Kwa jinsi hali ilivyo na upepo wa siasa unavyovuma wasingemfukuza Emanuel Nchimbi Kwa kusema hana nidhamu. Kwanza waliotakiwa kujua siasa ya nchi yetu imekuwa ngumu sana hasa Kwa ccm kuliko...
Wanabodi
leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
Kwa nchi za kiafrika Tanzania haikuwa kwenye kundi la hovyo kiasi hiki. Usalama wetu ulilindwa kistaarabu kabisa na siyo kwa kutisha raia. Sababu kubwa ilikuwa ni uongozi usiokuwa na tamaa ya mali...
Nchimbi yuko wapi msije kua mmemweka kizuizini huyu jamaa tunaomba ujitokeze wananchi wanataka kujua nini kimetokea mpaka umejiuzulu. Je hiyo barua umeandika wewe maswali ni mengi sana tunaomba...
Hongera kwa Deo.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imependekeza na kupitisha jina la Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua...
Kwa nini Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao ?
Kwanini G55 walionekana sana wakosefu kisa kuidai na kuipigania nchi yao ?
Nyerere alikuwa ni nani hasa hapa...
Magufuli alisema tutamkumbuka, nq ni kweli!
Sahivi hata uandike malalamiko hakuna wa kuzingatia wala kujali. Viongozi wa KKKT wana kiburi na dharau itafika watanzania watachoma zile taasisi zao...
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa:
"Tanzania itatawaliwa kidikteta"
Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi...
Nimekaa nikawaza hapa tu lengo la kumvua uanachama Nchimbi ni lipi?
Nikiwa sijapata jibu la swali hilo mara gafla akili ikaniambia rejelea Hadidu rejea za Tume ya Jaji Lila,
wakuu moja ya hadidu...
Kuna wakati taifa linapofika mahali ambapo siasa inakuwa si tena suala la uwezo, uadilifu na historia ya mtu, bali ni suala la nani yuko karibu na nani na nani anaweza kupewa nafasi gani...
Sasa hivi mambo muhimu au matukiomuhimu yanaundiwa Tume.
Tume hizi tumeona hazina connection na wananchi wala haziwajibiki kwa wananchi.
Zinawajibika kwa walioziteua.
TUME ni mpango maalum wa...
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 26, 2026 na M & S Podcast, amesema kuwa taifa...
Mbona kama katiba inakiukwa mchana kweupe?
Ni lini bunge limekaa likampigia kura makamu wa rais mpya likampitisha nasi tukashihudia mchakato mzima?
Halmashauri kuu ya CCM ndio imempitisha na...
Habari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa...
Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.