johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Spika mstaafu mh Job Ndugai amemweleza Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongollo kwamba Kongwa ndipo waliishi Walihamia Uhuru wa Afrika na baadae wakaenda Mazimbu.
Ndugai amesema wapigania Uhuru walijifunza kwa mtutu wa Bunduki na vyuma vilirindima hapo Kongwa na walipoiva walienda KUZIKOMBOA Nchi zao.
Komredi Chongolo ameagiza Wizara ya Utamaduni kukifanyia matengenezo kituo cha Wapigania Uhuru Kongwa
Chanzo: Mwananchi
Ndugai amesema wapigania Uhuru walijifunza kwa mtutu wa Bunduki na vyuma vilirindima hapo Kongwa na walipoiva walienda KUZIKOMBOA Nchi zao.
Komredi Chongolo ameagiza Wizara ya Utamaduni kukifanyia matengenezo kituo cha Wapigania Uhuru Kongwa
Chanzo: Mwananchi