Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msije sema hamkujua, ombeni reconcilliation naye maana si vema kuacha mtu afike viwango hivi. Hebu msikilizeni na ombeni upatanishi naye, acheni kupaza shingo zenu, ni hayo tu : - Maombi makuu...
8 Reactions
100 Replies
8K Views
CCM mnafanya mikutano mikubwa kujibu mambo kuhusu bandari; wengi wanauliza kwanini mtumie nguvu hivi? Si mbadili tu huo mkataba? Mkimaliza mikutano yenu hakuna anaeelewe. Sasa waruhusuni waulize...
5 Reactions
11 Replies
970 Views
Anna Tibaijuka, Umeulizwa maswali mazuri sana kama nilivyoona kwenye taarifa ya habari ya TBC 1 usiku huu, cha kushangaza, hujajibu swali hata moja, iliyobaki ukapiga porojo. Sasa, maneno ni...
15 Reactions
166 Replies
16K Views
Katika Mambo ambayo yanashangaza kwenye kesi inayoendelea ya kupinga Mkataba mbovu wa Bandari na DP WORLD, ni Umati wa Wananchi uliojitokeza kufuatilia kesi hiyo Mahakamani hapo. Maelfu ya...
18 Reactions
83 Replies
11K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mh. Godbless Lema ametoa angalizo kwa Rais huko Twitter kwamba, anaokaa nao meza moja ndio wabaya kuliko wanaokamatwa kwa kuipinga DP World hadharani...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Florent Laurent Kyombo amefanya Mkutano na Wananchi wa Kata ya Mabale tarehe 16 Julai 2023.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Utata kifo cha Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM); Naibu Waziri-OR TAMISEMI ajiuzulu kupisha uchunguzi. Utangulizi Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa masikitiko makubwa juu ya kifo...
7 Reactions
49 Replies
6K Views
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Iringa Mhandisi Fatma Rembo ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa UWT Taifa na Mjumbe wa Baraza Kuu la UWT Taifa...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Leo dola 1 sawa na tzs 2500 sawa na tofauti ya tshs 292 toka Hayati Rais Magufuli alivyoondoka (2500 - 2208 = 292) hii inasababishwa na kinachoendelea duniani juu ya dola,hivi sasa mataifa kama...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Serikali imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI ambapo mwaka huu mpya wa fedha wa 2023/2024 zimetengwa fedha nyingi zaidi kuhakikisha kila Wizara na Taasisi ya...
0 Reactions
1 Replies
471 Views
Mbunge Wa Jimbo la Ndanda Mhe. Cecil David Mwambe amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi wa usambazaji umeme wa REA Jimboni akiwa ameambatana na Meneja wa Tanesco (W) pamoja na Mkandarasi Namis...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Ukisikiliza ile clip inayodaiwa na Nape kuwa Tundu Lissu kamtukana Rais na ghafla kwa kufikiri ni kosa, DCI Kingai kamwita Tundu Lissu ili amhoji na bila shaka ikiwezekana afungulie mashitaka...
18 Reactions
43 Replies
9K Views
Yanipasa kufikiria mara mbili tatu kwanini haya yanatokea. Serikali yetu ya Tanzania ilishawahi kuingia mikataba mingi huko nyuma ambayo imeliingiza Taifa letu kwenye Hasara kubwa na wizi wa...
3 Reactions
7 Replies
826 Views
Katibu wa NEC Itakadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi amesema Tanzania tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania, ameyasema hayo alipotembelea vyombo vya habari vya Africa...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wadau. Najua nitawaudhi wengi ila naomba tu Uhuru wa maoni uzingatiwe.Mwalimu Nyerere kitu kikubwa alichofanya ni kupigania Uhuru hapa namshukuru sana. Baada ya Uhuru Nyerere akaturudisha...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
Mbunge Wa Jimbo la Ndanda Mhe. Cecil David Mwambe ameendelea na ziara Jimboni. Leo tarehe 20 Julai, 2023 amefanya kikao na OCD Masasi pamoja na wasaidizi wake. Katika kikao hicho wamejadili mambo...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Ni hulka ya Viongozi wengi Duniani akiamini Jambo fulani basi kumbadilisha mawazo linakuwa jambo gumu sahihi Mfano Nyerere aliliamini Azimio la Arusha hadi anakufa japo mzee Mwinyi alilipindua...
0 Reactions
5 Replies
827 Views
Jana Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amefika Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma kukagua miradi ya maji ambapo Mbunge wa Jimbo hilo, Dkt. Florence George Samizi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na...
0 Reactions
1 Replies
704 Views
kwa nini wa africa tunapenda ugomvi ?kama mkataba bandari kati ya Tanzania na DP World kuna wanaona ni mkataba ni mzuri na wengine ni mbaya kwa nini wasiitane wakakaa pamoja wakaelewashana mambo...
0 Reactions
1 Replies
643 Views
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada anayeshughulikia Maendeleo ya Kiuchumi ya Pasific, Mhe. Harjit Sajjan amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 19 – 23 Julai...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom