Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi vifaa tiba kituo cha Afya cha Engusero (Milioni 100), Zahanati ya Ngipa (Milioni 18) na Zahanati ya Nchinila (Milioni 18) vyenye...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
AD Ports Group ya Abu Dhabi UAE Wameingia Makubaliano ya kuendeleza na Kuendesha Bandari muhimu ya Nchini Congo Brazzaville Kwa miaka 30'Exclusive Right" na Kwa kuanzia Watawekeza Dola za Marekani...
8 Reactions
131 Replies
7K Views
Wanasiasa wa Tanzania wana roho ngumu sana. Wapo tayari kulinda madaraka lakini siyo kulinda ndugu zao. Mimi sikujua kama Nape ni mjomba wa Tundu Lisu; kama Nape na Lisu ni ndugu basi siasa...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimeona clip ya Nape Nauye akifoka na kumwambia Tundu Lissu amuheshimu Rais Samia kwa kuwa ni mama yake. Sawa hatukatai kuwa kila mtu anastahili heshima na si viongozi tu wa serikali na kisiasa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kichwa: Umuhimu wa Katiba Mpya kwa Maendeleo ya Tanzania na watanzania Katiba ni waraka muhimu unaounda msingi wa mfumo wa kisiasa na kijamii katika nchi yoyote. Tanzania, kama nchi nyingine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wanaopinga serikali 3 wana hoja na hofu za msingi japo huwa hawasemi sana. Tatizo kubwa la serikali tatu ni serikali ya Tanganyika yenye nguvu zilizopitiliza ambayo inaweza kumpuuza Rais wa...
17 Reactions
192 Replies
7K Views
Habarini wana JF Ebwana Mkataba wa bandari kati ya serikali ya Tanzania na DP WORLD unaendelea kubamba kila siku kwenye vyombo vya habari, mitaani na kwenye mitandao ya kijamii. Mkataba huu...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Kumekuwa na hadithi nyingi kwa sasa, baada ya umma wa Watanzania kupaza sauti dhidi ya watawala na makuwadi wachache waliowezesha uporwaji wa bandari za Tanganyika unaofanywa na Waarabu wa Dubai...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Zanzibar Mhe. Jamal Kassim Ali akiwa sehemu ya Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ziara ya Kitaifa iliyofanywa na...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Is Samia metamorphosing into a Magufuli? Tumultuous moments are a good test of genuineness. In these situations, good people may turn bad and vice versa. If good people turn bad, one may wonder...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Kikweta aliwaalika CHADEMA Ikulu wakanywa juice na samosa na lilipofika bunge la Katiba wakamtosa. Maalim Seif alikubali kumtosa Prof. Lipumba ili kumsapoti Mzee Lowassa wa CHADEMA lakini Maalim...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwana CCM huyu ameng’aka kabisa kuwa nimakosa makubwa Serikali kuruhusu hawa comedian(wachekeshaji) kuongelea suala la bandari Anasema hawa wengi ndio wanasababisha mjadala kuwa mgumu na...
13 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai mimi na wewe. Nina hakika umeamka salama ndugu Kingai. Baada ya shukurani naomba niungane na Watanzania kukupongeza, hakika sasa mfumo...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA SEKTA BINAFSI KWA VYAMA VYA SIASA KUHUSU RUSHWA KUELEKEA UCHAGUZI WA VIONGOZI IFIKAPO MWEZI OKTOBA 2015 Utangulizi...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Mchungaji ameelezea jinsi safari ya kuwaondoa Wana wa Israel Utumwani Misri na kuwapeleka nchi ya Ahadi ilivyokuwa Ngumu Mchungaji amesema wakiwa katikati ya safari Wana wa Israel wakamlalamikia...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nape strikes again. Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha. Yuleyule aliyetuondolea bunge live wakati huo akiwa waziri wa habari kipindi cha utawala wa Magufuli, Leo tena akiwa na dhamana...
37 Reactions
110 Replies
13K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amepongeza juhudi za mdau wa michezo Kuambiana Investment kwa kuanzisha mashindano ya Kuambiana Cup katika Wilaya ya Ludewa...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Na, Wakili wa Mahakama Kuu Msomi, Tundu A. Lissu. Nimefadhaishwa kidogo na baadhi ya michango ya humu ndani kuhusu masuala mbali mbali yanayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Inaelekea tuna...
76 Reactions
273 Replies
28K Views
Sakata la DP World limezua mambo mengi sana. Mimi kama mmiliki mwenza wa hii nchi. Naona kama CCM ipo njia panda kwa sasa bila kujua chanzo ni nini. Tumeona Rais juzi wakati anazindua tume ya...
14 Reactions
142 Replies
9K Views
Baada ya kukataliwa na wasomi pamoja na wachambuzi wengi wengi waliousoma mkataba wa DP World, tumeshuhudia CCM ikikaa kikao ghafla ghafla na kuamua kwenda kutoa elimu kuhusu huu mkataba mbovu...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Back
Top Bottom