Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Na Sam Ruhuza Naomba ufafanuzi! Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai. Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia...
20 Reactions
55 Replies
7K Views
Mbunge wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera amelitaka jeshi la Uhamiaji sambamba na idara ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wilayani humo kuacha tabia ya kuwahukumu wananchi hasa wa mipakani kwa majina...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao wachache wapo kimya Kwa sababu hawataki kuonekana ni wanasiasa. Kuhusu hili la bandari...
2 Reactions
10 Replies
881 Views
Huu mkataba hauna hadhi ya intergovernmental yani IGA kwa sababu Dubai siyo nchi bali ni serikali ya mkoa kama serikali ya mkoa wa Simiyu. Kwanini huu mkataba wanauita IGA wakati haukidhi matakwa...
20 Reactions
128 Replies
9K Views
Ndugu zangu ijumaa ya tarehe 14th July 2023 niliwekwa kizuizini na jeshi la polisi mkoa wa Mbeya baada ya kumsindikiza wakili Boniface Mwabukusi aliyekuwa anaitikia wito katika ofisi ya mkuu wa...
52 Reactions
133 Replies
8K Views
Familia ya mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji 'Mo' aliyetekwa tangu Alhamisi imesema itazungumza na waandishi wa habari leo mchana saa 6:30,katika ofisi za Kampuni ya MeTL Group zilizopo...
47 Reactions
852 Replies
149K Views
Tumewaona UDSM, jana walikuwa Ikulu na Kesho wapo Dodoma; wanawasilisha ripoti ile ile ambayo walitelekezwa wakae waweke utaratibu wa kuitekeleza. Je, ni kwamba Watanzania awakuielewa siku...
1 Reactions
6 Replies
920 Views
Ni hivyo tu, Na wakifungwa wataambia nini watu
0 Reactions
1 Replies
852 Views
BANDARI YA DARESALAM IMEMUINGIZA RAIS SAMIA KWENYE VITA VYA KIUCHUMI Chukua kalamu na karatasi kwenye andiko hili unaweza kuandika chochote…. Ipo hivi…. Bandari ya Daresalam inahusika kwa...
11 Reactions
96 Replies
5K Views
Babati. Katibu Mku wa CCM, Daniel Chongolo kesho atawahutubia wanachama na viongozi wa chama hicho wa mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro katika mkutano wa hadhara utakaofanyika Uwanja wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
(1)Muda uliotolewa kwa wananchi wote Nchi nzima kutoa maoni juu ya mkataba, siku moja tu. ( 2 ) Kukosa nafasi ya kuchangia mjadala kwa baadhi ya wabunge wenye misimamo mfano Luhaga Mpina, japokua...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
A new world order? BRICS nations offer alternative to West. Mataifa yanayojumuisha umoja wa BRICS — Brazil, Russia, India, China, South Africa yamejipanga ili kutoa mbadala wa mfumo uliopo wa...
13 Reactions
45 Replies
4K Views
Mambo mengine yote kila Mtu anayajua wala hayahitaji Elimu Chadema watuelimishe faida za Serikali Moja na Serikali Tatu Ahsante!
2 Reactions
5 Replies
740 Views
Naona mnahamasishana kinafiki kuwa fulani atakuwepo Temeke, fulani atakuwepo Temeke, mmealika akina Slaa aliyekosa uteuzi, mmealika akina Mbatia aliyeondolewa kwenye uongozi, mmealika viongozi wa...
11 Reactions
63 Replies
3K Views
Hivi kweli inamaana kelele za wale wazee wastaafu vikongwe wanaolopwa directly kutoka Hazina hawazisikii huko madarakani au furaha yao ni taabu zao na vifo tuu? Mbona walao Mwinyi wa Zanzibar...
1 Reactions
0 Replies
478 Views
Kuelekea siku ya mashujaa wetu nchini Tanzania naomba tumkumbuke baba wa taifa letu. Kwa wale waliokuwa na uahamu (umri wa kuelewa) mwaka 1978 mtakubaliana na mimi kuwa wana Kagera walipitia...
3 Reactions
63 Replies
2K Views
Juzi tar 20/07/2023 , Alhamis nilipata taarifa juu ya Kampuni ya kitapeli ambayo siku zote imekuwa ikilalamikiwa kutapeli watanzania na vijana iitwayo Q-NET . Kampuni hii imekuja na njia Mpya ya...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port...
12 Reactions
158 Replies
11K Views
Ile kesi inayosubiriwa kwa hamu na Dunia nzima, ambayo imefunguliwa na Watanzania Wazalendo , ya kupinga Mkataba mbovu wa kukodisha Bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa DP WORLD , ambayo imepangwa...
22 Reactions
78 Replies
7K Views
Familia ya mzee Abeid Amani Karume imetengwa na mfumo wa Chama tawala? Kumbuka CCM ina tabia ya kuwabeba sana watoto wa viongozi wastaafu na kuwapa nyadhifa mbali mbali, na hata isipotosha...
12 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom