Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 763
- 683
👉John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya. Mtu akiwa mbaya angewamalizia Heche na ndugu yake India wakati wa matibabu yao.
👉Heche na familia yake wanaendelea kupata matibabu huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni wapambanaji, ila wanatibiwa India kwa gharama za mtu wanayemuaminisha kwa Watanzania kuwa ni adui.
👉Je inawezekanaje mtu anayesemwa kuwa adui akawa sehemu ya msaada wa matibabu, huku hadharani John Heche akiendelea kutajwa kama mpinzani?✍️
👉Heche na familia yake wanaendelea kupata matibabu huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni wapambanaji, ila wanatibiwa India kwa gharama za mtu wanayemuaminisha kwa Watanzania kuwa ni adui.
👉Je inawezekanaje mtu anayesemwa kuwa adui akawa sehemu ya msaada wa matibabu, huku hadharani John Heche akiendelea kutajwa kama mpinzani?✍️