa deni letu huko Iran. Hatuja default hata mara moja (kwa lugha ya kimkopo). Sema sasa ukiniuliza Mkopo tulifanyia nn ndio sijui. Wabillah Taufiq. ---...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wabunge wenye michango yenye mashiko katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo wengi. Lakini hapa wanatajwa wabunge 7 tu ambao wakipewa nafasi ya kuongea, michango yao au hoja zao...
0 Reactions
11 Replies
316 Views
Kipindi Cha kampeni tuliahidiwa to Tanzia itaunda FBI, sasa sijui imeishia wapi
2 Reactions
13 Replies
151 Views
Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira...
8 Reactions
12 Replies
218 Views
KENYA: TAIFA AMBALO WANANCHI NDIO MAMLAKA YA MWISHO, SI VIONGOZI Na Revocatus James Ng'oja Mwanaharakati Katika bara la Afrika, mataifa mengi bado yanaendelea kupambana kujenga mifumo ya...
7 Reactions
12 Replies
229 Views
16 May 2026 Aliko Dangote ampongeza Samia Hassan kwa kuchaguliwa 29 Oktoba 2025 https://m.youtube.com/watch?v=e-CPQCNBkho Akiongea live mubashara ikulu ya Dar es Salaam mara baada ya kikao chake...
3 Reactions
34 Replies
442 Views
Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are! Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta Sikiliza clip
0 Reactions
4 Replies
93 Views
Historia ya dunia ina mifano mingi ya serikali au tawala zilizohusika katika mauaji ya halaiki dhidi ya raia wao au makundi fulani ya watu. Mara nyingi matokeo yake yalikuwa: • kuporomoka kwa...
13 Reactions
28 Replies
487 Views
Ni kipi kinaanza...? Hebu tuashumu kuwa, kweli kulikuwa na vurugu kabla, wakati na baada ya 29/10/2025 ambazo ziliishia kwenye mauaji ya maelfu ya raia wasio na hatia.... Sasa ni kipi kinapaswa...
0 Reactions
6 Replies
135 Views
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au? ================ Mgombea Ubunge Arusha...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Gari hiyo aina ya Bentley Flying Spur lenye kibao cha namba W HUSM linalodaiwa kutumiwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Paul Makonda limezua mjadala hasa katika mtandaow a X...
13 Reactions
102 Replies
3K Views
Mkwamo wa Kisiasa Nchini Wakati wa Kujenga Muungano wa Kitaifa Dhidi ya Ukandamizaji ni Sasa. Historia inaonesha kwamba hakuna mfumo kandamizi unaoanguka kwa sababu ya malalamiko...
5 Reactions
17 Replies
198 Views
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imeomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 4.2 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo kwa Mwaka wa Fedha wa 2026/2027. Akiwasilisha...
0 Reactions
5 Replies
186 Views
Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya ya jamii kupata kibali kutoka kwa waziri wa...
0 Reactions
2 Replies
88 Views
  • Redirect
Jeshi la Polisi wawazuia Chama Cha CHADEMA kuzindua kizimba na kupandisha bendera zao katika kijiji cha Isaka jimbo la Msalala mkoani Shinyanga
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom