Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je, 1. Wazanaki wanakotoka viongozi mbalimbali ikiwemo baba wa taifa Mwalimu Nyerere ni 100% Watanzania? 2. Wamakuwa kutoka mkoani Mtwara ambako pia anatoka aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu, Tar 13 januari 2024 Mkuu wa Mkoa Dr, Albert Chalamila alitangaza zoezi la usafi kufanyika tar 24 na 24 likitajwa kuhusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa sayansi ya siasa, chama cha siasa kina nia moja tu, kukamata dola na kuwahudumia wananchi wote. Mhe. Rais amesema kuna vyama vina nia tofauti. Je, ni tofauti na hiyo nadhalia ya...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Mnajua kabisa kuwa hakuna mfanyabiashara atakayeshusha bei ya sasa 3800-5000 Tsh per kilo. sasa muuzaji asiyefuata bei hiyo namshitaki wapi/natoa taarifa wapi? Au nyie mamlaka ya sukari nachukua...
0 Reactions
8 Replies
813 Views
Wakuu Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea Watanzania waliochaguliwa kuandamana...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , leo Jumatano , 18/1/2023 amekutana na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania , David Concor . Wawili hao wamezungumza mambo...
18 Reactions
87 Replies
6K Views
WanaJf, Salaàm! Kero nyingi za watanzania zimetatuliwa kupitia UTEKELEZAJI wa Ilani ya uchaguzi. Umeme upo Maji yapo Barabara zipo Mikopo kwa wanafunzi ipo Uwezeshaji wanawake, walemavu, na...
0 Reactions
3 Replies
713 Views
Watu wengi tumekuwa Tunaitupia LAWAMA nyingi sana TANESCO kutokana na Upatikanaji mdogo wa Umeme na Katikakatika ya mara kwa mara ya Umeme. Swali langu kwa mnaoilaumu TANESCO. Je, mmewahi...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
UCHAMBUZI WA KIJANA MZALENDO, DEVID LEVI NKINDIKWA KUHUSU MGOGORO WA MKATABA WA BANDARI LEO TAREHE 22/7/2023 1. UTANGULIZI MKATABA WA IGA BAINA YA TANZANIA NA EMIRATE YA DUBAI Pamoja na Maoni...
6 Reactions
7 Replies
4K Views
Ndugu zangu ukizungumzia suala la kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini ndio pumzi ya wananchi wote, Ndio tegemeo la wote, Ndio uti wa mgongo kwetu, Ndio shine yetu, Ndio mkombozi wetu, Ndio...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Kama ilivyo desturi Arusha ni nchi ya wajanja hawataki ujinga. Licha ya kukusanya wajinga wajinga kutoka Karatu, Monduli, Longido, Loliondo, Arumeru na Karatu bado mkutano ulipwaya sana. CCM...
10 Reactions
7 Replies
2K Views
Mama na bibi yule alikokwenda amekuta umeme au Yuko gizani kama sisi huku Chunya? Tangu Jana saa 8 mchana hadi leo asubuhi tarehe 24.1.2024 hakuna umeme. Rais anajisikiaje huku Indonesia alikoenda...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao...
3 Reactions
71 Replies
4K Views
GENTAMYCINE nafurahi sana acheni awanyoosheni kwani wengi wenu alipokuwa bench mlikuwa mkimcheka na kumdharau mno. Halafu nawaibieni Siri kuwa Mwenezi CCM Makonda ana Baraka zote za Aliyewateueni...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang na...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Kheri za mwaka mpya wanajukwaa! Nimeona na mimi kama mtanzania niungane na CDF kutafakari kwa kina hali ya ulinzi na usalama nchini. Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada yangu kama...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Nikiri wazi kutoka sakafu ya moyo wangu, nimefurahi sana kilio changu na kampeni yangu ya miaka mingi kuona leo imejibiwa na Mkuu wa Majeshi nchini. Nilionya kuwa nchi yetu tumeingiliwa...
33 Reactions
114 Replies
11K Views
SIASA: Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limetoa kibali kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya Maandamano yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, 2024 katika baadhi ya Mitaa ya...
9 Reactions
124 Replies
9K Views
Nauliza tu maana Naona wengine wanazungumzia bei za bidhaa ilhali tuliambiwa ajenda ya Maandamano ni miswada ya sheria za uchaguzi Ufafanuzi tafadhali
1 Reactions
13 Replies
751 Views
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa. Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo. So far...
2 Reactions
13 Replies
886 Views
Back
Top Bottom