Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pascal Mayalla anasema Tukubali kusaidiwa pale ambapo hatuwezi lolote Ndio nimekumbuka hawa Kunguru kutoka Malaya wanavyotusaidia kusafisha jiji huku mitaani Kiukweli Watanzania ni Watu Wavivu...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Mimi naamini kuwa, Nchi yetu imefika hapa ilipo kutokana na viongozi wetu wa Dini kujisahau kidogo kutimiza majukumu yao vizuri kwa waamini wao. Viongozi wa Dini tumehubiri sana Amani, Utulivu na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa Kesho 19 6 2023 atakuwa na mkutano na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Nawatakia Dominica Njema!
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wa marehemu aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es salaam, Dkt. Didas Masaburi wamepanga kumburuza mahakamani binti wa marehemu Juliana Masaburi kwa kile kilichodaiwa kupanga njama ya kuwadhulumu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
======= "Wakati wa Maandamano ya amani, Vyombo vya dola vikivunja haki za binadamu kwa namna yoyote hatua za kisheria zitachukiliwa dhidi yao! Iwapo waandamanaji watafikishwa kwenye vyombo vya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna andiko la Mh Zitto zuberi kamwe hakika limenifanya nitafakari mengi sana dhidi ya mkoa wetu wa kagera Naomba nidikree interest(utajuaje mi ni nshomire paspo kuchanganya lugha hasa kimombo?)...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuwasaidia watanganyika wanaowakataa Waarabu pmj na uwekezaji wao wa kitapeli na kuibia watanganyika Nchi nyingi za ulaya zinakamata makundi uhalifu ambao ni waarabu na kuwarudisha kwao uarabuni...
0 Reactions
3 Replies
522 Views
Mama Samia anaupiga mwingi kweli kweli, bila kufoka bila makeke anafanya kazi kuliko tunavyofikiria. Kila akiibuka anaibuka na mambo ambayo yanasongesha mbele gurudumu la maendeleo. Jioneeni...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimefuatilia siku hizi mbili tatu za sakata la uuzwaji wa bandari ya tanganyika, kwa waarabu wa dubai, kazi wanayoifanya waandishi wa habari ni ya kipuuzi sana, ni bora wangechagua kukaa kimya...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Walimu wengi vijana ndani ya jimbo la uchaguzi la mbunge Msukuma wameapa kufa naye kwenye uchaguzi mkuu ujao na kamwe watamwonyesha wao ni wasomi ndiyo maana wanasimamia uchaguzi umhusuyo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata. Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari wanajukwaa Chama cha MAPINDUZI ni chama dola kwa sasa,wananchi bado wana imani kubwa sana na chama hiki mathalani kwa wananchi wa daraja la chini kabisa namaanisha wakulima ambao kipato...
0 Reactions
4 Replies
827 Views
Jeshi la Polisi kwanini mmezuia? Ni haki ya wanaoandamana kama ilivyohaki ya wanaondamana kupongeza juhudi za serikali. Kwanini hawa huwa mnawaruhusu? Kwani familia zenu zipo Uarabuni au...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Baada ya Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kusema yeye ni Mkazi wa Kijiji kinachoonekana kuwa na maji machafu na Wakazi wa kijiji hicho kutumia maji hayo kwa shughuli zao, na Mbunge huyo kusema tatizo...
5 Reactions
40 Replies
5K Views
Ndio hivyo kama Rais katoka Tanganyika kipindi kinachofuata LAZIMA atoke ZANZIBAR Sababu kuu hizi NI NCHI mbili zilizoungana KATIBA ieleze wazi usawa wa kushika madaraka Kwa pande pandezo mbili...
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Katika Amri kumi za Mungu walizoshushiwa waana wa Israel kupitia Nabii Mussa, kuna Amri moja tu ambayo wataalam wa maandiko matakatifu wanasema kuwa ni nadra kuvunjwa na binadamu, Amri "Usiue"...
11 Reactions
37 Replies
3K Views
ACT Wazalendo wamefanya uchambuzi wa Bajeti Kuu iliyosomwa siku ya Alhamisi June 15, 2023, uchambuzi uliowasilishwa na Msemaji wa Sekta ya Fedha na Uchumi ACT Wazalendo Esther Thomas na Naibu wake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Amani kwenu wanaukumbi, Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu muungano wetu nakosa majibu, nimetafakari nikaona ni vema nilete swali langu hapa jukwaani ili nipate kuongezewa maarifa zaidi...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023. Ufungaji wa kamera za Ulinzi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji...
6 Reactions
29 Replies
9K Views
Naona mnakomaa kulewa Pombe kali huku mkishinda mnacheza kamari. Hii ni dalili kuwa Watanzania mmekata tamaa na mmeacha wanaoiba mali zenu wawaibie wanavyotaka Hivi mnadhani hii ndio suluhu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom