Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Tanzania peace foundation Taifa Godigodi sadick amewataka Watanzania kuwa makini na taasisi zisizo za kiserikali (NG'Os) zinazojivika mwamvuli wa kutetea haki za binadamu kwa kulinda...
0 Reactions
7 Replies
101 Views
My friends ladies and gentlemen, Sasa ni wazi, upekee wa kauli za makamu wa Rais wa Tanzania Dr.Emmanuel John Nchimbi katika masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, umeendelea kua kiungo...
7 Reactions
55 Replies
472 Views
Hotuba ya Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1995 kuelekea uchaguzi Mkuu "Wako viongozi wakishindwa kupata sifa, kupata kura kwa sera, kwa kusimama, 'Wananchi tuchagueni kwa sababu mkishatuchagua...
0 Reactions
2 Replies
60 Views
Chapter 1 The Righteous Shall Live Long: Zambia's Presidential Legacy, Biblical Wisdom, and Tanzania's Democratic Crossroads Abstract The political history of Zambia offers one of Africa's most...
3 Reactions
2 Replies
81 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amedai kuwa jumla ya viongozi 51 wa chama hicho wamekamatwa na Jeshi la Polisi ndani ya siku mbili katika kanda...
1 Reactions
6 Replies
229 Views
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana? Siku zote Tuhuma huwa...
10 Reactions
217 Replies
2K Views
C& p Nchi imepitia mengi hii
4 Reactions
26 Replies
390 Views
Sasa hivi, mitandao ya simu yote imekuwa shida, lakini tatizo kubwa lipo kwa mtandao wa Vodacom, mara simu haziendi, mara message haziendi, mara internet inakuja na kupotea. Wanasema matatizo...
0 Reactions
2 Replies
95 Views
Mwamko wa sasa baada ya kesi za uongo za ugaidi wanazofunguliwa viongozi wa Chadema Unatisha Unaambiwa hela zinamiminika kuliko mvua za elnino Hebu angalia hill fuba lililochangwa hadi sasa...
16 Reactions
53 Replies
777 Views
Enzi zile Polepole akifanya hikihiki tuliambiwa mengi sana, wengine walisema maigizo,wengine walisema ni shujaa tuliyemsubiri muda mrefu lakini hatukumlinda, kwa kuwa Yuda amekuja kuomba msaada...
11 Reactions
30 Replies
550 Views
Wanabodi, Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, Utangulizi: Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa...
8 Reactions
33 Replies
887 Views
Asitutoe kwenye reli, uwajibikaji wa matukio ya utekaji, utesaji, ulawiti, mauaji na kesi za kubumba ulioanzishwa na kuendelezwa hadi leo na vyombo vya dola ni CCM yeye akiwemo Mauaji ya kimbari...
4 Reactions
11 Replies
147 Views
Nikinukuu mada ya mdau Synthesizer (Quote): "Kuna account humu JF zimefunguliwa na watawala kwa ajili ya kutumiwa na group la watu wanaolipwa kwa ajili ya kujibu kukosoa kukejeli nk... Mwanshambwa...
55 Reactions
133 Replies
2K Views
Kipindi cha Magufuli Ujinga huu wa umeme kukatika ilikuwa ni nadra sana, sasa tumerudishwa gizani bila sababu za Msingi, badala ya ku improve baada ya kupata vyanzo bora vya umeme, shida imehamia...
4 Reactions
3 Replies
218 Views
Kaka wa Humphrey Polepole anaiyeitwa Augustino Polepole amejirekodi na kutuma video inayomtaka ZCO Faustine Mafwele ajitokeze hadharani na kuwaeleza watanzania walichomfanya. Ikumbukwe Faustine...
46 Reactions
369 Replies
15K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mpango wa kuandika barua kwa mashirika ya kimataifa Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Ulaya (EU), Marekani (US), Umoja wa Afrika (AU) na...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Bado tunafuatilia! Kila mara nimesikia viongozi mbalimbali wa upinzani, wa chama Dola, waastafu, watu maarufu kwenye media wakizungumza kauli inayofanana na hii: Mtafanyaje mazungumzo wakati...
5 Reactions
50 Replies
583 Views
NGUZO 10 KUU ZA UTAWALA PALE WATIBELI WANAPOTAWALA: KUANZIA NGAZI YA FAMILIA HADI NGAZI YA TAIFA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hakuna cha itakuwaje. Sisi Watibeli tunaongozwa na nguzo kuu nne...
3 Reactions
2 Replies
118 Views
Back
Top Bottom