Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---
Waziri wa Fedha...
UTANGULIZI:
Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni...
Nimekuwa nafuatilia mijadala na vikao mbalimbali vya bunge letu hata wawapo majimboni hawatetei nchi wala wananchi ambao kimsingi wanawawakilisha. Muda wote wanamsifia mama Samia. Wote ni chawa...
Wanabodi,
Sisi Wana mitandao tumeshauriwa kuitumia mitandao kulisaidia taifa letu kuendelea, hivyo huu ni ushauri wangu.
Ili Tanzania tuendelee kwa kupata maendeleo ya kweli, na sio maendeleo...
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wananchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62
Ongezeko la...
Nimekuwa nafuatilia mijadala na vikao mbalimbali vya bunge letu hata wawapo majimboni hawatetei nchi wala wananchi ambao kimsingi wanawawakilisha. Muda wote wanamsifia mama Samia. Wote ni chawa...
Nimefuatilia Uwasilishwaji wa Bajeti kuu ya Serikali 2023/2024. Hongera Mh. @mwigulunchemba na timu yako, ila nina jambo ambalo ningependa kupongeza na kushauri ili liboreshwe zaidi.
Ninapongeza...
Kizazi cha sasa hakijui Tanganyika ilifananaje zaidi ya kuisoma tu kwenye makaratasi
Unarejeshaje kitu usichokijua, hapo ndio kwenye tatizo
Mlale unono!
Ipo mikataba mibovu tuliyofanya tangu uhuru kwa matarajio ya tija kubwa kwa wananchi ambayo baafa ya muda mfupi mambo yakawa tofauti na hatuna cha kufanya,
1. TAZARA
Pamoja na umuhimu wake katika...
Nikitazama utendaji kazi na mipango ya SSH naona napata mawenge 😂😂😂 ni kama anakuja kisha anakataa, kama anafunga kisha anapaisha, kama anatoa pasi ila ghafla unamuona kwenye kibendera...
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini.
Mfano mzuri unaoonyesha bajeti...
Spika mstaafu mh Job Ndugai amemweleza Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongollo kwamba Kongwa ndipo waliishi Walihamia Uhuru wa Afrika na baadae wakaenda Mazimbu.
Ndugai amesema wapigania Uhuru...
Kushindwa kwa mambo mengi chanzo kikuu ambacho huwa hakisemwi, ni Serikali.
Serikali ndiye alitetengeneza muundo wa hayo mashirika, na ukiuangalia muundo wenyewe siyo wa kutengeneza faida bali wa...
Nimefurahi sana kusikia NEMC wameanza kuwashughulikia wapiga kelele wanaosababisha zogo mtaani na kuwafanya raia wengine wakose raha na utulivu. Kipekee kabisa naomba NEMC wamulike zaidi makanisa...
MBUNGE TAUHIDA NYIMBO - TUFIKIE WAKATI MTU KUTOKA BARA AENDE KUWA RAIS ZANZIBAR
"Ufike wakati tutamani kuona mtu kutoka bara na kwenda kuwa Rais wa Zanzibar tuipelekeni Tanzania huko itikadi za...
Nawasalimu JF!
Ninamfananisha Mbowe wa CHADEMA na Nyerere wa TANU/CCM
Mbowe na Nyerere: Hawakuanzisha vyama walivyoviongoza kwa mafanikio
Mbowe na Nyerere: Wamekuwa na maamuzi ya mwisho juu ya...
Mkutano wa chadema Tunduma umeingia doa baada ya wananchi wengi kugoma kuhudhuria. Nipo hapa Tunduma watu Ni wachache sana, nimebahatika kuzungumza na wananchi wanasema wapo busy na maisha.
Hii...
Leo Rais wa Zanzibar ametembelea maduka ya wauzaji wa nafaka pemba na kuona bei ya vyakula havipandi na kuwa mzigo kwa mlaji
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku uuzaji wa vyakula...
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.