Sophia Mjema: Tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania yetu

Hamduni

Senior Member
Apr 25, 2020
155
108
Katibu wa NEC Itakadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi amesema Tanzania tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania, ameyasema hayo alipotembelea vyombo vya habari vya Africa Media Group Limted; Magic Fm na Channel Ten Plus mapema leo tarehe 20 Julai, 2023

Katika ziara hio Ndugu Mjema ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uwekezaji wa bandari kati ya Tanzanina na Dubai na amewatoa hofu Watanzania kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World utaipaisha Tanzania kwenda nchi zIlizoendelea katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

Aidha Mjema amesema suala la uwekezaji sio geni katika bandari ya Dar es Salaam kwani ilikuepo kampuni moja inaitwa TICTS lakini haikuweza kuwapa Watanzania wanachostahili na ndio maana wanatafuta kampuni yenye uwezo zaidi.

"Uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam sio jambo geni, pale kulikua na kampuni inaitwa TICTS lakini bado kama nchi hatujaweza kupata tunachotaka ndio maana tunataka kuleta kampuni yenye uwezo mkubwa zaidi" alisema Mjema

Pia Ndugu Mjema amesema kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World kwenye Bandari ya Dar es salaam utatoa fursa za kuhaulisha ujuzi kwa watanzania, kutoa ajira pamoja kuongeza pato la taifa.

Mwisho Mjema amewaasa wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayo nia ya dhati ya kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kuboresha maisha ya Watanzania.

IMG-20230720-WA0081.jpg
IMG-20230720-WA0082.jpg
IMG-20230720-WA0078.jpg
IMG-20230720-WA0077.jpg
IMG-20230720-WA0080.jpg
IMG-20230720-WA0076.jpg
 
CCM wanajifanya vichwa ngumu. Hakuna mtu anapinga uwekezaji, tunachokataa na mikataba ya kijinga, kama ule wa DPW.

Mmesaini mkataba wa kupuuzi, it's as simple as that. Hata mseme nini kama mkataba utabaki kuwa uleule basi hakuna atakaye waelewa.
 
Ndo maana wazungu wanaamini sisi ni jamii ya sokwe...
Kuna wakati hata tunazidiwa akili na wanyama.
 
Katibu wa NEC Itakadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi amesema Tanzania tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania, ameyasema hayo alipotembelea vyombo vya habari vya Africa Media Group Limted; Magic Fm na Channel Ten Plus mapema leo tarehe 20 Julai, 2023

Katika ziara hio Ndugu Mjema ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uwekezaji wa bandari kati ya Tanzanina na Dubai na amewatoa hofu Watanzania kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World utaipaisha Tanzania kwenda nchi zIlizoendelea katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

Aidha Mjema amesema suala la uwekezaji sio geni katika bandari ya Dar es Salaam kwani ilikuepo kampuni moja inaitwa TICTS lakini haikuweza kuwapa Watanzania wanachostahili na ndio maana wanatafuta kampuni yenye uwezo zaidi.

"Uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam sio jambo geni, pale kulikua na kampuni inaitwa TICTS lakini bado kama nchi hatujaweza kupata tunachotaka ndio maana tunataka kuleta kampuni yenye uwezo mkubwa zaidi" alisema Mjema

Pia Ndugu Mjema amesema kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World kwenye Bandari ya Dar es salaam utatoa fursa za kuhaulisha ujuzi kwa watanzania, kutoa ajira pamoja kuongeza pato la taifa.

Mwisho Mjema amewaasa wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayo nia ya dhati ya kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kuboresha maisha ya Watanzania.


==============View attachment 2694431View attachment 2694432View attachment 2694434View attachment 2694435View attachment 2694433View attachment 2694436
TP🚮
 
Soma elewa aliyekuepo hajafikia malengo yaliyotakiwa na muda wake umeisha sasa dp ndio best aliyepatikana
Kwahio hakuna aliyekataa uwekezaji sababu ndicho tunachofanya kila siku (uwekezaji sio hoja hata pesa tunazokopa na kutengeneza Bwawa ni Uwekezaji) tatizo ni kile tunachofanya kama ni the best we can get / have
 
Kwahio hakuna aliyekataa uwekezaji sababu ndicho tunachofanya kila siku (uwekezaji sio hoja hata pesa tunazokopa na kutengeneza Bwawa ni Uwekezaji) tatizo ni kile tunachofanya kama ni the best we can get / have
Hoja yako ni nini?
 
Kuh: Bandiko kuu

Wakati ni kweli Maendeleo na tija ni ya DPW!!

Tunahadaiwa na Viongozi wetu ni kwa Faida yetu!

