johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Ni hulka ya Viongozi wengi Duniani akiamini Jambo fulani basi kumbadilisha mawazo linakuwa jambo gumu sahihi
Mfano Nyerere aliliamini Azimio la Arusha hadi anakufa japo mzee Mwinyi alilipindua kwa Azimio la Zanzibar
Tunakumbushana tu
Mlale unono!
Mfano Nyerere aliliamini Azimio la Arusha hadi anakufa japo mzee Mwinyi alilipindua kwa Azimio la Zanzibar
Tunakumbushana tu
Mlale unono!