Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu wa Sheria ya Kuzuia Ugaidi ya 2002, Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi ana WAJIBU wa kutangaza mtu au kikundi chochote cha Ugaidi kwenye GAZETI la Serikali. Chini ya mikataba ya Kimataifa...
4 Reactions
5 Replies
171 Views
Kwa Nini CCM imefika mwisho. Haitavuka 2030. Ongezeko kubwa la wanawake kua wapigania haki wakubwa hapa Tanzania. Ni kawaida wanaume kwa miaka mingi ulimwenguni ndio wamekua wapigania haki kwa...
11 Reactions
28 Replies
472 Views
Rais ni Taasisi yenye Watu Makini, Waliobobea/ Weredi katika Fani zao mbalimbali, nachelea kuelewa kwanini katika zamani hizi bado anakumbatia Mawazo ya kutumia Mavyamq Feki kufanikisha ajenda...
10 Reactions
32 Replies
576 Views
Wanasiasa wa Tanzania (hawa wa upinzani) wameshajijengea dhana ya kuwa watakula ofsini kwahyo hawana mubadala wa kupata Hela nje ya Siasa ndo maana ni vigumu sana kuachia madaraka licha ya kuwa...
2 Reactions
33 Replies
399 Views
Kuna kitu huwa kinanichanganya na kunifikirisha Mtu akiamua kugombea udiwani, ubunge au hata urais, je, huwa anatafuta kazi kama zilivyo kazi nyingine ili apate kipato cha kujihudumia yeye na...
16 Reactions
263 Replies
2K Views
Wanasiasa kumbukeni madaraka hukoma, sasa kama mtawatendea wengine mabaya kipindi cha uongozi wenu, huenda moja kwa moja msione madhara kwa sasa. Ila kesho hao ambao mnawatendea mabaya wakishika...
0 Reactions
2 Replies
54 Views
Kichwa cha habari kinahusika. Ccm hawataki watekaji na wauwaji wajikane. Pia hawataki wahusika hao kuomba MSAMAHA kwa matendo yao. Kule Afrika Kusini, mchakato wa Maridhiano ulihusisha...
12 Reactions
15 Replies
214 Views
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa. Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna...
124 Reactions
303 Replies
29K Views
Wakili Peter Madelekea amesema Tume ya Jaji Lila haina mamlaka kisheria kupeleleza Jinai. Akizungumza katika mahojiano maalum na Crown Media Julai 30, 2029, Wakili Madelekea ameeleza Katiba na...
5 Reactions
26 Replies
485 Views
Matukio yanayoendelea tangu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, Januari mwaka jana,unanipelekea kufanya tafakuri na kuhutimisha kuwa ushindi wa Lissu na Heche, umekuea " game changer" kwa siasa za...
15 Reactions
20 Replies
463 Views
Je, Baraza kuu la chadema taifa linaweza kuziziba nyufa hizo na kuwaleta pamoja wanachadema ambao wamegawanyika na kila upande una mawazo, maoni na mtazamo mseto dhidi ya tuhuma za ufisadi...
2 Reactions
38 Replies
274 Views
Wanabodi, Declaration of Interest: mwanzisha mada ni mwandishi wa habari mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii as active media kwa zaidi ya miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu...
21 Reactions
265 Replies
27K Views
01 Agosti 2026 Tafakuri ya Khalifa Said Kuhusu Hali ya Kisiasa, Uhuru wa Vyombo vya Habari Utawala wa Sheria Nchini Mwandishi tunduizi mwenye fikra huru Khalifa Said ndani ya mahojiano...
8 Reactions
8 Replies
215 Views
Nimekuwa nikipita katika eneo la Mwenge, Dar es Salaam, na nimebaini hali ambayo imenishangaza sana. Kumekuwa na utamaduni wa kurundika taka pembezoni mwa makutano ya barabara kwa muda mrefu bila...
0 Reactions
3 Replies
457 Views
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo. 1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
DI PII PII Hana Nia ya Kuendelea na mchakato Jamaa anakuwa nje next month Yaan ni shujaa kaset standard za upande fulan kwa kuumia yeye! Tutaheshimiana sana Britanicca
76 Reactions
98 Replies
3K Views
Ona huu unyama hao wapinzani waliopitia 1. Maalim seif alinyang'anywa uraisi na zecha .aliteswa sana na CCM machafuko ya 2001 2. Lipumba alipigwa hadi kuvunjwa mkono huko zanzibar 2001 na mhanga...
4 Reactions
7 Replies
238 Views
Mfungulieni Lissu, Acheni blabla. Kumlazimiaha Lissu akubali kufanya Maridhiano akiwa ndani ya Kuta za MAGEREZA ndipo atoke jel, ni sawa na kumlazimisha mtu kusaini nyaraka akiwa amewekewa mtutu...
9 Reactions
26 Replies
321 Views
Aachiwe huru mara moja na kisha akamatwe tena hapo hapo baada ya kesi kufunguliwa upya, ili hatimae ushahidi mpya utumike katika kumtia hatiani na apewa haki anayostahili kama watuhumiwa wa uhaini...
-1 Reactions
153 Replies
1K Views
Kuna Tetesi wagombea wote wa Ubunge na Udiwani kutoka vyama vyote vya Siasa watafanyiwa vetting ya kimya kimya na “ vyombo “ Ikumbukwe kwenye mgogoro wa kuwazuia akina Martha Karua pale JNIA...
39 Reactions
110 Replies
8K Views
Back
Top Bottom