Ufike Wakati Tutamani Kuona Mtu Kutoka Bara na kwenda kuwa Rais wa Zanzibar

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944
MBUNGE TAUHIDA NYIMBO - TUFIKIE WAKATI MTU KUTOKA BARA AENDE KUWA RAIS ZANZIBAR

"Ufike wakati tutamani kuona mtu kutoka bara na kwenda kuwa Rais wa Zanzibar tuipelekeni Tanzania huko itikadi za kisiasa tusiivunje Tanzania kwani upande wetu ndiyo umoja wetu" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Maamuzi yanayotolewa ni kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu, haiwezekani zaidi ya wabunge 300 tuone kitu kinachofanyika ni cha hovyo na tukakiridhia hicho kitu hakiwezekani abadani" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Makubaliano haya hayana chembe ya shaka, Watanzania ifike wakati tuamke tujue hizi kelele zinatoka wapi, hakuna vita kubwa kubwa duniani kama ya vita vya uchumi" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Kuna maeneo na vipengele vilikuwa na vihisia kwamba haviko sawa lakini niwatake Watanzania waondoe hofu serikali yao iko makini na viongozi wao wako makini ripoti zote zimepitiwa" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi.

44855580-24f6-4c21-ae06-c02c3d0a5dfe-1024x683.jpg
 
Bado muungano wetu ni mchanga, just be patient comrade. Raisi wa Zanzibar ataweza toka Tanzania mainland may be in next century, pale to tukiwa matured enough wenye high political tolerance.
 
MBUNGE TAUHIDA NYIMBO - TUFIKIE WAKATI MTU KUTOKA BARA AENDE KUWA RAIS ZANZIBAR

"Ufike wakati tutamani kuona mtu kutoka bara na kwenda kuwa Rais wa Zanzibar tuipelekeni Tanzania huko itikadi za kisiasa tusiivunje Tanzania kwani upande wetu ndiyo umoja wetu" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Maamuzi yanayotolewa ni kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu, haiwezekani zaidi ya wabunge 300 tuone kitu kinachofanyika ni cha hovyo na tukakiridhia hicho kitu hakiwezekani abadani" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Makubaliano haya hayana chembe ya shaka, Watanzania ifike wakati tuamke tujue hizi kelele zinatoka wapi, hakuna vita kubwa kubwa duniani kama ya vita vya uchumi" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi

"Kuna maeneo na vipengele vilikuwa na vihisia kwamba haviko sawa lakini niwatake Watanzania waondoe hofu serikali yao iko makini na viongozi wao wako makini ripoti zote zimepitiwa" - Mhe. Tauhida Cassian Gallos, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi.

View attachment 2658605
Yeye hadi kuwa na huo ubunge alitokea namtumbo? Au ni wale wazaliwa wahamiaji kama ilivyo Kwa kina Bashiiii?
 
Tawhida kasema bungeni yeye baba katoka Songea na mama Mzaramo.
Huyo ni mzaliwa wa Zanzibar. Bila kitambulisho Cha ukaazi ,huwezi kupata nafasi ya kugombea uongozi Kwa ngazi yeyote,na hivyo vitambulisho ni Kwa wazanzbari tu.ifahamike hivyo.
 
Back
Top Bottom