Alisikia wapi Mwekezaji anafanya biashara kwa Maendeleo ya anapowekeza?


Yaani ni sawa na kusema, jitu zima linanyonyeshwa[DPW] maziwa ya mama aliye na mtoto mchanga[Mtanzania]alafu useme mtoto ndie anayepata maendeleo?? Kweli hayo?

Baba zima liyafirigise matiti yale useme ni kwa maendeleo ya mtoto!
Mbula!
 
"4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
 
Katibu wa NEC Itakadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi amesema Tanzania tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania, ameyasema hayo alipotembelea vyombo vya habari vya Africa Media Group Limted; Magic Fm na Channel Ten Plus mapema leo tarehe 20 Julai, 2023

Katika ziara hio Ndugu Mjema ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uwekezaji wa bandari kati ya Tanzanina na Dubai na amewatoa hofu Watanzania kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World utaipaisha Tanzania kwenda nchi zIlizoendelea katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

Aidha Mjema amesema suala la uwekezaji sio geni katika bandari ya Dar es Salaam kwani ilikuepo kampuni moja inaitwa TICTS lakini haikuweza kuwapa Watanzania wanachostahili na ndio maana wanatafuta kampuni yenye uwezo zaidi.

"Uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam sio jambo geni, pale kulikua na kampuni inaitwa TICTS lakini bado kama nchi hatujaweza kupata tunachotaka ndio maana tunataka kuleta kampuni yenye uwezo mkubwa zaidi" alisema Mjema

Pia Ndugu Mjema amesema kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World kwenye Bandari ya Dar es salaam utatoa fursa za kuhaulisha ujuzi kwa watanzania, kutoa ajira pamoja kuongeza pato la taifa.

Mwisho Mjema amewaasa wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayo nia ya dhati ya kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kuboresha maisha ya Watanzania.

View attachment 2694431View attachment 2694432View attachment 2694434View attachment 2694435View attachment 2694433View attachment 2694436
Asihamishe Mjadala. Nani amekataa uwekezaji? Ausome huo Mkataba. Shida yetu ipo kwenye vilivyomo ndani ya huo mkataba. Wote tunatambua kuwa hakuna maendeleo bila ya kushirikiana na kushirikishana.
Akirudia kuongelea swala la bandari awe anasoma yaliyomo ndiyo apanue domo lake.
Wanaoupinga huo uwekezaje wameainosha v8fungu, lakini yeye na wenzake hawaingii ndani ya vifungu bali wanaishia kwenye neno 'uwekezaji'
 
Huu utahira wakusema watanzania wasiwe na hofu na mambo yakuzuga sijui fulsa na mapato yasiyoandikwa kwenye mkataba wowote ule wala sehemu yoyote ni ukichaa wa wapi sijui,
Pesa mwanaharamu
 
Katibu wa NEC Itakadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi amesema Tanzania tunahitaji uwekezaji bandarini kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania, ameyasema hayo alipotembelea vyombo vya habari vya Africa Media Group Limted; Magic Fm na Channel Ten Plus mapema leo tarehe 20 Julai, 2023

Katika ziara hio Ndugu Mjema ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uwekezaji wa bandari kati ya Tanzanina na Dubai na amewatoa hofu Watanzania kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World utaipaisha Tanzania kwenda nchi zIlizoendelea katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

Aidha Mjema amesema suala la uwekezaji sio geni katika bandari ya Dar es Salaam kwani ilikuepo kampuni moja inaitwa TICTS lakini haikuweza kuwapa Watanzania wanachostahili na ndio maana wanatafuta kampuni yenye uwezo zaidi.

"Uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam sio jambo geni, pale kulikua na kampuni inaitwa TICTS lakini bado kama nchi hatujaweza kupata tunachotaka ndio maana tunataka kuleta kampuni yenye uwezo mkubwa zaidi" alisema Mjema

Pia Ndugu Mjema amesema kuwa uwekezaji wa Bandari unaotarajiwa kufanywa na Kampuni ya DP World kwenye Bandari ya Dar es salaam utatoa fursa za kuhaulisha ujuzi kwa watanzania, kutoa ajira pamoja kuongeza pato la taifa.

Mwisho Mjema amewaasa wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayo nia ya dhati ya kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kuboresha maisha ya Watanzania.

View attachment 2694431View attachment 2694432View attachment 2694434View attachment 2694435View attachment 2694433View attachment 2694436

Watu watatu 100ml $ ! Heeee ! Sio mchezo, yaani maCCM yatahenyeshwa kweli kuutetea ! Hapa ngedere atatema BUNGO tuuu !!!
 
Back
Top Bottom