My Take
Nakubaliana kabisa na huu utafiti na ndio sababu Wanaume Wengi wa Tanzania wameishia kuwa walevi,kulelewa na hao wanawake na kupoteza uelekeo na Heshima ya uanaume.
Hongera sana wanawake...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema wakati maandamano yakiendelea Oktoba 29, Boni Yai pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Amani...
Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari - makao Makuu Dodoma amesema kuna watu wanatumia video za matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi...
Waswahili wana msemo wao kwamba usione vyaelea ujue vimeundwa
Ukweli ni kwamba nakereka sana kuona uongozi wa nchi yetu uko bize kupiga picha na Drogba raia wa ivory.
Ni lini na sisi...
Huu ni wendawazimu....umawezaje kuendelea kuwa mkuu wa Muhimili usioweza kujisimamia mbele ya mhimili mwingine? Kesi ya Lissu ni mfano halisi wa kushindwa kwako kama Jaji Mkuu wa Tanzania...
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi...
Samia Suluhu ni dikteta mbaya sana mwenye damu za watu mikononi mwake, tunafurahi kwamba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inaendelea kumbana taratibu
Hili linalojadiliwa na vyombo vya habari vya nje mfano hii FM Radio 47 linatufedhehesha sana.
Tuna kundi kubwa sana la wabunge "machawa" na hawaelewi lugha zinazoruhusiwa bungeni mfano English...
Alianza kama utani ila kwa ilipofikia hali ni mbaya. Ni kama watu wamehalalisha kutukana hili tusi linalopendwa sana na Sugu ambaye pia ni mnufaika wa michango huko CHADEMA. Ilikuwa kila akiandika...
Hamjambo!
1. Kwanza mkono Mtupu Haulambwi, hao ni wahenga.
2. Mwenye nacho huongezewa, asiye nacho hata kile kidogo anaachodhani anacho hunyang'anywa huyo ni Yesu mnazareth
3. Usiende kwa Mungu...
Katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Tabata Magengeni, ilifanyika ibada ya kuuaga mwili wa marehemu James Rogers Temba, ambao ulipatikana ukielea katika Mto Msimbazi...
“Tunajiita tuna uhuru wa habari, lakini tuna tatizo linaloitwa ‘media oga’, yaani media zetu ni waoga. Ni waoga kutangaza jambo wanapohisi kwamba serikali haitafurahia. Kwa maana hiyo, karibu...
Kipindi Makonda akiwa Rc Arusha alitoa ushauri kwa polisi wa usalama barabarani kupunguza usumbufu kwa wenye vyombo vya moto
Kitendo kilicho saidia hata kupunguza foleni barabarani.
Nita jaribu...
Wakati akiendelea kutoa tathmini yake kuhusu yaliyotokea Oktoba 29, Mwandishi wa Habari mkongwe Pascal Mayalla amesema kuwa katika tangazo la katazo la kutoka nje, lilipaswa kuwaeleza Watanzania...
Vita ya marekani na Irani imepelekea bei za mafuta kupanda duniani,
Kupanda kwa mafuta kumesabisha kupanda kwa nauli kwenye kila aina ya usafirishaji kitu ambacho kimesababisha ukali wa maisha...
Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly, akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/27, amelitaka Bunge kukataa...
Tume ilichambua nia, mikakati na malengo ya waliopanga na kutekeleza ghasia. Ilitofautisha vitendo vya ghafla na vile vilivyopangwa kwa makusudi ili kufikia matokeo ya kisiasa au kijamii. Ushahidi...
Wakuu,
Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025...
Wabunge wa Viti Maalum hawajui kazi zao, hawajui miongozi, hawajui kanuni lakini hawajui maana ya Bunge na wamekuwa wakuzungumzia maisha yao binafsi wakitaka kuaminisha ni tatizo la kitaifa na...
Jaji mkuu mstaafu wa Kenya, David Maraga ameandika katika ukurasa wake wa X akieleza masikitiko yake kwa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Mei 4 wakati akimpokea Rais wa Kenya, William...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.