Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Mkandara

Platinum Member
Joined
Mar 3, 2006
Posts
15,998
Reaction score
9,431
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Pure crap
 
Pure crap or Pure thing... What goes around comes around.

I'm eager to uncover the truth behind the rumors surrounding Heche. If many members believed Mbowe was corrupt during the elections without any evidence, why are they now demanding proof? Why so much Chawaism against these elegations?
Pure crap
 
CHADEMA huwa haijishughulishi na mambo ya kipuuzi yanayosukwa na chama cha majambazi
Ni majibu kama haya ndio huwa tunapewa na CCM miaka yote! Kwenye uongozi wa Wananchi hakuna kitu kibaya kama tuhuma, uongo ukiuachwa utembee hugeuka kuwa Ukweli.
Na trust me, this will cost them big time.. Tupo hapa..
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b

..Nilesh Suchak tajiri wa Kihindi ambaye watoa tuhuma walidai ametoa fedha kwa John Heche amekanusha kufanya hivyo.

..vilevile Nilesh amesema yeye ni mwana Ccm na amemchangia Mama Samia shilingi milioni 500 wakati wa kampeni.

..tatizo lingine ni kwamba wanaotoa tuhuma hizo ni wahuni kama Habib Mchange ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiipiga vita Chadema.

..mtoa tuhuma mwingine ni Shekhe Mwaipopo ambaye pia ni mhuni mhuni na amekuwa akitumika kuvisakama vyama vya upinzani akishadidia ajenda za udini.

..Shekhe Mwaipopo pia alitumika na serikali na Ccm dhidi ya wananchi wa Kusini wakati ule wa sakata la gesi ya Mtwara.

..Serikali kipindi kile ilipeleka majeshi mikoa ya kusini na kuwashambulia vibaya wananchi.

..Vilevile watoa tuhuma wanaonekana kama ni watu waliopangwa. Wote wanatoka ktk maeneo yao ni kuja Dsm kufanya press conference ktk sehemu moja.

..La mwisho ni baadhi ya watoa tuhuma kudanganya wasifu wao wakati wakitoa madai yao. Wako waliodanganya majina yao. Wako waliodanganya kuhusu nyadhifa zao ndani ya Chadema.

..Nadhani ukizingatia yote hayo hapo juu utaona kwamba hakuna sababu za kuridhisha kuanzisha uchunguzi dhidi ya John Heche.

..Kikubwa tunapaswa kujiuliza ni malengo ya wanaotoa tuhuma. Nani amewatuma na kuwafadhili?
 
..Nilesh Suchak tajiri wa Kihindi ambaye watoa tuhuma walidai ametoa fedha kwa John Heche amekanusha kufanya hivyo.

..vilevile Nilesh amesema yeye ni mwana Ccm na amemchangia Mama Samia shilingi milioni 500 wakati wa kampeni.

..tatizo lingine ni kwamba wanaotoa tuhuma hizo ni wahuni kama Habib Mchange ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiipiga vita Chadema.

..mtoa tuhuma mwingine ni Shekhe Mwaipopo ambaye pia ni mhuni mhuni na amekuwa akitumika kuvisakama vyama vya upinzani akishadidia ajenda za udini.

..Shekhe Mwaipopo pia alitumika na serikali na Ccm dhidi ya wananchi wa Kusini wakati ule wa sakata la gesi ya Mtwara.

..Serikali kipindi kile ilipeleka majeshi mikoa ya kusini na kuwashambulia vibaya wananchi.

..Vilevile watoa tuhuma wanaonekana kama ni watu waliopangwa. Wote wanatoka ktk maeneo yao ni kuja Dsm kufanya press conference ktk sehemu moja.

..La mwisho ni baadhi ya watoa tuhuma kudanganya wasifu wao wakati wakitoa madai yao. Wako waliodanganya majina yao. Wako waliodanganya kuhusu nyadhifa zao ndani ya Chadema.

..Nadhani ukizingatia yote hayo hapo juu utaona kwamba hakuna sababu za kuridhisha kuanzisha uchunguzi dhidi ya John Heche.

..Kikubwa tunapaswa kujiuliza ni malengo ya wanaotoa tuhuma. Nani amewatuma na kuwafadhili?
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu shaka juu ya watoa tuhuma. Ila kuna clip moja Heche alitoka akasema anaomba Wanachama wasimchangie, michango yote kuanzia sasa iende Chadema.
Alikuwa na maana gani?
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu shaka juu ya watoa tuhuma. Ila kuna clip moja Heche alitoka akasema anaomba Wanachama wasimchangie, michango yote kuanzia sasa iende Chadema.
Alikuwa na maana gani?

