Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Yu wapi naibu waziri wa michezo, ndugu Mwana Fa kutokuonekana kwenye ziara ya legend wa soka Rio Ferdinand?
2 Reactions
9 Replies
199 Views
Kila siku tunalalamika kushuka kwa Maadili nchini lakini wavuruga maadili nchini ni chadema. Mpaka Leo hii maadili ya watanzania yameharibika kwasababu ya viongozi wa chadema na chama Chao cha...
2 Reactions
58 Replies
772 Views
Hivi karibuni msajiri wa vyama vya siasa alidai kwamba, watu wanafikiri huwa hawaandikii CCM barua za kujieleza kwa sababu anapowaandikia CCM barua hizo CCM huwa hawazianiki hadharani kama...
0 Reactions
11 Replies
115 Views
Mama Samia anaunda tume kila siku za kitapeli ambazo wanataka kutumika kusingizia matatizo ya vurugu wapinzani. Wameishiwa mbinu sasa tume zenyewe za mchongo kazi yake ni kuja na mapendekezo ya...
2 Reactions
8 Replies
178 Views
Mange Kimambi, mmoja wa wahamasishaji wakuu wa maandamano makubwa yaliyopelekea umwagaji damu Oct 2025, amewashutumu CHADEMA kwa kuendesha mikutano "yenye vibe" za miziki ya bongo fleva ikiwemo...
5 Reactions
21 Replies
422 Views
Kuna project naiona ya kubomoa majengo ya zamani ya umma (NHC) na kujenga majengo mengine .KARIAKOO-DSM Tukumbuke haya majengo mengi yalitaifishwa na Baba wa taifa ili yamilikiwe na umma...
7 Reactions
13 Replies
263 Views
Nyinyi wenyewe mliona , baada ya kuanza Kuomba Watanzania wachangie Chama kwa buku buku tu, mliona, mliona Kila Wilaya mlopita Wananchi walishindana kushinda Wilaya nyingine. Matokeo yake ilileta...
5 Reactions
13 Replies
262 Views
Hapa DUNIANI, Siasa, DINI, Michezo na Mapenzi huenda ndio vitu pekee ambavyo hushika "HISIA / EMOTIONS" . Sasa Wanawake ni viumbe waishio kwa HISIA . Ni katika kulijua hili, Mtunzi mzuri wa...
2 Reactions
3 Replies
144 Views
David Jumbe ambaye ni Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu aeleza kilichotokea katika tukio la kutekwa kwake jana usiku tarehe 20 Mei 2026. Video inakuja
1 Reactions
2 Replies
213 Views
Kuna mambo ukijiuliza unabaki na uzuni. Siasa za vyama upinzani afrika tumeshindwa kuwa wastarabu ni bora vyama vya upinzani vifutwe ?Hii inaonyesha afrika hatuna huwezo wa kuvumilia mawazo...
2 Reactions
8 Replies
115 Views
Sasa kama Drogba na Rio hawapost chochote kuhusu ziara zao Tanzania kwenye kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii si ni sawa na wale wanawake wanaokula hela za majamaa huku utamu hawatoi? Hizi...
3 Reactions
4 Replies
123 Views
Wakuu nipo barabarani muda huu, Ama kwa hakika maisha yamebadilika. School buses zipo busy kuchukua wanafunzi. Wazazi wanakwena makazini na watoto wao. This is pure madness, there is no...
15 Reactions
44 Replies
617 Views
Mwandishi wa Habari Mkongwe, Salim Ahmed Salim amesema "Hivi sasa tukubali au tusikubali, tunapelekwa kuwa 'a not talking nation', nchi ya watu mabubu." "Naweza kusema, tena I'm proud kusema...
1 Reactions
1 Replies
212 Views
Ukiangalia mambo yanavyoenda nchini ni shaghala bagala mara bunge la marekani la seneti limesema hivi, mara kuna kiongozi wa chadema katekwa nyumbani mwake, mara polisi wamezunguka ofisi za...
2 Reactions
3 Replies
116 Views
  • Redirect
Baada ya kupatika kwa msaidizi aeleza mwanzo mwisho tukio la kutekwa kwake https://youtu.be/l2v9dsJ_C9E
0 Reactions
Replies
Views
Ni jana jioni baada ya kujisikia vibaya nikaamua niende kupata matibabu kwenye hospitali ya binafsi(Private) ambayo ipo jirani na ninapoishi maeneo ya Mbezi Beach. Daktari aliniandikia dawa na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Dhana ya kwamba vijana walioingia barabarani walilipwa? Sijajua walilipwa kiasi gani mpaka kuingia barabarani kuhatarisha hata Maisha yao kwa maandamano hatarishi kama yale. Lakini pia nani...
1 Reactions
24 Replies
304 Views
Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X: Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka...
4 Reactions
28 Replies
648 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza...
1 Reactions
4 Replies
358 Views
Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Back
Top Bottom