Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

GENTAMYCINE nafurahi sana acheni awanyoosheni kwani wengi wenu alipokuwa bench mlikuwa mkimcheka na kumdharau mno. Halafu nawaibieni Siri kuwa Mwenezi CCM Makonda ana Baraka zote za Aliyewateueni...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang na...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Kheri za mwaka mpya wanajukwaa! Nimeona na mimi kama mtanzania niungane na CDF kutafakari kwa kina hali ya ulinzi na usalama nchini. Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada yangu kama...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Nikiri wazi kutoka sakafu ya moyo wangu, nimefurahi sana kilio changu na kampeni yangu ya miaka mingi kuona leo imejibiwa na Mkuu wa Majeshi nchini. Nilionya kuwa nchi yetu tumeingiliwa...
33 Reactions
114 Replies
11K Views
SIASA: Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limetoa kibali kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya Maandamano yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, 2024 katika baadhi ya Mitaa ya...
9 Reactions
124 Replies
9K Views
Nauliza tu maana Naona wengine wanazungumzia bei za bidhaa ilhali tuliambiwa ajenda ya Maandamano ni miswada ya sheria za uchaguzi Ufafanuzi tafadhali
1 Reactions
13 Replies
751 Views
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa. Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo. So far...
2 Reactions
13 Replies
886 Views
Inavyoonekana yale maandamano ya CHADEMA yaliyopangwa kufanyika keshokutwa, yatafanyika. Sasa nimeanza kuona eti pongezi anapewa Rais Samia! ‘Whims’ za Samia ndo zimekuwa haki za kikatiba au...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwenyezi Mungu Abariki Mawazo, Maneno na Matendo ya waandamanahi wote, daima yawe ya ustaarabu, utulivu, ungwana, upendo na amani tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano yenyewe. Wasiohusika...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya...
21 Reactions
110 Replies
3K Views
Kuna mambo kama tutayanyamazia kwa kuogopa kudhurika hata shetani atatushangaa , Hivi ni unyama gani ambao Makonda hakuwafanyia Chadema alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM ? Ni utekaji upi na uvamizi...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Hivi kweli mwanachama wa CCM uliye na akili timamu unaweza kukusanywa namna hii na kuelezwa uongo wa kitoto kama Juha? Kwanini mnakubali kudhalilishwa namna hii na huyo Katibu wenu itikadi...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Vyama vya Siasa nchini vinatakiwa kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia watu wenye changamoto ya kusikia na kuongea ili kutimiza haki yao Kikatiba ya kushiriki katika mchakato mzima wa...
2 Reactions
5 Replies
633 Views
Habari za muda huu Wakuu, Sote tumeshuhudia video mbalimbali za uharibifu wa makazi ya watu Jijini Dar baada ya ile mvua ya juzi, ambapo tulitegemea kuwa vikosi vya uokozi katika majanga na...
3 Reactions
10 Replies
938 Views
Kabla ya kupambana na 1. Umaskini 2. Maradhi 3. Ujinga Kuna vya kutibu kwanza 1. Chuki 2. Tamaa 3. Unafiki
1 Reactions
8 Replies
459 Views
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani. Hivyo Leo ulikuwa ni...
13 Reactions
157 Replies
8K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda akiwa katika Ziara ya Wilayani Hai mkoani Kilimajanro amewaambia wanaccm kuwa wamuache Mbowe afanye tu harambee za...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Tumesikia matamko huko Mwanza, Dar na kwingineko Viongozi wa Machinga na bodaboda kadhaa wakitoa tamko kuwa wao habari za maandamano hawazitaki na kuwa wanaunga mkono serikali na "juhudi" zake...
5 Reactions
9 Replies
891 Views
Vijana endeleeni kudanganywa na Mr.dj hata hayo maandamano aliyotangaza NI kiini macho kwa kuwa mpango huo hauwezekani anataka kuaminisha wafuasi kwamba NI mpambanaji kumbe nyuma ya pazia anapiga...
2 Reactions
14 Replies
751 Views
Back
Top Bottom