Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
10 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa mwana CCM na jamii pitia sura ya Pili Ibara ya 59 b ya Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ili kujua nini ni ahadi ya CCM kwa bandari ya Dar es Salaam na bandari nyinginezo. KWA HISANI...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Huyo DP World ni gwiji sana wa bandari kavu. Huko Rwanda kawafanyia maajabu hadi inasemekana wamezipita baadhi ya bandari maji barani Afrika. Mpeni exclusive ownership za bandari kavu zetu zote...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Siyo kesho tena bali tuanze sasa! Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo. Huo msiba...
15 Reactions
60 Replies
4K Views
Mithali 29:7-8 7: Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue 8: Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Wasoma uzi huu najua wengine watadhani nimepata uchizi kwa sababu wazo la mtu asiye kitu halithaminiwi. Mwanzo wa kupatikana kwake (Samia) na kufika nafasi alilipo mimi naiita ni miujia mitupu...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Naona kama hesabu zikikosewa kwenye hili swala likatosha kabisa kumuondolea Rais Samia Suluhu Hassan uhalali wa kuiongoza hii nchi. Wabunge wote watakaojitoa kupinga swala hili hususan wa CCM...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Naibu Spika akiongea katika hafla ya kuwaapisha mawaziri, manaibu na viongozi wengine, amewapongeza wote walioteuliwa na kuwashauri wameteuliwa kufanya kazi za Rais nao wao wanamsaidia hivyo...
11 Reactions
218 Replies
18K Views
DP, ni kampuni inayomilikiwa na serikali ya Dubai! Wakati sisi serikali yetu ikituaminisha kwamba, ni ujinga kwa serikali kujihusisha na biashara na wakati huohuo inaipa kampuni ya DP bandari...
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Mh Rais kijana Ezra Chiwelesa mbunge wa biharamulo ni msomi mzuri na mwenye vision kubwa na mabadiliko unayoyafanya ya kiuchumi na kidemokrasia hapa nchini . Katika bunge linaloendelea alikuja na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mchungaji huyu mwenye upako Kama yule Mackenzie wa Kenya anayelaza wagonjwa zaidi ya miambili kwa gharama za elfu sitini akiwa na wagonjwa mahtuti waliotoroka mahospitalini amekamatwa na kanisa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC). Rais Samia...
14 Reactions
275 Replies
14K Views
Spika anasema wacheni kupotosha: -- Spika wa Bunge, Dr Tulia Ackson ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizosambaa zikidai kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari limesharidhia...
13 Reactions
187 Replies
15K Views
Ndugu zangu kwa vigezo vya privatization tuliuza kila kitu baadae tukaona tumekosea tukavichukua Vyote. Hakuna mwarabu wala Mzungu atakuja kuwekeza kwa manufaa ya mwafrika kila sehemu ya Afrika...
1 Reactions
2 Replies
479 Views
Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais. Pili ni mtu asiyeamini katika kazi...
13 Reactions
95 Replies
6K Views
Tulia Ackson ni mtu ambaye hakuhitaji katiba mpya na alilisimamia hili vizuri Bungeni wakati wa maoni ya rasimu ya warioba na ndio akapata umaarufu uliomsababisha kuteuliwa naibu mwana sheria mkuu...
21 Reactions
45 Replies
3K Views
Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe. Anasema, “kwa mujibu...
48 Reactions
132 Replies
8K Views
Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo...
8 Reactions
78 Replies
9K Views
Tunatoa sana ushauri humu JF na wakati mwingine tunaonekana kama wavurugaji waliotumwa na wapinzani au watu tusiokuwa na uzalendo na taifa letu, mwisho wa siku ushauri inapuuzwa na kumsikia mama...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Sijui kama ni unafiki, ulaghai, akili kidogo au tamaa, ambavyo huweza kumfanya mtu kuwa mtumwa wa ujinga. Hivi karibuni, Naibu Spika Tulia, mbele ya Rais wakati Rais akiwaapisha mawaziri...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom