Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salama ya upinzani kuchukua dola ilikuwa mikononi mwa maridhiano ambayo yangepelekea uundwaji wa katiba mpya ambayo ingezaa tume huru ya uchaguzi. Na jambo hili lilikuwa pia linasubiriwa kwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Muda mrefu umepita sijamsikia Kamanda Sugu akizungumzia suala la Mkataba wa Bandari. Je ni mgonjwa?. Ni vema tukajua Kamanda yuko wapi na hali yake ikoje?.
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, amefunguka mazito kuhusu maelekezo ya Rais kufanikisha Dk. Samia Suluhu Hassan katika mapambano shisi ya vifo vitokanavyo na uzazi kwa mama na moto. Amesema hatua...
0 Reactions
0 Replies
560 Views
Sakata la kugenisha bandari na rasilimali za Tz-bara Wapinzani siyo silaha sahihi kushinda vita. 1. Ni ukweli usiokanushika kwa ushahidi wowote ule kwamba Wazungu ni watu wasioitakia mema Afrika...
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Wakili Paul Kisabo amesema Mkutano wa hadhara wa Chadema kujadili Mkataba wa Bandari utalindwa na Jeshi la Polisi ili kuhakikisha amani inakuwepo wakati wote Wakili Kisabo amelipongeza Jeshi la...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
"Mmeamkaje? Kwangu mambo siyo mazuri. Mtakumbuka baada tu ya kuingia upinzani serikali ilitishia muda mrefu kuchukua mashamba yangu bila sababu za msingi, hata wakati wa kampeni baadhi ya viongoz...
13 Reactions
318 Replies
30K Views
Wakuu Na mgonjwa Ocean road hapati tiba kwa sababu Machine imeharibika ni week ya pili inakata kipi kinashindwa kutatuliwa ifanye kazi na malipo wanapokea watu wa bima wanapelekwa kupimiwa...
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu. 2. Ofisi hii inakiri kupokea barua yako yenye kumb. Na. CDM/TMK/17/0713 ya tarche 18.07.2023. 3. Mutano huo ni wa hadhara na Jeshi linaamini mnalo jukumu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Na Sam Ruhuza Naomba ufafanuzi! Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai. Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia...
20 Reactions
55 Replies
7K Views
Mbunge wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera amelitaka jeshi la Uhamiaji sambamba na idara ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wilayani humo kuacha tabia ya kuwahukumu wananchi hasa wa mipakani kwa majina...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao wachache wapo kimya Kwa sababu hawataki kuonekana ni wanasiasa. Kuhusu hili la bandari...
2 Reactions
10 Replies
881 Views
Huu mkataba hauna hadhi ya intergovernmental yani IGA kwa sababu Dubai siyo nchi bali ni serikali ya mkoa kama serikali ya mkoa wa Simiyu. Kwanini huu mkataba wanauita IGA wakati haukidhi matakwa...
20 Reactions
128 Replies
9K Views
Ndugu zangu ijumaa ya tarehe 14th July 2023 niliwekwa kizuizini na jeshi la polisi mkoa wa Mbeya baada ya kumsindikiza wakili Boniface Mwabukusi aliyekuwa anaitikia wito katika ofisi ya mkuu wa...
52 Reactions
133 Replies
8K Views
Familia ya mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji 'Mo' aliyetekwa tangu Alhamisi imesema itazungumza na waandishi wa habari leo mchana saa 6:30,katika ofisi za Kampuni ya MeTL Group zilizopo...
47 Reactions
852 Replies
149K Views
Tumewaona UDSM, jana walikuwa Ikulu na Kesho wapo Dodoma; wanawasilisha ripoti ile ile ambayo walitelekezwa wakae waweke utaratibu wa kuitekeleza. Je, ni kwamba Watanzania awakuielewa siku...
1 Reactions
6 Replies
920 Views
Ni hivyo tu, Na wakifungwa wataambia nini watu
0 Reactions
1 Replies
852 Views
BANDARI YA DARESALAM IMEMUINGIZA RAIS SAMIA KWENYE VITA VYA KIUCHUMI Chukua kalamu na karatasi kwenye andiko hili unaweza kuandika chochote…. Ipo hivi…. Bandari ya Daresalam inahusika kwa...
11 Reactions
96 Replies
5K Views
Babati. Katibu Mku wa CCM, Daniel Chongolo kesho atawahutubia wanachama na viongozi wa chama hicho wa mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro katika mkutano wa hadhara utakaofanyika Uwanja wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
(1)Muda uliotolewa kwa wananchi wote Nchi nzima kutoa maoni juu ya mkataba, siku moja tu. ( 2 ) Kukosa nafasi ya kuchangia mjadala kwa baadhi ya wabunge wenye misimamo mfano Luhaga Mpina, japokua...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
A new world order? BRICS nations offer alternative to West. Mataifa yanayojumuisha umoja wa BRICS — Brazil, Russia, India, China, South Africa yamejipanga ili kutoa mbadala wa mfumo uliopo wa...
13 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom