65% ya Bajeti itahudumia Madeni

65% ya Bajeti itahudumia Madeni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,413
Reaction score
283,625
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema asilimia 65.7 ya bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/24 itatumika kuhudumia deni la Serikali pindi linapoiva

Wizara hiyo imeomba shilingi trilioni 15.94 ambapo jumla ya shilingi trilioni 10.48 zitatumika kulipa deni hilo

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
 
Kuna mambo mabaya sana yanatendeka halafu raia wamebweteka tu utadhani mazuzu !
FB_IMG_1686162083680.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
mimi sikubaliani na bwana waziri kuhusu jambo hili. Nchemba, uliona wapi duniani watu wanatoa 65% ya bajeti kulipa madeni. mbona muna tupotosha?.
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
Bora hata ilipe madeni, heshima kwa taifa.

Sema itapigwa na wahuni. Miradi itadai kuongezewa pesa.
 
Kwa hiyo tumebakiwa na 35% tu yakujiletea maendeleo, kwasababu hiyo mikopo ya kila siku tunayokopa inaonekana kazi yake ni kulipa mikopo mingine iliyoiva, tumepoteza mwelekeo kwa kiasi kikubwa sana.
 
Mimi niliacha kufuatilia na KUUMIZA KICHWA na mambo ya siasa.

Kiukweli kabisa nchi YETU ni masikini mno, masikini sana.

AKILI ZA VIONGOZI.
UTASHI.
VICHWANI NI MBUMBUMBU MNO.

Badget hizi hazina uhalisia kabisa. Hata nusu ya Fedha haipelekwi kwenye hizo wizara.

UMASIKINI ULIOTOPEA.
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema asilimia 65.7 ya bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/24 itatumika kuhudumia deni la Serikali pindi linapoiva

Wizara hiyo imeomba shilingi trilioni 15.94 ambapo jumla ya shilingi trilioni 10.48 zitatumika kulipa deni hilo

Chanzo: EATV

Toa maoni yako

Duuh! Kuwa mzalendo ni jambo jingine aise
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema asilimia 65.7 ya bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/24 itatumika kuhudumia deni la Serikali pindi linapoiva

Wizara hiyo imeomba shilingi trilioni 15.94 ambapo jumla ya shilingi trilioni 10.48 zitatumika kulipa deni hilo

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
Uzuri madeni yaliyokopwa na JPM yote yalifanya mambo yanayoonekana
 
Back
Top Bottom