Mpembuzi Makini
Member
- May 12, 2023
- 11
- 2
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI).
Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro. Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.
Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi.
Dkt. Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo. Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dkt. Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.
Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma. Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.
KWA HERI DKT MKAMILO: RAIS SAMIA TEUA MKUGENZI MPYA WA TARI
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI). Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro.
Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.
Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI.
Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi. Dr Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo.
Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dr Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.
Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma.
Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.
Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro. Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.
Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi.
Dkt. Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo. Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dkt. Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.
Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma. Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.
KWA HERI DKT MKAMILO: RAIS SAMIA TEUA MKUGENZI MPYA WA TARI
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI). Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro.
Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.
Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI.
Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi. Dr Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo.
Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dr Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.
Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma.
Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.