Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X: Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka...
4 Reactions
28 Replies
641 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza...
1 Reactions
4 Replies
358 Views
Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Tulishaandika Humu na kwingineko kitambo tu, tena kwa kusisitiza , Kwamba kuisambaratisha ccm hakuhitaji muda Mrefu, Hawa Watu ni wepesi kuliko pamba ya Shinyanga Hakuna kiongozi Yeyote wa ccm...
17 Reactions
34 Replies
732 Views
Leo Waziri wa Ujenzi ameliomba Bunge kupitisha TZS 2.564 trilioni kwa mwaka 2026/27. Lakini kabla Bunge halijapitisha, kuna tatizo moja la msingi linalohitaji ufafanuzi: 📍 Mei 2025, Wizara...
1 Reactions
4 Replies
216 Views
  • Redirect
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo. David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo. David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa...
0 Reactions
Replies
Views
Asalam Aleykum wapenzi wana JF, Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Ili kukwepa mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) viongozi wa Tanzania walitakiwa waanzishe na kuleta mashtaka dhidi ya wahusika wa mauaji ya mamia ya Watanzania Octoba 29 mwaka jana...
38 Reactions
73 Replies
2K Views
Wakuu, tumchongee Samia Suluhu kwa Trump Baba Donald Trump, Huku Tanzania kuna Mwanamke anaitwa Samia Suluhu Hassan aliikuita who are you.. Mvutie pumzi.. Kwa sasa yupo huko Tunguu Zanzibar. Siku...
17 Reactions
45 Replies
996 Views
Mliokuwa mnasema Paul Makonda huwa haongei kingereza hapa ni wapi? WAziri Makonda akizungumzia ujio wa Ferdinand ambaye amewasili Mei 19, 2026 amesema atakaa nchini kwa siku 3 na atatembelea...
3 Reactions
14 Replies
303 Views
Mahakama iharakishe Hukumu dhidi ya Lissu ili akipata na Hatua Anyongwe Hadi Kufa kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025
1 Reactions
21 Replies
856 Views
Kwa Masilahi Mapana nya Marekan na Ulaya, DEMOKRASIA ni sehemu ya hakikisho la Usalama wao wa NCHI. Wote wanaoegemea Urusi na Uchina, wanaendelea KUANGUKA. Tumemnyakua Maduro, Tumeblok Cuba...
1 Reactions
4 Replies
152 Views
  • Closed
Wakuu habari za muda huu. Naomba kuuliza utaratibu wa wahitimu wa kidato cha 6 kujiunga na JKT kama bado ni hiyari au kwa sasa ni lazima? Na kama ni lazima,mafunzo hayo huanza mwezi gani kwa hawa...
2 Reactions
5 Replies
161 Views
MATAMKO/MAAZIMIO YA USA NA EU YAMESAIDIA NINI WAPINZANI AFRIKA? Kabla ya Azimio la Zanzibar la 1992, lililozaa mfumo wa vyama vingi Tanzania, kulikuweko na kitu kilichoitwa matamko na maazimio ya...
-2 Reactions
58 Replies
954 Views
  • Redirect
Msaidizi wa Tundu Lissu, David Djumbe amedaiwa kutekwa usiku wa kuamkia leo Mei 21 na watu waliokuwa na silaha za moto. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alipoulizwa...
0 Reactions
Replies
Views
Ambagile anasema kuwa anaona itakuwa ngumu sana kupata katiba mpya kwa sababu anaona vyama vya siasa vimeanza kugombea agenda kuwa hiyo agenda ya Katiba ni ya chama fulani, anasema Katiba mpya ni...
5 Reactions
10 Replies
150 Views
Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500. SKYBUS Kazi_iendelee
59 Reactions
270 Replies
20K Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje...
4 Reactions
86 Replies
2K Views
Back
Top Bottom