Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema kwa uelewa wake Jeshi la polisi hushughulika na Jinai siyo Lugha za Staha ambalo Kimsingi ni swala la Kijamii ambalo hushughulikiwa kimadai
Mnyika...
Na Johnson Gerald
Nimefuatilia ripoti ya Jaji Othman Chande kuhusu changamoto mbalimbali katika utoaji wa haki katika mawanda za jinai nchini. Nataka kuamini Jaji Chande amewasemea wananchi wengi...
Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kimeiamuru Tanzania kulipa dola milioni 109.5 (zaidi ya bilioni 260 za Tanzania) kwa kampuni za uchimbaji madini zilizosajiliwa...
TICTS walipewa kazi ya kuendeleza, kuboresha, na kuendesha shughuli za upakuwaji na upakiaji wa makasha ya mizigo kwenye bandari ya Dar as salaam kuanzia mwaka 2000.
Walipewa magati 08,09,10 na...
Tanzania ni nchi pekee kubwa yenye madini na fursa ya kuzungukwa na nchi jirani. Miaka ya zamani kabisa hata sijazaliwa masufuria na vijiko yalitoka Arusha, pasi za mkaa na majembe na spea...
Nimesoma ripoti ya tume ya Mhe. Rais kuhusu mabadiliko ya haki jinai; kupitia mapendekezo yaliyotolewa ninaamaoni kwamba tumeanza kupunguzwa kasi ya kutaka katiba mpya au upo uwezekano wajanja...
Hayati Magufuli ni chembe ya ngano iliyofukiwa ardhini na sasa inazaa matunda mamia, kwa maelfu na kwa mamilioni.
Sasa naamini kuwa Hayati Magufuli amezalisha majasiri na wazalendo wengi sana wa...
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.
Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani...
Toka sakata la Bandari lianze nimepitia na kusoma sheria nyingi sana. Nikasoma na sheria mbalimbli za nchi nyingine. Nikagundua nchi haina sheria ya Uongo na upotoshaji wa umma.
Kwa nchi ya...
Baada ya mawakili Mwabukusi, Madeleka & Ruge Nshala, sasa ni zamu yangu. Leo DCI Kingai ametuma watu kuleta barua ya kuripoti ofisini kwake. Wamerudi nayo baada ya kujulishwa niko nje ya nchi...
Sugu atafute kazi ya kufanya, Mbeya ya Tulia imetulia kama inavyoonekana hapa 👇
======
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia...
Nilikuwa katikati ya kazi jimboni nikaambiwa kwamba kuna mwito humu wa Nape na Ridhwan kutaka nieleze elimu yangu. WanaCCM walianza suala hili kwa ari, nguvu na kasi mpya niliposema kwamba nchi...
Utafagia sana
====
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo Januari 2, 2023 amewaongoza Wananchi wa Kata ya Ruanda...
Wana Jf Salaam , bila shaka mko poa poa na weekend hii.
Kwa mda sasa nimekua nikisikia hii sherehe ya mwaka kogwa ambayo huazimishwa huko Makunduchi,
Juzi ilibidi nimpigie simu mtu anaishi huko...
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Raha ya Kuuzwa Nchi ni hata wale Wanaoiuza Wanajiuza Wao na Vizazi vyao na wote wanakuwa Watumwa na inakuwa Harusi kwa wote
Fatma amesema...
Kikwete: Unapopata nafasi ya Uongozi utasikia mengi ila Usifanye kila unaloambiwa. Kaa chini Chuja unayoambiwa. Vinginevyo Utaumiza Wengi
Hii nimeikuta kwenye Ukurasa wa Ayub Madenge kule...
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.
Miezi kadhaa kuna mabosi wa...
Hamza Saidi Johari
WORK
Board Member - Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency
Director General - Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA)
Part time Lecturer - University of Dar es...
Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia.
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna awamu aliitwa Dhaifu tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.