..Nadhani alitaka kusema yeyote anayetaka kumchangia ktk harakati za kisiasa apeleke mchango kwa chama na sio kwake.

..Ni vizuri Watanzania tukajenga utamaduni wa kuchangia taasisi / chama na sio viongozi. Pia ni vizuri kuwa na loyalty kwa chama na sio mtu, au kiongozi.
 
..Nadhani alitaka kusema yeyote anayetaka kumchangia ktk harakati za kisiasa apeleke mchango kwa chama na sio kwake.

..Ni vizuri Watanzania tukajenga utamaduni wa kuchangia taasisi / chama na sio viongozi. Pia ni vizuri kuwa na loyalty kwa chama na sio mtu, au kiongozi.
Kwa hiyo ina maana kulikuwa na watu wanamchangia au sio?
 
..Nadhani alitaka kusema yeyote anayetaka kumchangia ktk harakati za kisiasa apeleke mchango kwa chama na sio kwake.

..Ni vizuri Watanzania tukajenga utamaduni wa kuchangia taasisi / chama na sio viongozi. Pia ni vizuri kuwa na loyalty kwa chama na sio mtu, au kiongozi.
Huwezi kuniamulia na hela zangu nimpe nani!
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu shaka juu ya watoa tuhuma. Ila kuna clip moja Heche alitoka akasema anaomba Wanachama wasimchangie, michango yote kuanzia sasa iende Chadema.
Alikuwa na maana gani?
Mbona swala dogo sana. Kama uliweza tafiti mpaka hatua hiyo. Utakuwa umegundua kuwa kuna wananchi pia wanataka Heche apate kitu asikae kinyonge, sidhani kama kuna tatizo na hiko.

Hata wewe ukiomba unapewa.

Swai je? Kwa akili zako timilifu kama kungekuwa na sintofahamu yoyote juu ya miamala, kwa joto hili unadhani CCM na vyombo vyake vya dola vingemuacha? Maana miamala iko wazi.
 
Mbona swala dogo sana. Kama uliweza tafiti mpaka hatua hiyo. Utakuwa umegundua kuwa kuna wananchi pia wanataka Heche apate kitu asikae kinyonge, sidhani kama kuna tatizo na hiko.

Hata wewe ukiomba unapewa.

Swai je? Kwa akili zako timilifu kama kungekuwa na sintofahamu yoyote juu ya miamala, kwa joto hili unadhani CCM na vyombo vyake vya dola vingemuacha? Maana miamala iko wazi.
To me as long as this rubbish is ccm generated, I will not take note of this nonsense
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Majibu ya takataka uliyo-post ni rahisi sana.
-Wanachama, supporters na sympathizers wa CHADEMA si wajinga, wanafahamu fika sources za hizo allegations na watu kama wewe matamanio yenu ni kuwatoa kwenye reli waanze mambo hayo ya kichunguzana huku nanyi mkizidi kukoleza moto but you've failed big time and you shamelessly disgraced yourselves.
-Mbowe alifanya kazi kubwa sana kuijenga CHADEMA lakini 'alilegea' au 'alilegezwa' katikati ya mapambano na makamu wake alikiri hadharani kuwa alikuwa ndiyo link ya uongozi uliokuwepo na Abdul(mtoto wa Samia) hivyo ni dhahiri walikuwa compromised sasa hapo kulinganisha hizo phases mbili za uongozi obviously wewe ni miongoni mwa walewale mnaopambana kuitoa CHADEMA kwenye reli.
-Don't forget that CHADEMA ni chama kikubwa and when it comes to diehard supporters there is no party you can compare with so hao diehards hawawezi kukaa kimya wanapona dhahiri kuwa uongozi umekuwa compromised, they ain't stupid.
-The funniest part of this whole saga ni kwamba wanaolilia uongozi uwekwe kando ili uchunguzi ufanyike ni CCM pamoja na members wa CHADEMA ambao mienendo yao inatiliwa shaka ndani ya chama so by reading between the lines you can figure out where 'this whole shit' comes from.
NB: Stop exposing your hypocrisy and let them be kwani chama ni chao na malengo, mikakati, direction na goals wamejipangia wenyewe.
 
Back
Top Bottom