Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,391
- 1,258
WanaJf,
Salaàm!
Kero nyingi za watanzania zimetatuliwa kupitia UTEKELEZAJI wa Ilani ya uchaguzi.
Sasa hawa viongozi wa CCM tuwashauri wajikite ktk kupambania mambo gani ambayo yana maslahi kwa watanzania wote?
Salaàm!
Kero nyingi za watanzania zimetatuliwa kupitia UTEKELEZAJI wa Ilani ya uchaguzi.
- Umeme upo
- Maji yapo
- Barabara zipo
- Mikopo kwa wanafunzi ipo
- Uwezeshaji wanawake, walemavu, na wazee umefanyika
- Ajira kwa vijana zimeongezeka
- Ruzuku ya kilimo ipo
- Michezo imefadhiliwa nk nk
Sasa hawa viongozi wa CCM tuwashauri wajikite ktk kupambania mambo gani ambayo yana maslahi kwa watanzania wote?