Pale Madagasca Bwana Rajolina alichaguliwa, akaapa, akateua Waziri Mkuu na baraza lake la mawaziri.
Kabla hata mwaka haujaisha akafukuza Waziri Mkuu wake na kuteua mwanajeshi kuwa Waziri Mkuu...
Maisha bhana! Leo Tulia Ackson ni wa kujificha kweli!
Hakuna hafla yoyote ya enzi za Uspika wake hakuhudhuria, hata za uzinduzi wa mwenge hakuwahi kukosa, Alikuwa kinara wa matamasha ya kijinga...
Siungi mkono na sijawahi kuipenda CCM..
Lakini yapo machache ya kujifunza toka kwao...
Wanailinda taasisi yao kwa nguvu sana bila kujali kwa kufanya hivyo wanakuwa sahihi au la...
Wamekula...
Ukiangalia sura za Viongozi na wafanya Maamuzi,utadhani ni wacha Mungu na wenye kutanguliza watu wengine na utu! Kumbe ni Manyang'au
Mtu amewaachia Mavyeo,mna haja gani kuendeleza ajenda...
Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, akizungumza leo Julai 23, 2026 katika Mkutano wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) unaofanyika Jijini Dar es Salaam...
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa na Jamii, Dkt. Faraja Kristomus, ameeleza kuwa taarifa ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi alikiuka utaratibu wa kiofisi kwa kuamua kuweka wazi...
Ndugu Nchimbi kwanza nikupe pongezi nyingi kwa kuondoka kifungoni.
Awali nilitangaza humu kwamba ningefungua masikio yangu yote nisikilize uliyokuwa ukiyaseama baada ya maneno uliyosema kuhusu...
Wakuu bila shaka mko poa,
Nimeleta Uzi huu baada ya kuona Kwa jicho la ndani kuwa CCM mpaka sasa haipo na hakuna anayetaka kujua habari zao ukiacha nguruwe na wapigwa miti, so ni katika muktadha...
Mtangazaji na mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Wasafi Media, Charles William, ameeleza kuwa hali ya shinikizo inayomkabili Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, haina...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais Samia ni Mshindi katika Vita hii ya kulilinda Taifa letu dhidi ya maadui zetu. Rais Samia ameibuka kidedea kwa mara nyingine tena kama ilivyo kawaida yake...
KATIBU MKUU WA CCM DKT. ASHA-ROSE MIGIRO KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa...
CCM wa siku hizi hawana akili kabisa.
Eti walishinda uchaguzi kwa 98% na kupata kura milioni 31 kati ya milioni 32 [jambo ambalo ni la uongo] zilizopigwa!
Hata mwaka haujapita, wameshaanza...
CCM na wafuasi wake hasa wafuasi mkumbo, tangulizeni taifa kwanza kwa manufaa ya vizazi vyenu huko mbeleni , chama chenu kwa sasa si kwa manufaa ya taifa wala wananchi wake eleweni hilo.
Kung'atuka kwa Nchimbi ni taswira ya mashindano na mapambano ya mageuzi ndani ya CCM, ambapo ni dhahiri wananchi na CHADEMA wanaungwa mkono na kundi la vigogo ndani ya CCM wenye kiu ya mabadiliko...
Katika hizi teuzi za nafasi kubwa serikalini ni vizuri kuteua watu ambao umri umeenda kidogo ili kulipungizia Taifa gharama ya kuhudumia Wastaafu kwa miaka mingi ijayo.
Mtu kama Ndejembi akiwa...
Makamu wa rais aliyelazimika kujiuzulu akadai kajiuliza mwenyewe Emaruel Nchimbi,
Japo umeondoka kimya kimya, umeacha kelele kila mahari.
Japo, umesema kuwa umeachia ngazi na si kuachiswa...
Eti Ndejembi ndiye kapendekezwa! Heri hiyo nafasi ingebaki wazi au kupewa Abduli kama siyo Wanuu au Mchengerwa.
Tumefikishwa hapa? Natamani huyu awe mzanzibari wa mwisho kuwa rais wetu.
Inauma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.