Hotuba na maelekezo ya Mbowe yamebaki kuwa mchango pekee ulio wa wazi katika suala la bandari. Hakuna kiongozi yeyote wa chama chochote au Mbunge ambaye amefafanua kwa hoja issue ya mkataba na DP...
Kifungu 8 - Haki za Ardhi
"Serikali ya Tanzania itachukua hatua zote muhimu kuhakikisha upatikanaji na utoaji wa haki kwa DPW au Kampuni Husika..." kwa kiingereza “The Government of Tanzania...
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali kwa hili jambo la bandari. Maendeleo yanahitaji maamuzi ya kijasiri na siyo kusikiliza kelele za watu wasiojielewa.
Baada ya mwanzo huo niende moja kwa moja...
Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Mbowe ameonesha na kuthibitisha kuwa sasa yeye ni mlamba asali ya Ikulu aliyekubuhu.
Hili limethibitika hivi karibuni alipojaribu kujadili sakata la bandari ambapo...
Mbona mnahamisha hoja za mjadala juu ya huo mkataba mnajadili kauli ya Mbowe? Huo mkataba utajadiliwa kwa kina kweli?
Tafadhali jadilini mkataba, acheni sifa kwa watu huu si muda wake. Tunataka...
Mbunge Aeshi awaonya mawaziri, ‘alilia’ meli Ziwa Tanganyika
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MBUNGE wa Sumbawanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aeshi Hilaly amewaomba mawaziri kutokutumia...
Tumetukanwa mno na Kudhihakiwa sana hapa JamiiForums kwakuwa tu akina GENTAMYCINE walipenda aina ya Utawala (Uongozi) wa Hayati Magufuli.
Nakiri kama Binadamu Hayati Magufuli nae alikuwa na...
Kifungu 6 - Idhini na Kibali cha Serikali Husika
"Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa Kampuni Husika ya Mradi inapewa idhini zote muhimu za kiserikali, kibali..."
Mapendekezo: Kuondoa neno...
Balozi Mstaafu Dr Slaa amesema Spika Tulia ameamua tu kuwahifadhi bungeni Akina Halima Mdee na wenzake 18 lakini kiukweli Kesi yao haihusiani kabisa na Wao kuwepo bungeni.
Dr Slaa amesema ile...
Nafuatilia Kwa umakini mkubwa bunge, nimepata utata wa utofauti wa maneno haya MKATABA, AGREEMENT na Makubaliano, halafu hili la bandari yetu ni Mkataba, Agreement au Makubaliano? mana wabunge...
Ansbert Ngurumo amesema kauli ya Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson, kuwaambia vijana wa-CCM kuunyooka na kushughulika na watu wanaomsema vibaya Rais na viongozi wa CCM, haina tofauti na...
Bahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Ndg zangu Watanganyika bila kuwasalimia ninakumbuka kuwa ACT wazalendo na Chadema wametoa msimamo wao kuwa bandari yetu Isiuzwe kwa warabu au wajomba wa Samia huko Oman.
Je, ni nini msimamo wa...
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.
Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda...
Spika anawapanga wahuni wa kuunga mkono hoja Kwa asilimia mia, watu ambao ana hofu nao hatoi nafasi akiamini ataongea ukweli, luhaga mpina kaomba nafasi ya kuongea bungeni atoe mawazo yake ya...
Anaongea as if watanzania wote tu wajinga na tusioelewa kinachojiri!
Kwa mantiki hiyo....leo hakuna cha mjadala wala nini,bali ni Rubber Stamping tupu!
Wamekwisha amua...na ni kama vile mihimili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.