Wabunge tumieni pesa yenu vizuri, wengi hamtorudi msimu ujao

Wimbo

JF-Expert Member
Oct 23, 2012
783
525
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wananchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62

Ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura.

Na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imarisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. Na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wanaNchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62, ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura. na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imalisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
80% hawatarudiiiii.......tupo tumekaa palee
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wanaNchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62, ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura. na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imalisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
WATARUDI WOTE KAMA WALIVYOINGIA 2020 KWANI AWAMU NI ILE ILE
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wanaNchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62, ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura. na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imalisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
Ukweli wanajua kuwa wengi walipitushwa kibabe... Sio chaguo.. Na machaguo yetu tumewatunza tunahesabu Siku, na jinsi walivyojisahau... Badala wasimame imara wajenge majina labda watafikiriwa.. Wamekuwa ma chawa tu... Yaani 2025 kama hujajiandaa kuexit... Subiri a ufe na msongo. Wa mawazo... Sisi hatutahongeka kamwe.. Kama mbaya iwe mbaya!
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wananchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62

Ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura.

Na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imarisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. Na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
Upo sahihi sana mkuu, maana wabunge wengi sana walipita kwa nguvu ya mwenda zake, sasa yule mtu hayupo tuone itakuwaje

Halafu baada wabadilike warudishe iman kwa waliowapigia kura wao ndio kwanza wanazid kuwa vilaza mjengon

Hiv kwel mbunge kwenye akil anaweza kukubal bandar ibinafsishwe?

Tukutane 2025
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wananchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62

Ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura.

Na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imarisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. Na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
CC:
1. Jimbo la Ilala
2. Jimbo la Hai
3. Jimbo la mbeya Mjini
4. Jimbo la Geita vijijini
5. Jimbo la Mtama
6. Jimbo la Moshi Mjini
7. Jimbo la Ubungo
8. Jimbo la Siha
9. Jimbo la arusha mjini
10. Jimbo la Babati Mjini
11. Jimbo la Karatu
12. Jimbo la Ngorongoro
13. Jimbo la same mashariki
14. Jimbo la kongwa
15. ——
 
Kwamba pamoja Na kupitisha DP Project kwa kuzingatia uchaguzi ujao wasijewakakatwa napo kumbe haisaidii?

Bongo noma!
 
Hali niionayo sasa na ajenda za uchaguzi zinazozidi kuzaliwa, hasira ya wananchi ninayoiona kwa mabo mengi mchanganyiko, kuchoka kwa walio wengi kuona mambo yaleyale kwa miaka 62

Ongezeko la unemployment inayoongezeka, utumwa unaoongezeka wa walionacho na wasionacho, uongozi usiolidhisha wa baadhi ya watu wanaomsaidia Mama wa Taifa, wabunge wengi hamna mvuto wa kuwashawishi wapiga kura.

Na kwa vile wengi mliingia kimagumashi na nguvu ya kuwalinda itatindika, nawashauri tumieni posho zenu vizuri, imarisheni miradi yenu na punguzeni kujiona miungu watu tutabanana muda usio mrefu Mwaka mmoja tu umebaki. Na kwa kulinda heshima ya utumishi wenu anzeni kutamka hukohuko kustaafu kwenu . msiseme hamkuambiwa !!!!
Unawatisha au, 🤔 kwani babu yao hayupo,kwani mara ya mwisho waliingiaje😂😂😂
 
CC:
1. Jimbo la Ilala
2. Jimbo la Hai
3. Jimbo la mbeya Mjini
4. Jimbo la Geita vijijini
5. Jimbo la Mtama
6. Jimbo la Moshi Mjini
7. Jimbo la Ubungo
8. Jimbo la Siha
9. Jimbo la arusha mjini
10. Jimbo la Babati Mjini
11. Jimbo la Karatu
12. Jimbo la Ngorongoro
13. Jimbo la same mashariki
14. Jimbo la kongwa
15. ——
Tume ya uchaguzi na vyombo vya ulinzi ni vya kwetu CCM. Tutafanya kama tulichofanya 2020.
 
Kwa uhakika zaidi Waitara, Kitila Mkumbo, Mrisho, Gwajima, Tulia na Sanga hawatarudi 2025. Labda wafu wafufuke.
Kwa Tume gani? Kwani hao wabunge waliopo Bungeni mliwachagua nyie wananchi? Au walipitishwa tu?
 
Back
Top Bottom