Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mnajua Maji ya shingo? Au ile tunasema Kupumulia mashine ? Hiyo ndio Hali ya CCM ilivyo kwa sasa. CCM kwa sasa ímeichafua NCHI kwa Matendo yake, Dunia yote inawamulika CCM. Hamjui Kuna wàna CCM...
3 Reactions
5 Replies
117 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amerejea salama salimini Kabisa Nchini Mwetu. Ambapo Rais wetu...
2 Reactions
21 Replies
333 Views
Mkutano wa Leo wa Mh LEMA pale Arusha, Ni kama anawapa CCM ukubalifu, yaan ni kama Anakubali Serikali ya CCM, na Kuona kwamba kuruhusiwa kwa mikutano hiii ni kama Jambo jema la CCM kwa Vyama vya...
15 Reactions
20 Replies
398 Views
Siku chache nilipomuonya LEMA aache Siasa za kuhalalisha Serikali ya CCM. Sista Nyahozi anakuja kusema 'Mbona LEMA Kaongea vizuri tu , Mbona Bon Yai Kaongea vizuri " na sijaongea neno. Ila...
0 Reactions
2 Replies
97 Views
Wakuu, Baada ya wananchi kuwakataa waandishi wa habari sasa relikali inakuja na mbinu ya kuwarudisha wakongwe ili kurudisha imani na kuendeleza uchawa? Miaka tu ya wao kuwa kazini inatosha wao...
2 Reactions
4 Replies
194 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Pwani kimesema kasoro zilizobainishwa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zimekuwa zikikwamisha maendeleo ya...
1 Reactions
2 Replies
100 Views
https://youtu.be/0niFxKMdOSI?si=AQnb1lDVaELvbk05 ANASEMA: Nchi hii si mara ya kwanza kushuhudia ukatili na mauaji ya watu (raia) wasio na hatia uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya...
3 Reactions
11 Replies
204 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni...
25 Reactions
174 Replies
13K Views
Halafu kuna watu wanamsikiliza kama Askofu, mchungaji! Tuna tatizo kubwa sana kwetu! Ukiona vipi jinyamazie ETI : RIPOTI YA CHANDE IMELIPONYA TAIFA
8 Reactions
29 Replies
547 Views
Kuna Movie inachezwa na "Mfumo" kuhakikisha wananipa Nguvu Ripoti Uchwara ya CHANDE !!. Watanzania Shtukeni !!.
8 Reactions
11 Replies
282 Views
Wanabodi, Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo la kuchanganya Lugha JF ilipoanzishwa, it was meant to be an online user generated social forum, mtu una post chochote, kwa lugha yoyote ya...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko...
5 Reactions
78 Replies
1K Views
Simanzi na maswali mazito vimetanda katika familia ya mfanyabiashara Sifaeli Mollel baada ya mwili wake kukutwa ukiwa umeharibika ndani ya nyumba inayodaiwa kutumiwa na mganga wa jadi katika eneo...
4 Reactions
32 Replies
577 Views
Mbunge Nape Nnauye amesema; "Tulikodi uwanja wiki nzima ili Chadema wasifanye kampeni, Kikwete akatuzuia" kupitia mahojiano yake na M&SPodcast inayongozwa na Omar Kashera pamoja na Salma Dacotha...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Na George Michael Uledi Mei 11, 2026 Hivi karibuni, Rais William Ruto wa Kenya alitoa kauli iliyozua mjadala mzito baada ya kutangaza kuwa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi cha...
3 Reactions
14 Replies
647 Views
  • Poll Poll
Usuli Shindano la stories of change lilianzishwa na JamiiForums mnamo mwaka wa 2021 na kufanyika mfululizo kila mwaka hadi mwaka 2024. Katika hali isiyotarajiwa na wanachama wote wa JF, mwaka wa...
1 Reactions
11 Replies
169 Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo ngazi ya Taifa, Othman Masoud Othman, amesema kuwa kile kilichofanyika nchini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 haikuwa uchaguzi, bali ilikuwa ni "upangaji...
6 Reactions
17 Replies
255 Views
  • Featured
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaomba Tsh Bilioni 525,327,857,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Pia soma Didier Drogba atinga bungeni...
3 Reactions
10 Replies
950 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali...
7 Reactions
53 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Inasikitisha sana kuona Mtu ambaye Alikuwa ni Waziri Mkuu na Mwanasheria tena Kufikia Ngazi ya Ujaji anaweza kutoka Hadharani akaongea vitu utafikiri mtu ambaye ametoka...
-2 Reactions
118 Replies
1K Views
Back
Top Bottom