Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Wakuu
Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea
Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama
Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?
Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka
Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea
Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama
Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?
Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka
Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka